JAYJAY
JF-Expert Member
- Oct 31, 2008
- 7,525
- 7,595
Kwa hiyo unajivunia Dar!? Dar kwa kiwango kikubwa ni mkoa wa wageni. Hata wwewe inawezekana umezaliwa Dar lakinj wazazi wako wakuja.. Hivi miziki ya mikoa mingine inajulikana huko nje unakodai!? Hebu nitajie mikoa ambayo miziki yake inajulikana nje. Usije ukanitajia Amapiano tu we mbulula! Mitumba inasitiri WaTz wengi tu, unless wewe umezoea kwenda kwenye malls kubwa kupasuka.Wajinga huo mziki wenu unajulikana wapi kwanza mnabaguana wenyewe kaeni mtulie bado mkoa wenu hauna potential ya kuhost wasanii wakubwa dar mtakuja tunamitambua kwa meno na kugombania mitumba pale karume