Wasanii toka Arusha acheni kujibagua na kupigania mkoa badala ya taifa

Wajinga huo mziki wenu unajulikana wapi kwanza mnabaguana wenyewe kaeni mtulie bado mkoa wenu hauna potential ya kuhost wasanii wakubwa dar mtakuja tunamitambua kwa meno na kugombania mitumba pale karume
Kwa hiyo unajivunia Dar!? Dar kwa kiwango kikubwa ni mkoa wa wageni. Hata wwewe inawezekana umezaliwa Dar lakinj wazazi wako wakuja.. Hivi miziki ya mikoa mingine inajulikana huko nje unakodai!? Hebu nitajie mikoa ambayo miziki yake inajulikana nje. Usije ukanitajia Amapiano tu we mbulula! Mitumba inasitiri WaTz wengi tu, unless wewe umezoea kwenda kwenye malls kubwa kupasuka.
 
Tambua hakuna msanii wa chuga ninaye mkubali hata mmoja uncivilized wala moshi

Huyo dogo janja kapokelewa na kina madee akafundishwa ustaarabu achane na manguo ya mitumba ona anavyopendeza na yale meno na alianza kusugua 😂😂mnakunywa maji yana mikojo ya vyura
Hulazimishwi kumkubali msanii. Muziki ni hisia wewe mbulula. Ukiona uhuelewi ujeu huo sio kwa ajili yako. Kasikilize uliyotungiwa kwa ajili yako. Kuna watu Tz hii wanakunywa maji yanatoka migodini kusafisha madini. Angalia jamii yako isije kuwa mojawapo.
 
Wapi
Nani
Lini
Nini

Tuanzie hapo kwanza.
We mchaga hii thread ningeanzisha mimi ungesema ni chuki zangu, mara kadhaa kwenye mjadala wa mziki wa hip hop nilikuambia jamaa wako weusi wanabebwa kwasababu ya ukanda

Haya leo kaja mtu mwingine kuleta habati hiyo hiyo, bado hamjifunzi badilikeni
 
We mchaga hii thread ningeanzisha mimi ungesema ni chuki zangu, mara kadhaa kwenye mjadala wa mziki wa hip hop nilikuambia jamaa wako weusi wanabebwa kwasababu ya ukanda

Haya leo kaja mtu mwingine kuleta habati hiyo hiyo, bado hamjifunzi badilikeni
Naomba niulize "wanabebwa na nani"? Hivi shida ni Weusi au wasanii wa Chuga?
 
Ni wapumbavu watu wa kaskazini wana ubaguzi mambwa kabisa wanajiona wanajua mabangi tu na ufala

Baadhi ya media wanapendelea kwao kutokan watangazaji ni wa huko ni binafsi simkubali msanii wala presenter yeyote anayetokea kaskazini zaidi ya milladayo tu

Kuanzia wasanii hata makundi yao siwafagilii hawana cha maana kujikuta katika wanajua tu
Hii comment ningeandika mimi ningeshambuliwa sana maana watu wa arusha hili swala hawataki kulisikia naliongelea

Kunaye presenter mmoja ana mambo ya ukanda sana mpaka nikki mbishi alimchana makavu
 
Wewe ndio mpumbavu. Huo ulazima wa wasanii wa Chuga kujumuisha wasanii wa mikoa mingine unatokea wapi!? Ushirika unalazimishwa!? Kwani interest ziko sawa!? Halafu ulivyokuwa punguani umedai "muziki wa Arusha umekuwa duni usiovuka mipaka". Nimekuuliza wasanii gani wa mikoa mingine waliovuka mipaka , hebu wataje!? Unarukaruka. Kabla ya O_ten, Fa na AY kuja Dar unaweza kutaja ngoma zao? Kama hawakutoka wakiwa mikoani kwao, unalazimisha vipi kuwanasibisha na mikoa yao ya asili!? Hii game naifatilia tangu Saleh Jabiri anafanya remix ngoma za mbele kwa Kiswahili 1990. Kenge wewe.
Kama unamfahamu Saleh Jabir ina maana umri wako ni zaidi ya 30yrs... kinachonishangaza ni huu upumbavu wako unatoka wapi kiasi kwamba unakuwa kama vile hauelewi mada?
 
issue ya watu wa chuga kuwa na ubaguzi hiyo ni kawaida yao,sio wote ila wengi wao wana hiyo , kwa waliosoma UG watakuwa mashahidi, waTanzania kutoka mikoa yote huwa pamoja kwa kigezo cha U-TZ lakini wao huwa wanajitenga kwa kigezo cha ukanda (kmanjaro & Arusha)
 
Hii comment ningeandika mimi ningeshambuliwa sana maana watu wa arusha hili swala hawataki kulisikia naliongelea

Kunaye presenter mmoja ana mambo ya ukanda sana mpaka nikki mbishi alimchana makavu
Kwenye maredio wanapeana utangazaji halafu wanadai eti wana vipaji hwajiamini wa wewe competition waone sio kubebana
 
issue ya watu wa chuga kuwa na ubaguzi hiyo ni kawaida yao,sio wote ila wengi wao wana hiyo , kwa waliosoma UG watakuwa mashahidi, waTanzania kutoka mikoa yote huwa pamoja kwa kigezo cha U-TZ lakini wao huwa wanajitenga kwa kigezo cha ukanda (kmanjaro & Arusha)
Nilikuwa nao kenya miaka fulani watu wa chuga ni wabaguzi na dili zao za magendo tu

Hapo south tu masailors wana umoja sana ila hao jamaa ushamba mwingi hawajui nn wamafuata mibangi tu mwishowe yanakuwa mateja
 
Sasa ndo uandike kwa hicho kiswahili cha kipumbavu ili tujue kwamba na wewe umetoka huko Arusha? Ukiandika kawaida utakufa? Watu wa Arusha acheni usela mavi.
Wee ni pimbi kinoma ..peleka chuki zako huko kwenu tandahimba sisi ukitufuatilia utakufa achana na life etu asee chali yangu.
 
Kwani nani anayekufuatilia pambana na hali zenu lina tunawakilishwa na diamond na kiba kigoma boys pamoja na konde boy

Nyie vuteni bangi tu
Bangi ndio kalcha yetu wee raru ..sisi hatutaki shobo na wapuuzi kama nyie matakataka. Kama hamtufuatili kwanini kila siku kutuandama? Sisi tuna mziki wetu, tuna maisha yetu, tuna uchumi wetu, sisi hatitegemei serikali ituletee maendeleo. Sisi tumetapakaa Tz nzima tuna piga hela tunawaacha nyie wavivu wavivu muendelee kulia lia tu ..kama una hasira sana meza wembe au weka mguu mfukoni.
 
Nawasalimu kwa jina la JMT.

Juzi kwenye mkesha wa Christmas, dunia imeshuhudia magwiji wa muziki Nigeria, Wizkid, Davido, na Komredi Burna Boy, wakiungana kufanya show pamoja iliyoandaliwa na Tony Olumelu wa BOA bank. Iliashiria umoja na upendo miongoni mwa wasanii huko Nigeria. Kwa pamoja wameamua kulipigania na kuliwakilisha taifa lao vyema. Hili suala lilinitafakarisha sana hasa kuhusu sanaa ya hapa Tanzania.

Watanzania wengi waliochangia maoni kwenye post zilizohusu show ya hiyo miamba walikuwa wakiwatupia lawama kali Diamond na Alikiba. Mimi niliona wako sawa kwasababu Diamond na Kiba ni kama nembo za muziki wetu wangeweza kuhamasisha mambo yakabadilika. Ila binafsi sikupenda kujikita sana kuwalaumu hao wawili kwasababu wamefanya mambo mengi makubwa kwenye sanaa ya Tanzania. Wakati nikitafakari ndo nikakumbuka hawa wasanii kutoka Arusha. Nilipatwa na hasira kali sana kuhusiana na mienendo yao.

Wasanii wa Arusha ni wenye vipaji vikubwa pia wana exposure kubwa kutokana na kukulia kwenye kitovu cha utalii. Miongoni mwa wasanii wa mwanzo kupiga show za kimataifa walikuwa kundi la X-plastaz kutoka Arusha. R.I.P father Nelly. Hata wakongwe Chindoman na wengine ni watu wanaoijua vizuri mitaa ya mabeberu. Tatizo lililopo kwa wasanii wengi wa Arusha ni hii tabia mbaya ya kujitenga. Wao kila sehemu wanataka wawe wao tu bila kujichanganya na watu toka mikoa mingine. Hii ni tabia mbaya ya ubaguzi ambayo baba wa taifa aliichukia sana. Hayati Mwalimu Nyerere angekuwa hai angewakemea wasanii wote wanaodai wao ni wa Arachuga.

Huu upuuzi umefanya muziki wa Arusha kuwa duni sana na kuishia kuwa wasanii wa hapahapa. Na hii tabia imeota mizizi hadi kwa watu wengine ambao sio wasanii. Aliyekuwa mbunge wa Arumeru Nassari alishawahi kupanda jukwaani na kuropoka kuwa kuwepo jamhuri ya watu wa kaskazini. Mkimaliza kujibagua kwamba mmetoka Arusha mtaanza kubaguana kwamba huyu katoka Kijenge yule Kaloleni au Majengo. Watu wa Arusha tujichanganye na kusimama na watanzania wengine kama taifa moja la Tanzania.
Kuna hawa akina mbeya city nao naona wameanza kuiga...wanapenda sana kutaja taja mahali wanapotokea kwenye nyimbo zao sijui sasa ili iwwje
 
Hela zip unadhani zile hotels ni zenu na ni wawekezaji kwa ajili ya watalii na ivyo vyuo kajenga baba ako , na hayo mahotel unaongea ufala tu bangi sio fresh pambana na maisha ya kwenu wacha kuwa too generali
 
Kama unamfahamu Saleh Jabir ina maana umri wako ni zaidi ya 30yrs... kinachonishangaza ni huu upumbavu wako unatoka wapi kiasi kwamba unakuwa kama vile hauelewi mada?
Simply wewe ndio mpumbavu. Huna ulilojibu kati ya hayo niliyouliza hata moja. Endelea kupaliwa na chuki. Ila tambua kila msanii anafanya game vile anavyoona inafaa kwa maslahi yake.
 
Kwenye maredio wanapeana utangazaji halafu wanadai eti wana vipaji hwajiamini wa wewe competition waone sio kubebana
Taja jina/majina ya redio acha porojo. Anayeajiri ni mwenye redio. Anzisha na wewe ya kwako uajiri unavyotaka. Una chuki za kijinga sana. Hii nchi ina vituo vya redio zaidi ya 100, kwa hiyo huko kote wako wao!?
 
Nilikuwa nao kenya miaka fulani watu wa chuga ni wabaguzi na dili zao za magendo tu

Hapo south tu masailors wana umoja sana ila hao jamaa ushamba mwingi hawajui nn wamafuata mibangi tu mwishowe yanakuwa mateja
Dili zao za magendo zinakuzuia wewe usifanye dili zako!? Bangi ni starehe yao, na wewe fanya starehe yako. Kweli ugumu wa maisha , unazalisha ma_snitch.
 
Taja jina/majina ya redio acha porojo. Anayeajiri ni mwenye redio. Anzisha na wewe ya kwako uajiri unavyotaka. Una chuki za kijinga sana. Hii nchi ina vituo vya redio zaidi ya 100, kwa hiyo huko kote wako wao!?
Ona ulivyokuwa choko kwanza hujui hata unoangea nn sina mda kusikiliza mabangi
 
Ubaguzi ni jambo inevitable...

Ukiruka ufamilia utaangukia kwenye ukoo, ukiepuka ukoo utajikuta una ukabila, ukikataa ukabila utajikuta una ukanda mara utaifa nk. Hata wale wanaojitahidi kujibagua kwamba tupendane sisi waafrika na tuwabague waasia na wazungu hatimaye wanajikuta wanatengana tena wao kwa wao kwajili ya dini.

Hao uliowasifu wanajiproud na unaijeria kwanini wasipiganie uafrika?
 
Back
Top Bottom