Wasabato ujumbe wenu huu hapa

Wasabato ujumbe wenu huu hapa

Status
Not open for further replies.
"Anyway! It is lawful to do good in sabbath day!" sijakupata vema mkuu.

swali limejengwa kwa utunzwaji wa Sabato katika mazingira yaliyopita kama kioo cha sasa. Utanisamehe nipo mbali na Biblia.
Tunafahamu,
unatakiwa kupumzika siku ya saba.
Kuwa na sikukuu mwezi wa saba siku ya kwanza.
Kupumzisha ardhi mwaka wa saba.
Kusamehe madeni mwaka wa saba.
Orodha ikiendelea...
Kwa mtazamo huo dhana ya sabato ni pana zaidi ya kwenda kanisani siku ya sabato "jumamosi".
Inajumuisha taratibu nyingi zaidi kwenye mfumo wa maisha ya muumini, hususani inapokuwa sheria ya Mungu ni ngumu kuirahisisha kwa mtazamo wa kibinadamu

Mkuu Blueband hoja ya pleo hii hapa
 
Last edited by a moderator:
samahani mkuu najaribu kukuelewa ila imekuwa ngumu, sijui unamaanisha nini kwa hili, kabla ya ubatizo wa Yohana ulikuwepo wa Musa na mingine pia, kwa nini umechagua mmoja tu wa Yohana kama sahihi?
Ningeomba unipe ubatili wa ubatizo wa Musa na wengineo kabla na baada ya Yohana bila kusahau wa sasa kwa makanisa unayoyafahamu.

Matthew 3:16
[SUP]13 [/SUP]Then cometh Jesus from Galilee to Jordan unto John, to be baptized of him.
[SUP]14 [/SUP]But John forbad him, saying, I have need to be baptized of thee, and comest thou to me?
[SUP]15 [/SUP]And Jesus answering said unto him, Suffer it to be so now: for thus it becometh us to fulfil all righteousness. Then he suffered him.
[SUP]16 [/SUP]And Jesus, when he was baptized, went up straightway out of the water: and, lo, the heavens were opened unto him, and he saw the Spirit of God descending like a dove, and lighting upon him:


Nimeweka hiyo red kukuonyesha ubatizo unaokubalika kibiblia. Ukisoma fungu la 13 hapo juu, utaona kwamba Yesu alipobatizwa katika mto Yordan hatimaye anatoka ndani ya maji kama ingekuwa amemwagiwa maji kichwani hiyo lugha iliyotumika hapo isingekuwa hivyo maana huwezi kuingia ndani ya kikombe au kibuyu. Hapa kumetajwa mto wa Yordan, hivyo basi Yesu aliingia ndani ya maji ya mto akabatizwa humo katika maji mengi! HUU NDIYO UBATIZO ALIOBATIZWA YESU AMBAO NI KIELELEZO KWA WAFUASI WAKE.(WAKRISTO)

Kuna watu wanaruka moto, wanapita chini ya bendera zao, wanaingia makanisani wakiwa uchi wake kwa waume, wanamwagiana vikombe vya maji kichwani n.k. wakiita ubatizo halisi, la hasha! huo si ubatizo wa Kristo! Hivo ninachagua kueleza ubatizo huu mmoja kwa vile ndio ubatizo kielelezo kwa Wakristo wote!
 
SDA is an occultic religion. Mkubali mkatae, kama kweli mnajua historia someni history ya mwasisi wenu John Miller. Usimsahau nabii wa uongo Hellen.G.White. Kama sabato ni pumziko basi sisi tumepumzishwa na tunaendelea kupumzishwa na Bwana wa Sabato.
(Mathayo 11:28). Nyinyi endeleeni kushika siku. Okokeni leo.

Ha ha ha ha haaaaaa. Hapo red ndo viongozi walivyokukalilisha? ulikusudia kumtaja William Miller ama James White?. Na ngoja nikuulize swali, unamfahamu mwanzilishi kwa upande wa dhehebu lako ama humfahamu. And also hebu kuwa muwazi, mbona mwandiko huu ni kama wa bwana tedo maana naye hupenda kuandika jina la Ellen G White kama Hellen, au ni id ya pili au umeiga uandishi wa majina hayo toka kwa tedo au mna undugu?.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu ntuzu pole na hongera kwa kazi hii njema unayoifanya. Tatizo ninaloliona humu, jamaa zetu wenye upako wa roho mtakatifu hawaji na mafungu. Wanataka tufanye ubishi badala ya kuelekezana. Hata hivyo tuko pamoja na ingekuwa vyema wakatueleza maana ya hiki ulichowauliza. Tuko pamoja nimeingia humu ndani.

Mkuu Blueband Nashukuru sn Lkn sisi km wanafunzi Wa Yesu tuna wajibu Wa kuhubiri habari njema!
 
Nafurahi sn kuona mada inavyokwenda na jinsi Watu wanavyojadilia!

Naam! Ktk swala lako la Roho mtakatifu Mimi sipingi na sisi wasabato hatupingi uwepo Wa Roho mtakatifu Na kz zake zote!

Kitu tunachopinga ni Zile dhana zenu za kuongea maneno yasioeleweka na kupiga mikelele eti kwa kusingizia Kua unanena kwa lugha na pia eti Roho mtakatifu kakuongoza Ktk Hilo!

Ni hapo tu! Maana mko kinyume kabisa na maandiko!

Ebu pitia post zetu hapo nyuma huenda ukaelewa nini tunasema!
Hivi mkuu kwanini huwa hamsherekei pasaka(kufufuka kwa bwana Yesu),embu funguka hapo
 
Ha ha ha ha haaaaaa. Hapo red ndo viongozi walivyokukalilisha? ulikusudia kumtaja William Miller ama James White?. Na ngoja nikuulize swali, unamfahamu mwanzilishi kwa upande wa dhehebu lako ama humfahamu. And also hebu kuwa muwazi, mbona mwandiko huu ni kama wa bwana tedo maana naye hupenda kuandika jina la Ellen G White kama Hellen, au ni id ya pili au umeiga uandishi wa majina hayo toka kwa tedo au mna undugu?.

Ni yeye tedo ana ID mbili.
 
Last edited by a moderator:
Je wasabato hawaamini ktk UTATU HASA ROHO MTAKATIFU KAMA WALOKOLE WANAVYO TUTUHUMU?

Cc: Blueband Basluma Original etc all
 
Last edited by a moderator:
Hivi mkuu kwanini huwa hamsherekei pasaka(kufufuka kwa bwana Yesu),embu funguka hapo

Pasaka wasabato wanasheherekea kwa kunywa na kula mwili wa BWANA kiimani kama alivyoagiza na sio kwa kula pilau,kuku na bia.katika ile sinema ya YESU uliona YESU akila ubwabwa? Na kwenye biblia kuna sehemu yoyote imeandikwa kwamba pasaka ni mwezi wa nne? la hasha bali ilitungwa na papa mwaka.
 
wasabato sio wakristu,ebu watueleze wako dini gani,maana kuna watu wanasema ni wapagani

niwakristu, ila sio wakristu kwa hoja ya nani achinje au kwenye umoja wa wcc/ecumunicle/ mama wa makahaba
 
Hivi mkuu kwanini huwa hamsherekei pasaka(kufufuka kwa bwana Yesu),embu funguka hapo



Ktk bible hakuna tarehe Maalum ya PASAKA na pia tunasherekea pasaka km kumbukumbu ya Bwana Yesu alivyotuagiza tufanye! Lkn kwa Mwaka tunafanya Mara 4 kila robo ya Mwaka twafanya hivyo kwasababu hakuna Tarehe maalum Ktk bible!

Cc: Basluma Original na Blueband kwa nyongeza Zaidi!
 
Last edited by a moderator:
ha ha ha ha haaaaaa. Hapo red ndo viongozi walivyokukalilisha? Ulikusudia kumtaja william miller ama james white?. Na ngoja nikuulize swali, unamfahamu mwanzilishi kwa upande wa dhehebu lako ama humfahamu. And also hebu kuwa muwazi, mbona mwandiko huu ni kama wa bwana tedo maana naye hupenda kuandika jina la ellen g white kama hellen, au ni id ya pili au umeiga uandishi wa majina hayo toka kwa tedo au mna undugu?.

waldensia
 
Last edited by a moderator:
Hivi mkuu kwanini huwa hamsherekei pasaka(kufufuka kwa bwana Yesu),embu funguka hapo

Sisi tunaadhimisha hivi pasaka(kama Yesu alivyoagiza) Matthew 26:26-28 And as they were eating, Jesus took bread, and blessed it, and broke it, and gave it to the disciples, and said, Take, eat; this is my body. And he took the cup, and gave thanks, and gave it to them, saying, Drink ye all of it; For this is my blood of the new testament, which is shed for many for the remission of sin. Na pasaka iliadhimishwa kuelezea ujio wa Yesu duniani na mauti yake. Na hivyo sisi tunakumbuka mauti yake kwa kunywa divai(kama damu ya Yesu) na mkate(kama mwili wa Yesu). Ile nyingine ya kipagani wanayoiita easter sisi hatuna sehemu nayo maana kiukweli ni sikukuu ya kumbukumbu ya mungu ishtar. Kumbuka pia, sikukuu nyingi za kidini leo, ni matokeo ya upagani uliovikwa vazi la ukristo ili kuficha maovu yao.
 
Pasaka wasabato wanasheherekea kwa kunywa na kula mwili wa BWANA kiimani kama alivyoagiza na sio kwa kula pilau,kuku na bia.katika ile sinema ya YESU uliona YESU akila ubwabwa? Na kwenye biblia kuna sehemu yoyote imeandikwa kwamba pasaka ni mwezi wa nne? la hasha bali ilitungwa na papa mwaka.
Mbona hujamalizia mwaka,pili kwani kula dhambi au kunywa?
 
Matthew 3:16
[SUP]13 [/SUP]Then cometh Jesus from Galilee to Jordan unto John, to be baptized of him.
[SUP]14 [/SUP]But John forbad him, saying, I have need to be baptized of thee, and comest thou to me?
[SUP]15 [/SUP]And Jesus answering said unto him, Suffer it to be so now: for thus it becometh us to fulfil all righteousness. Then he suffered him.
[SUP]16 [/SUP]And Jesus, when he was baptized, went up straightway out of the water: and, lo, the heavens were opened unto him, and he saw the Spirit of God descending like a dove, and lighting upon him:


Nimeweka hiyo red kukuonyesha ubatizo unaokubalika kibiblia. Ukisoma fungu la 13 hapo juu, utaona kwamba Yesu alipobatizwa katika mto Yordan hatimaye anatoka ndani ya maji kama ingekuwa amemwagiwa maji kichwani hiyo lugha iliyotumika hapo isingekuwa hivyo maana huwezi kuingia ndani ya kikombe au kibuyu. Hapa kumetajwa mto wa Yordan, hivyo basi AMEN
 
Je wasabato hawaani Ktk UTATU HASA ROHO MTAKATIFU KAMA WALOKOLE WANAVYO TUTUHUMU?

Cc: Blueband Basluma Original etc all

Katika mafundisho ya msingi ya waadventisata wasabato, tunaamini katika roho mtakatifu. Na msingi wa imani unaoeleza roho mtakatifu ni msingi wa tano unaosema hivi.
God the eternal Spirit was active with the Father and the Son in Creation, incarnation, and redemption.

He inspired the writers of Scripture.

He filled Christ's life with power.

He draws and convicts human beings; and those who respond He renews and transforms into the image of God.

Sent by the Father and the Son to be always with His children, He extends spiritual gifts to the church, empowers it to bear witness to Christ, and i
n harmony with the Scriptures leads it into all truth.
 
Last edited by a moderator:
msalipo msiwe kama wanafiki wanaosali sara ndefu huku wakipayukapayuka njia panda za barabara. Bwana mungu ahimidiwe.

wekeni vifungu vya biblia. Ukitaka kuelewa vizuri usisome mstari mmoja tu. Jaribu kusoma sura nzima ndiyo utaelewa zaidi
 
Sisi tunaadhimisha hivi pasaka(kama Yesu alivyoagiza) Matthew 26:26-28 And as they were eating, Jesus took bread, and blessed it, and broke it, and gave it to the disciples, and said, Take, eat; this is my body. And he took the cup, and gave thanks, and gave it to them, saying, Drink ye all of it; For this is my blood of the new testament, which is shed for many for the remission of sin. Na pasaka iliadhimishwa kuelezea ujio wa Yesu duniani na mauti yake. Na hivyo sisi tunakumbuka mauti yake kwa kunywa divai(kama damu ya Yesu) na mkate(kama mwili wa Yesu). Ile nyingine ya kipagani wanayoiita easter sisi hatuna sehemu nayo maana kiukweli ni sikukuu ya kumbukumbu ya mungu ishtar. Kumbuka pia, sikukuu nyingi za kidini leo, ni matokeo ya upagani uliovikwa vazi la ukristo ili kuficha maovu yao.
Hayo mageuza aliyafanya kabla ya kukamatwa na kuuwawa ambapo aliezea tukio zima na atakae msaliti,ni wapi imeandikwa pasaka ni kusherekea ujio wake na mateso yake?,pili ikiwa wayahudi walisherekea pasaka kwa kuchinja mwanakondoo kwa ishara ya damu Je sadaka ya Yesu ni ipi?,tatu swali langu hukumalizia kujibu yaani ufufuko wa Yesu Je mnaamini ilo?
 
Katika mafundisho ya msingi ya waadventisata wasabato, tunaamini katika roho mtakatifu. Na msingi wa imani unaoeleza roho mtakatifu ni msingi wa tano unaosema hivi.
God the eternal Spirit was active with the Father and the Son in Creation, incarnation, and redemption.

He inspired the writers of Scripture.

He filled Christ's life with power.

He draws and convicts human beings; and those who respond He renews and transforms into the image of God.

Sent by the Father and the Son to be always with His children, He extends spiritual gifts to the church, empowers it to bear witness to Christ, and i
n harmony with the Scriptures leads it into all truth.

Asante kwa majibu yako!

Je wasabato wanaabudu Siku au wanatambua Kua Siku zote ni za Bwana? Au wanamuabudu Yule alieziumba mbingu na nchi na vyote vilivyomo na chemichemi za Maji?
 
niwakristu, ila sio wakristu kwa hoja ya nani achinje au kwenye umoja wa wcc/ecumunicle/ mama wa makahaba

Yani wasabato wanawachukia wakatoliki kuliko hata lucifer si bure hawa wametumwa na bosi wao lusiferi.
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom