sinza pazuri
JF-Expert Member
- Aug 16, 2014
- 2,525
- 7,377
Diamond Platnumz ndio baba wa bongofleva.
Anaichezesha sanaa ya bongo anavyotaka yeye.
Wasafi Festival ni tamasha alilofanikiwa sana na linazidi kuwa na nguvu.
Tamasha la kiingilio kikubwa hapa bongo na linajaza watu kuliko matamasha ya bure.
Akiamua sasa nitrend kwenye muziki hakuna wa kuweka pua yake inabidi wasubiri mpaka aende likizo.
Akiamua kuleta msanii wake mpya ndani ya wiki moja anakuwa supastaa mkubwa na biashara inayolipa. Wengine walijaribu wakachemsha.
Wasanii ombeni msamaha Chibu kabla ajapata hasira zaidi akaleta album yake.