Wasanii Shilole na Wema wanajijengea picha mbaya kwa watanzania hii ni baada ya mivutano ya wasanii hao na watanzania mtandaoni itawagharimu

Wasanii Shilole na Wema wanajijengea picha mbaya kwa watanzania hii ni baada ya mivutano ya wasanii hao na watanzania mtandaoni itawagharimu

Genius Man

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2024
Posts
3,560
Reaction score
7,914
Wasanii shilole na wema wanajijengea picha mbaya kwa watanzania hii ni baada ya mivutano ya wasanii hao na watanzania mtandaoni itawagharimu.

Bora kugombana na mtu mmoja au wawili sio na watanzania wote unachogombea kwanza hukijui yani ni mbumbumbu ngoja upate shida huone kama utasaidiwa.
 
Wasanii shilole na wema wanajijengea picha mbaya kwa watanzania hii ni baada ya mivutano ya wasanii hao na watanzania mtandaoni itawagharimu.

Bora kugombana na mtu mmoja au wawili sio na watanzania wote unachogombea kwanza hukijui yani ni mbumbumbu ngoja upate shida huone kama utasaidiwa.
Na bado.. Walichooneshwa ni trailer tuu
 
Wasanii shilole na wema wanajijengea picha mbaya kwa watanzania hii ni baada ya mivutano ya wasanii hao na watanzania mtandaoni itawagharimu.

Bora kugombana na mtu mmoja au wawili sio na watanzania wote unachogombea kwanza hukijui yani ni mbumbumbu ngoja upate shida huone kama utasaidiwa.
Hawahitaji msaada wa kapuku yeyote hasa wewe
 
Ng'ombe aliyegongwa na Shilole amefungua akaunti ya Instagram kuwashukuru Watanzania kwa kujali afya yake
FB_IMG_1767548371641.jpg
 
Wema na shilole ndiyo wakina nani kwani?

Ova
 
Hapana. Ni haki yao kufanya wanachofanya ali mradi hawavunji sheria. Ndiyo demokrasia tunayoipigania hiyo.

Wao siyo watoto wadogo na bila shaka wanajua consequences za matendo yao katika mahakama ya jamii. Iacheni demokrasia itamalaki na kila mtu aamini na kutenda anachotaka ali mradi havunji sheria za nchi!
Mara zote simama upande unao toa haki kwa walio wengi
 
Hapana. Na haitakaa itokee. Binadamu ni kiumbe mtata na changamano mno kiasi cha kumuundia fomyula na majumuisho kwapuzi (sweeping generalizations) kama hayo. Lazima tu watakuwepo waghairishaji watakaopingana na mkondo haijalishi kama ni mkondo wa haki ama la! Demokrasia ya kweli, kimsingi, inatutaka tuheshimu mawazo na maamuzi ya watu hawa kwa kuamini wanachokiamini bila kujali kama kinasimama katika haki ama la! Kufanya vinginevyo ni udikteta maana demokrasia ya kweli haihitaji justifications katika utendakazi wake!
Hapana si kweli.. acha utapeli.. Tanzania hakuna demokrasia, angalia kila sekta kuanzia uchaguzi mkuu... Mfano .. Tanzania kuna pamde mbili UPANDE WA VIBAKA NA WAUAJI na UPANDE WA RAIA... hapa huwezi kusema mwizi kaiba ukae upande wake na kujisifu umechagua demakrasia ..Wema na shilole wamechagua upande wa Wauaji na watekaji ndo maana jamii imewatenga na kuwashangaa..Nikuulize je ikitokea wezi wanafanya wizi, kubaka, mauaji mtaani kwako unaweza kukaa upande wao na kuwatetetea kwa kujinadi ni demokrasia ukiwa upande wao lazima utakua mwizi mwenzao au mnufaika wa mali za wizi..
 
Mara zote simama upande unao toa haki kwa walio wengi
Sio kila mara upande wa wengi una akili..

Huwezi kuishi kisa fulani au watu fulani wanataka uishije maana hawana msaada wowote

Mfano ni hao vibaka wa okt 29, wengi waliwashawishi kuwa tupo wengi tuingie barabarani, kwa kuwa vibaka hao hawana akili wakaamini wakaingia barabarani, kilichotokea walilimwa misumari wengne ni vilema, wengne wamekufa, zaidi ya walichoambulia ni kuitwa makamanda wakati hata skauti hawajaenda.,waliowatuma wapo ni wazima na wamekaa sebuleni.

So long as hamkuwapa mtaji wa biashara zao, na hawavunji maduka kama nyie, waacheni waishi wanavyotaka na si kama mnavyotaka
 
Hapana. Ni haki yao kufanya wanachofanya ali mradi hawavunji sheria. Ndiyo demokrasia tunayoipigania hiyo.

Wao siyo watoto wadogo na bila shaka wanajua consequences za matendo yao katika mahakama ya jamii. Iacheni demokrasia itamalaki na kila mtu aamini na kutenda anachotaka ali mradi havunji sheria za nchi!
Mtoto mashallah. unaitaa.
 
Wasanii shilole na wema wanajijengea picha mbaya kwa watanzania hii ni baada ya mivutano ya wasanii hao na watanzania mtandaoni itawagharimu.

Bora kugombana na mtu mmoja au wawili sio na watanzania wote unachogombea kwanza hukijui yani ni mbumbumbu ngoja upate shida huone kama utasaidiwa.
Mkuu Jiniasi Genius Man, Asante kwa story hii ya wasanii Wema na Shilo, ila ndio humu kwenye jukwaa la Siasa?!

Uko humu almost 2years bado hujajua kuna majukwaa ya hizi mada?. Hawa ni ma selebu wetu wana jukwaa lao humu

P
 
Back
Top Bottom