Wasanii toka Arusha acheni kujibagua na kupigania mkoa badala ya taifa

Si mpaka kiingie madarakni tatizo hamstarabiki maisha usitete ujinga wa kwenu we simama kama wewe kama kwenu una pesa ,kama mjanja ni wewe achana na mambo za mkumbo 😂😂😂utakuja kuolewa
Ujinga uko kwenu wa kufuatilia maisha ya watu kichoko. Pambana na maisha yako. Usije ukaachika kwa basha wako.
 
Mnaweza kututajia hao wasanii wa chuga japo na sisi tuwafahamu
 
Wameimarisha baada ya Awamu ya 4 na ya 5 hasa ya 5 kuwatenga. Tuache sindano ituingie taratibu tupone ugonjwa wa ukabila na ukanda tuliojitakia wenyewe. Wakaskazini hatuwawezi hata tutambike. Wenzetu wameshatuacha mbali
Wametuacha mbali wapi kijana dhaifu wa fikra? Unapo ongea vitu vinavyo gusa maisha ya watu acha mihemko. Nchi hii kila mkoa kuna masikini wa kutupwa, vijana hawana kazi za maana zaidi ya ujanja ujanja alafu unaona fahari kuongea uongo eti wametuacha mbali. Kilimanjaro, Arusha sijui Dar es salaam pote hali ni moja umaskini umetamalaki. Kinacho endelea ni utoto tu ujinga
 
Nimezaliwa kaskazini Tena Arusha Pale ni nyumbani.... Naishi Dar hapa sio kwetu watu naofanya nao deals ni kutoka kaskazini kwasababu tunashabihana sana. Nawaheshimu sana ninyi wengine lakini hatuna tunachofanana ( Hapa inabidi ukubali tu )
Ok mfano mimi nakunywa mbege na najivunia ni asili yangu.
Nazungumza kiswahili chenye athari za lugha za kule.
Naamini naotoka nao kule .
December tunarudi wote .
Tunashindana kuboresha maisha ya kule.
Mpaka hapo wewe unaingia wapi?
Hata ukikasirika ukatoa maneno makali hatufanani Hii sio kwa ubaya ila ndo uhalisia....
( Tunaipenda Tanzania kwa sababu Kaskazini yetu Ipo ndani ya Tanzania)
Duuh hapo unaona ume-argue balaa,
 
Hii kitu itakuja kuleta shida kubwa sana kwetu wasukuma miaka 20+ baadae, maana wasomi wasukuma watakua wamejaa kila kona ya Shinyanga, Mwanza,Tabora, Geita, Simiyu yaani itakua wakiitisha nafasi za kazi basi asilimia 80 ya wanao omba kazi watakua watu wa lake zone hapo ndipo wimbo utapigwa remix. Itakua vita ya wasukuma vs kanda ndogo ndogo. Jah Bless Lake zone
 
Wewe ndio mpumbavu. Huo ulazima wa wasanii wa Chuga kujumuisha wasanii wa mikoa mingine unatokea wapi!? Ushirika unalazimishwa!? Kwani interest ziko sawa!? Halafu ulivyokuwa punguani umedai "muziki wa Arusha umekuwa duni usiovuka mipaka". Nimekuuliza wasanii gani wa mikoa mingine waliovuka mipaka , hebu wataje!? Unarukaruka. Kabla ya O_ten, Fa na AY kuja Dar unaweza kutaja ngoma zao? Kama hawakutoka wakiwa mikoani kwao, unalazimisha vipi kuwanasibisha na mikoa yao ya asili!? Hii game naifatilia tangu Saleh Jabiri anafanya remix ngoma za mbele kwa Kiswahili 1990. Kenge wewe.
Msitukanane wakuu!
 
Kuna Taasisi hapa watu waliomba intership walichukua wachag na wpare tu 6 hakuna mtu baki alipata kwa kweli na hawana performance yeyote ile kisa mkuu fulani ni mchaga na mama alipoingia alimtimua yule mkuu
Mkuu una chuki mbaya sana dhidi ya kaskazini/wachaga inayojionyesha wazi kwenye post zako. Mtoa mada anaongelea wasanii wa Arusha ila amefungua koki naona ya chuki uliyonayo moyoni. Eat. F**k.. Die… achana na wachaga
 
Nawasalimu kwa jina la JMT.

Juzi kwenye mkesha wa Christmas, dunia imeshuhudia magwiji wa muziki Nigeria, Wizkid, Davido, na Komredi Burna Boy, wakiungana kufanya show pamoja iliyoandaliwa na Tony Olumelu wa BOA bank. Iliashiria umoja na upendo miongoni mwa wasanii huko Nigeria. Kwa pamoja wameamua kulipigania na kuliwakilisha taifa lao vyema. Hili suala lilinitafakarisha sana hasa kuhusu sanaa ya hapa Tanzania.

Watanzania wengi waliochangia maoni kwenye post zilizohusu show ya hiyo miamba walikuwa wakiwatupia lawama kali Diamond na Alikiba. Mimi niliona wako sawa kwasababu Diamond na Kiba ni kama nembo za muziki wetu wangeweza kuhamasisha mambo yakabadilika. Ila binafsi sikupenda kujikita sana kuwalaumu hao wawili kwasababu wamefanya mambo mengi makubwa kwenye sanaa ya Tanzania. Wakati nikitafakari ndo nikakumbuka hawa wasanii kutoka Arusha. Nilipatwa na hasira kali sana kuhusiana na mienendo yao.

Wasanii wa Arusha ni wenye vipaji vikubwa pia wana exposure kubwa kutokana na kukulia kwenye kitovu cha utalii. Miongoni mwa wasanii wa mwanzo kupiga show za kimataifa walikuwa kundi la X-plastaz kutoka Arusha. R.I.P father Nelly. Hata wakongwe Chindoman na wengine ni watu wanaoijua vizuri mitaa ya mabeberu. Tatizo lililopo kwa wasanii wengi wa Arusha ni hii tabia mbaya ya kujitenga. Wao kila sehemu wanataka wawe wao tu bila kujichanganya na watu toka mikoa mingine. Hii ni tabia mbaya ya ubaguzi ambayo baba wa taifa aliichukia sana. Hayati Mwalimu Nyerere angekuwa hai angewakemea wasanii wote wanaodai wao ni wa Arachuga.

Huu upuuzi umefanya muziki wa Arusha kuwa duni sana na kuishia kuwa wasanii wa hapahapa. Na hii tabia imeota mizizi hadi kwa watu wengine ambao sio wasanii. Aliyekuwa mbunge wa Arumeru Nassari alishawahi kupanda jukwaani na kuropoka kuwa kuwepo jamhuri ya watu wa kaskazini. Mkimaliza kujibagua kwamba mmetoka Arusha mtaanza kubaguana kwamba huyu katoka Kijenge yule Kaloleni au Majengo. Watu wa Arusha tujichanganye na kusimama na watanzania wengine kama taifa moja la Tanzania.
Hapa mwanza mitaa nayoishi Kuna mafundi wa vifaa vya electronics bango la ofisi Yao wameandika kuwa umoja wa mafundi toka Arusha so nikadhani kuwa Arusha sio nyumbani labda ni huko mbali mashariki ya mbali. Jamaa zetu tuwasamehe wameathiriwa na ukenya Mana pale ni mdomo na pua
Hizo Mambo zipo Sana Kenya.
Mana mwalimu mjaluo wa migori hawezi enda kisiii kwa wakisii akafundisha kila mtu anafanyia kazi kwao.na lazima jina lako moja liwe la kikabila ili wakutambue kirahisi.
Mwanangu wa kwanza nimemzalia Arusha Sasa Cheri hospital naandika majina yote hakuna la kikabila wananikomalia kuwa lazima moja liwe la kikabila sijui ukoo Mara surname.
Nikabishana nao kinouma Ila mwishoni walinishinda nikataja jina la babu naye alikuwa na la ubatizo so like jina la tatu la mwanangu wakaweka la babu yangu na sio la babu yake na mwanangu
 
Mkuu una chuki mbaya sana dhidi ya kaskazini/wachaga inayojionyesha wazi kwenye post zako. Mtoa mada anaongelea wasanii wa Arusha ila amefungua koki naona ya chuki uliyonayo moyoni. Eat. F**k.. Die… achana na wachaga
Tuliza k
 
Hapa mwanza mitaa nayoishi Kuna mafundi wa vifaa vya electronics bango la ofisi Yao wameandika kuwa umoja wa mafundi toka Arusha so nikadhani kuwa Arusha sio nyumbani labda ni huko mbali mashariki ya mbali. Jamaa zetu tuwasamehe wameathiriwa na ukenya Mana pale ni mdomo na pua
Hizo Mambo zipo Sana Kenya.
Mana mwalimu mjaluo wa migori hawezi enda kisiii kwa wakisii akafundisha kila mtu anafanyia kazi kwao.na lazima jina lako moja liwe la kikabila ili wakutambue kirahisi.
Mwanangu wa kwanza nimemzalia Arusha Sasa Cheri hospital naandika majina yote hakuna la kikabila wananikomalia kuwa lazima moja liwe la kikabila sijui ukoo Mara surname.
Nikabishana nao kinouma Ila mwishoni walinishinda nikataja jina la babu naye alikuwa na la ubatizo so like jina la tatu la mwanangu wakaweka la babu yangu na sio la babu yake na mwanangu
Kuna tatizo kubwa sana kwa vijana wa Arusha.
 
Ni wapumbavu watu wa kaskazini wana ubaguzi mambwa kabisa wanajiona wanajua mabangi tu na ufala

Baadhi ya media wanapendelea kwao kutokan watangazaji ni wa huko ni binafsi simkubali msanii wala presenter yeyote anayetokea kaskazini zaidi ya milladayo tu

Kuanzia wasanii hata makundi yao siwafagilii hawana cha maana kujikuta katika wanajua tu
Wivu tu unakutesa.
 
Ni wapumbavu watu wa kaskazini wana ubaguzi mambwa kabisa wanajiona wanajua mabangi tu na ufala

Baadhi ya media wanapendelea kwao kutokan watangazaji ni wa huko ni binafsi simkubali msanii wala presenter yeyote anayetokea kaskazini zaidi ya milladayo tu

Kuanzia wasanii hata makundi yao siwafagilii hawana cha maana kujikuta katika wanajua tu
https://jamii.app/JFUserGuide you,,,,pumbavu mwenyewe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watu kama nyinyi hua tunafanya kuwa ignore, alaf tusasonga mbele
ooow Hii ni mara ya pili tena unarudia kusoma na kujibu....

Albert Einsten aliwahi kusema " Kurudia kufanya jambo moja huku ukitegemea matokeo tofauti ni kiwango cha juu kabisa Cha Ujinga"
 
Picha: Kijana wa Arusha aolewa na mzungu UK

huyo ndugu yako wa Arusha aliolewa kwasababu ndo mambo mnayojivunia siku hizi.

FIBq89MXoAcvjTv (1).jpeg
 
Back
Top Bottom