Wasabato ujumbe wenu huu hapa

Wasabato ujumbe wenu huu hapa

Status
Not open for further replies.
Rosemerie nimeiona jazba katika ujumbe wako sasa hapa unanipa shida kukuelewa kuhusu huyo roho mtakatifu aliyekujaza. Anyway nimeona bora nikusaidie kwa maelezo haya:

Siyo vyema kuelekeza HASIRA zako kwa Wasabato maana wao wanapoongea na kusoma biblia wanafanya kwa tafakuri kubwa sana, hivyo ulitakiwa kuwajibu kwa ANDIKO kama kweli umejazwa na Roho Mtakatifu. Hebu tuangalie ulipojenga thread yako: Kujazwa na Roho Mtakatifu/upako na kuongea/kuomba kwa lugha.
Dadaangu maandiko yanasema hivi:
Matendo 2:1-11
[SUP]1[/SUP]Hata ilipotimia siku ya Pentekoste walikuwako wote mahali pamoja,[SUP]2[/SUP]kukaja ghafla toka mbinguni uvumi kama uvumi wa wa upepo wa nguvu ukienda kasi, ukaijaza nyumba yote waliokuwa wameketi.[SUP]3[/SUP]Kukawatokea ndimi zilizogawanyikana kama ndimi za moto uliowakalia kila mmoja wao.[SUP]4[/SUP]Wote wakajazwa Roho Mtakatifu, wakaanza kusema kwa lugha nyingine kama Roho alivyowajaalia kutamka.[SUP]5[/SUP]Na walikuwako Yerusalemu Wayahudi wakikaa, watu wataua,watu wa kila taifa chini ya mbingu.[SUP]6[/SUP]Basi sauti hii iliposikiwa, makutano walikutanika, wakashikwa na fadhaa, kwa kuwa kila mmoja aliwasikia wakisema kwa lugha yake mwenyewe.[SUP]7[/SUP] Wakashangaa wote, wakastaajabu wakiambiana, tazama, hawa wote wasemao si Wagalilaya?[SUP]8[/SUP]Imekuwaje basi sisi kusikia kila mtu lugha yetu tuliyozaliwa nayo?.....

Sasa ukirejea fungu la 3,4 utaona kwamba ni kweli walipojazwa na Roho Mtakatifu walijaaliwa kuongea lugha tofauti.
Fungu la 5-8 linakuelezea makabila au lugha tofauti zilizotumika kule Yerusalemu ambazo kila mmoja wa kabila au lugha zile aliweza kusikia kile kilichonenwa na hao mitume katika lugha yake! Ndiyo maana walishangaa wakisema hawa si ni kabila ya galilaya sasa mbona wanaponena tunawasikia kwa lugha yetu? Ukiendelea mafungu yanayofuata hadi la 11 kumetajwa maeneo yote na kabila zote zilizohusika pale. Maana ya unenaji wa lugha hizi si kupiga kelele kwa maneno yasiyoeleweka kwa kisingizio cha upako mtakatifu. Roho Mtakatifu anapomjaza mtu anayenena kwa lugha si kwamba yule mtu aliyejazwa ataongea maneno au lugha isiyoeleweka la hasha!! Nia hapa si kuongea maneno tu ila ni kufikisha ujumbe kwa wasikilizaji. Sasa huyo roho anapokujaza kuongea maneno/lugha isiyo eleweka anakuwa anamfundisha nani?
Mitume walipojazwa Roho Mtakatifu walitumia lugha ambazo hawakuwa wamejifunza hapo awali lakini zilieleweka kwa wale makutano.
Tujaribu kutofautisha kati ya mtu aliyejazwa na Roho Mtakatifu na yule aliyejazwa na roho mtakafujo!!!
 
Khe Khe Khe Khe Khe

Rafiki Yangu tedo nimefurahi sn sn kuona umeniita!

Najua na ninaamini Kua sasa tumekua marafiki Wa kweli Ktk bwana!

Mleta mada kaandika tu hoja zake bila kuweka ata Andiko Kodogo!

Mi nazani Ktk hicho kipindi alichosikiliza huyo mtangazaji hawezi kusema bila Reference za maandiko!

Wala sina tatizo...Ni swala la kuheshimiana tuu..Anayepayuka anayesali kimya kimya kama Mungu anatimiza haja ya moyo wake sina tatizo....
 
Last edited by a moderator:
Mabishano ya kidini sijawahi kusikia yakipata mshindi!
 
Mkuu rosemarie una hoja ingine? Maana Naona Ktk hili hauna la kujitetea?

Roho mtakatifu ana kz nyingi ikiwemo kutuongoza Ktk kweli yote na ukumbuke Yesu anasema neno lake ndio kweli!

Kwahiyo km na Wewe ulikua unapiga mikelele hovyo ukidai Kua unanena kwa lugha au unaongea lugha ya kimbingu na Mungu! Huenda ulikua hujui kweli! Lkn Leo umepata kweli! Nikuombe tu Mkuu acha kufanya hivyo ni machukizo mbele za Mungu!

Mkuu Ntuzu nashukuru kwa kutangulia kufikisha ujumbe, ntwk imenipa taabu sana...!
 
wakatoliki hawachukiwi ila huwa wanaelimishwa kuhusu kweli ya biblia na ndo maana huwa wanakasirika kwa sababu ya kwenda kinyume na biblia inavyosema kama ibada za sanamu,ubatizo,maombi ya wafu,na mengineyo mengi ndo maana huwa wakielezwa ukweli wanakasirika...
 
Wasabato si ndo wale wanaotaka kwenda marejani kuhubiri bila visa,pasport tena bila nauli.?

Kanisa la kweli ni katoliki tu,mengine makelele tu.
 
Rosemerie nimeiona jazba katika ujumbe wako sasa hapa unanipa shida kukuelewa kuhusu huyo roho mtakatifu aliyekujaza. Anyway nimeona bora nikusaidie kwa maelezo haya:

Siyo vyema kuelekeza HASIRA zako kwa Wasabato maana wao wanapoongea na kusoma biblia wanafanya kwa tafakuri kubwa sana, hivyo ulitakiwa kuwajibu kwa ANDIKO kama kweli umejazwa na Roho Mtakatifu. Hebu tuangalie ulipojenga thread yako: Kujazwa na Roho Mtakatifu/upako na kuongea/kuomba kwa lugha.
Dadaangu maandiko yanasema hivi:
Matendo 2:1-11
[SUP]1[/SUP]Hata ilipotimia siku ya Pentekoste walikuwako wote mahali pamoja,[SUP]2[/SUP]kukaja ghafla toka mbinguni uvumi kama uvumi wa wa upepo wa nguvu ukienda kasi, ukaijaza nyumba yote waliokuwa wameketi.[SUP]3[/SUP]Kukawatokea ndimi zilizogawanyikana kama ndimi za moto uliowakalia kila mmoja wao.[SUP]4[/SUP]Wote wakajazwa Roho Mtakatifu, wakaanza kusema kwa lugha nyingine kama Roho alivyowajaalia kutamka.[SUP]5[/SUP]Na walikuwako Yerusalemu Wayahudi wakikaa, watu wataua,watu wa kila taifa chini ya mbingu.[SUP]6[/SUP]Basi sauti hii iliposikiwa, makutano walikutanika, wakashikwa na fadhaa, kwa kuwa kila mmoja aliwasikia wakisema kwa lugha yake mwenyewe.[SUP]7[/SUP] Wakashangaa wote, wakastaajabu wakiambiana, tazama, hawa wote wasemao si Wagalilaya?[SUP]8[/SUP]Imekuwaje basi sisi kusikia kila mtu lugha yetu tuliyozaliwa nayo?.....

Sasa ukirejea fungu la 3,4 utaona kwamba ni kweli walipojazwa na Roho Mtakatifu walijaaliwa kuongea lugha tofauti.
Fungu la 5-8 linakuelezea makabila au lugha tofauti zilizotumika kule Yerusalemu ambazo kila mmoja wa kabila au lugha zile aliweza kusikia kile kilichonenwa na hao mitume katika lugha yake! Ndiyo maana walishangaa wakisema hawa si ni kabila ya galilaya sasa mbona wanaponena tunawasikia kwa lugha yetu? Ukiendelea mafungu yanayofuata hadi la 11 kumetajwa maeneo yote na kabila zote zilizohusika pale. Maana ya unenaji wa lugha hizi si kupiga kelele kwa maneno yasiyoeleweka kwa kisingizio cha upako mtakatifu. Roho Mtakatifu anapomjaza mtu anayenena kwa lugha si kwamba yule mtu aliyejazwa ataongea maneno au lugha isiyoeleweka la hasha!! Nia hapa si kuongea maneno tu ila ni kufikisha ujumbe kwa wasikilizaji. Sasa huyo roho anapokujaza kuongea maneno/lugha isiyo eleweka anakuwa anamfundisha nani?
Mitume walipojazwa Roho Mtakatifu walitumia lugha ambazo hawakuwa wamejifunza hapo awali lakini zilieleweka kwa wale makutano.
Tujaribu kutofautisha kati ya mtu aliyejazwa na Roho Mtakatifu na yule aliyejazwa na roho mtakafujo!!!



Mkuu nashukuru sn kwa kuandika mafungu yote haya ya Hawa ndugu zetu wanapojengea hoja ya kunena kwa lugha!

Wasome upya hapo taratibu na wataelewa!

Wasisingizie Upako, Moto Wa maombi au Roho mtakatifu! Huyo anaewaongoza Ktk hili ni Roho chafu na si Roho Wa Mungu! Kwasababu km Roho Wa Mungu angewaongaza Ktk kweli yote! Kwanini maandiko yako wazi kabisa tena yanasema Kua Hawa si Wagalilaya Mbona wanaongea Kiarabu, Libya etc?! Alafu eti mtu anajitetea kwa kupiga mikelele hovyo milugha isiyoeleweka eti kunena kwa lugha au kajawa na Roho mtakatifu! Mshindwe kwa jina la Yesu na Roho zenu chafu hizo!
 
Leo wamenikomesha kweli, hakuna vitufe vya ku like!!! Haya like kwa woote wanaomjibu rosemarie kwa maandiko; ntuzu na wengineo!!!!!!!!!!!!!!!!
 
tuhuma za wasabato zimekuwa nyingii sana siku hizi..wabadilike basi
 
Ni ngumu sana kumuelewa Mungu, ni ngumu sana...



Mkuu nahisi una hoja nzuri!

Lete maoni yako!

Yesu anasema Nira yake ni laini! Alafu Wewe wasema ni ngumu sn! How Mkuu?
 
Wala sina tatizo...Ni swala la kuheshimiana tuu..Anayepayuka anayesali kimya kimya kama Mungu anatimiza haja ya moyo wake sina tatizo....



Sawa Rafiki yng tedo
 
Last edited by a moderator:
Sgjmjt kaq sholind kamiwomi shugq ndigmbo hkhg tiko tiko tungulu wo! Wo! Puk.shanda baba korooro! Ameeeen! Ndio maombi gani hayaaaaaaaaa!

Heeeee ndo umejazwa na Roho gani ....subir waje wakufafanulie
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom