pleo
JF-Expert Member
- Jun 20, 2013
- 3,558
- 2,932
Sabato ilioyopo kwasasa ni ya amri kumi.
sikuwa na habari kama kuna vitu hatustahili kuvifanya tena kipi kingine kilichofutwa, sina uhakika ila namna hii ya majibu ndio inayoleta shida tuliyonayo kwenye Ukristo na kutuongezea madhehebu.