JanguKamaJangu
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 2,308
- 5,462
Tume ya Utangazaji imeitaka WASAFI FM Radio kulipa faini ya Tsh. Milioni 5 kwa kuvunja masharti ya leseni kwa kuidanganya Tume juu ya Studio zao za Unguja kutotumika kwa vipindi vya aina yoyote kwa karibu miezi mitatu sasa
Tume imeitoza ZBC Faini Tsh. Milioni 1 kwa kipindi cha MICHAPO kuonyesha maudhui yasiyozingatia Mila Silka na Maadili ya Mzanzibari kupitia miziki yenye picha zilizokuwa hazina maadili
Aidha, Tume imeipiga Redio Mjini FM 92.5 Faini Tsh. Milioni 10 kwa kurusha matangazo kutoka Dar kwa 90% badala ya Mlandege (Unguja) kinyume na Leseni yao.
Tume imeitoza ZBC Faini Tsh. Milioni 1 kwa kipindi cha MICHAPO kuonyesha maudhui yasiyozingatia Mila Silka na Maadili ya Mzanzibari kupitia miziki yenye picha zilizokuwa hazina maadili
Aidha, Tume imeipiga Redio Mjini FM 92.5 Faini Tsh. Milioni 10 kwa kurusha matangazo kutoka Dar kwa 90% badala ya Mlandege (Unguja) kinyume na Leseni yao.