ZionGate
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 6,370
- 3,006
More like what?,hakuna zaidi ya KWELI na ndio uzima.Good but you need more than that
More like what?,hakuna zaidi ya KWELI na ndio uzima.Good but you need more than that
Wewe umeokoka?? Ni kosa kubwa kusema umeokoka wakati bado unaishi katika dunia ya dhambi,Unaposema umeokoka ina maana wewe dhambi huna,kitu ambacho si kweli.Hao hao mnasema mmeoka huku mnakamatwa ugoni.kumbuka kama wewe umeokoka ina maana humwitaji tena YESU,kwa maana YESU alikuja kwa wenye dhambi na sio watakatifu kama nyie.Kama YESU mwenyewe alisema YEYE si mwema bali BABA WA MBINGUNI,Wewe ni nani sasa unaemzidi YESU.Ole wenu nyie wanafiki.
Wasabato si ndo wale wanaotaka kwenda marejani kuhubiri bila visa,pasport tena bila nauli.?
Kanisa la kweli ni katoliki tu,mengine makelele tu.
Mnafiki ni wewe farisayo wa kisabato usiyeyafahamu maandiko. Warumi 10:9 inasema nini kuhusu kuokoka? Ok kama hufahamu hili soma zaburi 16:3 inasemaje kuhusu watakatifu walioko duniani? Ndio maana Paulo akaandika habari hizi mapema kwenye
2 Timotheo 3:5 , " wenye mfano wa utauwa, lakini wakikana nguvu zake; hao nao ujiepushe nao." kuwahusu watu kama nyie mnaojidai mnamjua KRISTO huku mkikana nguvu zake yeye. Narudia tena usabato ni dini ya kishetani yenye kujificha chini ya mwavuli wa BWANA YESU.Okokeni leo maana neema ipo bure.
Swali zuri na lina majibu mengi, lakini niongee kidogo.utatofautisha vipi maajabu ya nguvu za shetani zitokazo "Nigeria" na maajabu ya nguvu za roho mtakatifu zitokazo mbinguni?ni kweli muda wote Yesu alihubiri kwa maajabu?hakuna muda alizungumza maneno matupu kwa ajili tu ya kufafanua bila maajabu?mitume wote na manabii walihubiri kwa maajabu?Leo hii wewe unajifunza Yesu "wa kusoma vitabuni",akiwa complete,wakati ule watu walijifunza Yesu mpya,ambaye hajawahi kuwako popote duniani,unafikiri kati yako wewe uliyeletewa Yesu complete vitabuni,na wale ambao hawakuwa na biblia iliyojaa mafundisho na miujiza ya Yesu,nani anahitaji msaada mkubwa wa kimafundisho ikiwemo maajabu ili kujenga imani ndogo ya punje ya haradali?fikiria sana swali hili mkuu,utafakari kwa kina.
Zipo lakini niliamua kutumia hiyo ya kiingereza maana hiyo inawezekana ku copy na ku paste wakati za kiswahili haiwezekani(kwa zile nilizonazo).
More like what?,hakuna zaidi ya KWELI na ndio uzima.
Mnafiki ni wewe farisayo wa kisabato usiyeyafahamu maandiko. Warumi 10:9 inasema nini kuhusu kuokoka? Ok kama hufahamu hili soma zaburi 16:3 inasemaje kuhusu watakatifu walioko duniani? Ndio maana Paulo akaandika habari hizi mapema kwenye
2 Timotheo 3:5 , " wenye mfano wa utauwa, lakini wakikana nguvu zake; hao nao ujiepushe nao." kuwahusu watu kama nyie mnaojidai mnamjua KRISTO huku mkikana nguvu zake yeye. Narudia tena usabato ni dini ya kishetani yenye kujificha chini ya mwavuli wa BWANA YESU.Okokeni leo maana neema ipo bure.
Kuna tofauti kati ya neno UTAOKOKA na UNAOKOKA,katika warumi 10:9 imesema UTAOKOKA that's means ni future tense
Pia neno linasema atakayevumilia mpaka mwisho Ataokoka...wokovu 2lionao kwa sasa ni ule wa kifo cha Yesu ambayo ni NEEMA tu ambayo kila mwanadamu anaipata
Barikiwa
More like what?,hakuna zaidi ya KWELI na ndio uzima.
Matthew 3:16
[SUP]13 [/SUP]Then cometh Jesus from Galilee to Jordan unto John, to be baptized of him.
[SUP]14 [/SUP]But John forbad him, saying, I have need to be baptized of thee, and comest thou to me?
[SUP]15 [/SUP]And Jesus answering said unto him, Suffer it to be so now: for thus it becometh us to fulfil all righteousness. Then he suffered him.
[SUP]16 [/SUP]And Jesus, when he was baptized, went up straightway out of the water: and, lo, the heavens were opened unto him, and he saw the Spirit of God descending like a dove, and lighting upon him:
Nimeweka hiyo red kukuonyesha ubatizo unaokubalika kibiblia. Ukisoma fungu la 13 hapo juu, utaona kwamba Yesu alipobatizwa katika mto Yordan hatimaye anatoka ndani ya maji kama ingekuwa amemwagiwa maji kichwani hiyo lugha iliyotumika hapo isingekuwa hivyo maana huwezi kuingia ndani ya kikombe au kibuyu. Hapa kumetajwa mto wa Yordan, hivyo basi Yesu aliingia ndani ya maji ya mto akabatizwa humo katika maji mengi! HUU NDIYO UBATIZO ALIOBATIZWA YESU AMBAO NI KIELELEZO KWA WAFUASI WAKE.(WAKRISTO)
Kuna watu wanaruka moto, wanapita chini ya bendera zao, wanaingia makanisani wakiwa uchi wake kwa waume, wanamwagiana vikombe vya maji kichwani n.k. wakiita ubatizo halisi, la hasha! huo si ubatizo wa Kristo! Hivo ninachagua kueleza ubatizo huu mmoja kwa vile ndio ubatizo kielelezo kwa Wakristo wote!
1.Unaweza ukawa muombaji mzuri sana ila nafsi yako imejaa madhambi kibao,dhambi sio lazima ufanye uonekane zipo dhambi kibao unatenda kwa nafsi,mpaka hapo Mbingu itaiona kwa kushika KWELI na sio maombi.Nitakutajia kwa uchache kwani tunajua kwa kiasi.
1.Mombi 2.Utakatifu na Haki
Marejani ndo kule anakoishi mungu wenu papa??
Asante kwa majibu yako!
Je wasabato wanaabudu Siku au wanatambua Kua Siku zote ni za Bwana? Au wanamuabudu Yule alieziumba mbingu na nchi na vyote vilivyomo na chemichemi za Maji?
Ivi mtu akisema Yesu ni Bwana Wa sabato Maana Yale ni nini? Kwamba sabato iliishia kwa Yesu au pale msalabani au vp?
Naomba Msaada wenu wake! Maana Nahisi kuna Watu wanashindwa kuelewa au wanapotezwa na wafasili wabaya Wa maandiko!
Cc: Blueband Basluma Original Eiyer etc all
Zipo zinazowezekana
Unatakiwa ujue kuwa ujumbe unaouweka hapa ni wa watu wa kawaida kabisa ambao wengi wao hiyo lugha ni tatizo
Hivyo ni bora ukawawekea lugha ambayo wanaifahamu vyema
Halafu kutumia lugha ya watu wengine ni wakati yako ipo sio sawa kabisa
Hii hapa na utaweza kukopi: Biblia Takatifu katika lugha ya Kiswahili na simulizi redio
Teh teh teh tuwasubiri wenye dini yao... Ila me najiulizaga tu hivi wale Mitume walikuwa dini gani na Yesu mwenyewe je? Na wazazi/Walezi wake walikuwa dini gani.. Na hivi Mitume,manabii na Yesu mwenyewe walukuja kuleta dini?
Sema nilitumia lugha siyo ila nilimaanisha ulikuwa sahihi ila Pomoja na hayo kuna Mengi yakupasayo baada ya kuokoka au kumpokea Bwana Yesu kuwa Bwana na mwokozi wako.Ndio nikakutajia hayo matatu.1.Unaweza ukawa muombaji mzuri sana ila nafsi yako imejaa madhambi kibao,dhambi sio lazima ufanye uonekane zipo dhambi kibao unatenda kwa nafsi,mpaka hapo Mbingu itaiona kwa kushika KWELI na sio maombi.
2.Utakatifu unatokana na kuishika KWELI
3.Haki ulikwisha kuhesabiwa iwe kwa mema au maovu..
Ubarikiwe mkuuShukrani mkuu, ngoja niikopi.
Mkuu kabla sijaingia kwenye kukujibu hoja yako kwa kirefu naomba unijibu hili swali
Kabla ya Yesu kuja duniani Torati ilikuwa imehubiriwa sehemu nyingine za Dunia tofauti na Israel?