Wasabato ujumbe wenu huu hapa

Wasabato ujumbe wenu huu hapa

Status
Not open for further replies.
Mkuu nahisi una hoja nzuri!
Yesu anasema Nira yake ni laini! Alafu Wewe wasema ni ngumu sn! How Mkuu?

Mkuu nimeandikwa ya kwamba ni ngumu sana kumuelewa Mungu lakini sikuandika kuwa ni ngumu kumfuata Mungu...

Kumfuata Mungu ni jambo jingine na kumuelewa Mungu ni jamo jingine, unaweza ukawa unamfuta Mungu lakini humuelewi...

Kwa kifupi UADILIFU au UKAMILIFU wetu kwa Mungu unategemea sana ni kwa kiasi au namna gani tunamuelewa huyu Mungu...

Katika Biblia Takatifu kuna maandiko haya hapa:

Isaya 55:
8 Maana mawazo yangu si mawazo yenu, wala njia zenu si njia zangu; asema Bwana.
9 Kwa maana kama vile mbingu zilivyo juu sana kuliko nchi, kadhalika njia zangu zi juu sana kuliko njia zenu, na mawazo yangu kuliko mawazo yenu.
 
Ila nakukaribisha kaka km sabato ijayo tukutane kanisani asante sana kwa kuelewa
Balikiwa.


kulingana na Biblia, jamii ya kiyahudi tunaweza kuilinganisha na makabila ya wasukuma/wagogo watu wanaolima na kufuga: swali, waliwezaje kutunza Sabato kwa mazingira hayo.

Ni kwamba nadharia inayosimamisha Sabato imenivutia ningependa kuifahamu vema na kuipa nafasi stahili.
 
Hivi wasabato ni wakristu?
kuna mahali flani nilishawahi kusikia kuwa wasabato si wakistro na hawaujui u-kistru...

Wakristo gani hawaruhusu kunywa pombe kidogo bila kulewa?
Hawali kitimoto eti ni haramu wakati kila kilichoumbwa na mungu mwanadamu usikiite haramu?
Hawabatizi watoto?
Hawavuti tumbaku hata kama ni dawa?
Hawaabudu siku ya j2?
Hawaneni kwa lugha?
Hawafungishi ndoa za wajawazito?(wanakupima kutumia dr wao kama mwanamke ni mjamzito kabla ya kukufungisha ndoa)
Wana idara nyingi za elimu za kukuza mtoto mpaka awe mkubwa kama vile taasisi ya elimu na sio kanisa?

Hawa hawawezi kuwa wakristo labda ni waislamu.
 
Mkuu nimeandikwa ya kwamba ni ngumu sana kumuelewa Mungu lakini sikuandika kuwa ni ngumu kumfuata Mungu...

Kumfuata Mungu ni jambo jingine na kumuelewa Mungu ni jamo jingine, unaweza ukawa unamfuta Mungu lakini humuelewi...

Kwa kifupi UADILIFU au UKAMILIFU wetu kwa Mungu unategemea sana ni kwa kiasi au namna gani tunamuelewa huyu Mungu...

Katika Biblia Takatifu kuna maandiko haya hapa:

Isaya 55:
8 Maana mawazo yangu si mawazo yenu, wala njia zenu si njia zangu; asema Bwana.
9 Kwa maana kama vile mbingu zilivyo juu sana kuliko nchi, kadhalika njia zangu zi juu sana kuliko njia zenu, na mawazo yangu kuliko mawazo yenu.


Nashukuru sn Mkuu kwa hoja yako!
 
Wakristo gani hawaruhusu kunywa pombe kidogo bila kulewa?
Hawali kitimoto eti ni haramu wakati kila kilichoumbwa na mungu mwanadamu usikiite haramu?
Hawabatizi watoto?
Hawavuti tumbaku hata kama ni dawa?
Hawaabudu siku ya j2?
Hawaneni kwa lugha?
Hawafungishi ndoa za wajawazito?(wanakupima kutumia dr wao kama mwanamke ni mjamzito kabla ya kukufungisha ndoa)
Wana idara nyingi za elimu za kukuza mtoto mpaka awe mkubwa kama vile taasisi ya elimu na sio kanisa?

Hawa hawawezi kuwa wakristo labda ni waislamu.

Ebu tupe mafungu ya utetezi Wa hoja zako zote hizi! Sio uandike tu bila andiko ata moja!
 
kulingana na Biblia, jamii ya kiyahudi tunaweza kuilinganisha na makabila ya wasukuma/wagogo watu wanaolima na kufuga: swali, waliwezaje kutunza Sabato kwa mazingira hayo.

Ni kwamba nadharia inayosimamisha Sabato imenivutia ningependa kuifahamu vema na kuipa nafasi stahili.


Mkuu Ebu soma Isaya 58:13 itakusaidia Ktk kuitunza sabato'
 
Kama mabandiko haya yatatoa elimu ya kumjua Mungu wa kweli ni mazuri!!
Kama wenzio wanafundisha neno la Mungu aliye hai kwa jina la Bwn Yesu hao ni wanafunzi wa Yesu!!
Ukiona mafundisho au roho anayepingana na Bwn Yesu huo ni upotofu!!
Kama huamini ktk utendaji wa Roho Mtakatifu basi una mapungufu ktk kumjua Bwn Yesu!!
Hakuna Ukombozi bila jina la Bwn Yesu, kutumia utendaji wa Roho Mtakatifu!!
Wokovu ni imani kwa kumkubali Bwn Yesu, ukipokea utendaji kupitia Roho Mtakatifu!!
 
Mkuu Ebu soma Isaya 58:13 itakusaidia Ktk kuitunza sabato'

nikiuliza swali lilelile kwa lugha tofauti, watu hao "wafugaji" waliwezaje/watawezaje kutunza sabato wakiwa na mifugo inayo hitaji huduma kama maji, chakula n.k katika kipindi hicho cha sabato.
 
Sasa wewe Ntuzu unayepinga unenaji wa lugha, Unasema walokole mmepotoka, na huamini ktk Roho nani mkweli!!
Kama walokole wanaomba kwa lugha na Mungu anasikia na nguvu za utendaji wa Roho Mtakatifu zinashuka na kufanya kazi, kuna shida gani??
Ulitaka uwe muziki wa disco wa kumtukuza Shetani??
Kutokuamini ni asili ya watu wa dini toka enzi za mafarisayo na masadukayo, wakarithi Waroma
waliouwa mashahidi wengi, roho ya uuwaji na chuki bado inatawala!!
Ukuwa na roho ya chuki ujue ni ushetani jinasue umpokee Bwn Yesu akuokoe upone na jehabamu ya moto!!
 
Last edited by a moderator:
Sasa wewe Ntuzu .
.
.
jinasue umpokee Bwn Yesu akuokoe upone na jehabamu ya moto!!

huyu Yesu anawaokoa watu waliotayari ndani ya Kanisa wakimfuata yeye? Nilifikiri Wasabato na wakristo wengine wanao mwamini yeye kama Bwana na mwokozi wao hawaitaji kuokolewa tena, ila walionje ndio wenye uhitaji huo.
 
Last edited by a moderator:
Sasa wewe Ntuzu unayepinga unenaji wa lugha, Unasema walokole mmepotoka, na huamini ktk Roho nani mkweli!!
Kama walokole wanaomba kwa lugha na Mungu anasikia na nguvu za utendaji wa Roho Mtakatifu zinashuka na kufanya kazi, kuna shida gani??
Ulitaka uwe muziki wa disco wa kumtukuza Shetani??
Kutokuamini ni asili ya watu wa dini toka enzi za mafarisayo na masadukayo, wakarithi Waroma
waliouwa mashahidi wengi, roho ya uuwaji na chuki bado inatawala!!
Ukuwa na roho ya chuki ujue ni ushetani jinasue umpokee Bwn Yesu akuokoe upone na jehabamu ya moto!!



Ndugu yng jaribu Kua mkweli! Ni wapi nimesema Kua siamini Ktk Roho mtakatifu? Au ni wapi nimempinga Roho? Ebu soma hoja zote taratibu then uje hapa na majibu!


Alafu sikatai kunena kwa lugha Bali nachopinga ni Hiyo mizogo ya makelele ya vitu visivyo eleweka eti mkisema kunena kwa lugha!
 
Last edited by a moderator:
nikiuliza swali lilelile kwa lugha tofauti, watu hao "wafugaji" waliwezaje/watawezaje kutunza sabato wakiwa na mifugo inayo hitaji huduma kama maji, chakula n.k katika kipindi hicho cha sabato.



Mkuu umeisoma Hiyo Isaya 58:13?

Anyway! It is lawful to do good in sabbath day!

Km Ktk hoja zako au Maswali yako hapo juu kuna jambo jema mbele za Mungu ni vema kufanya!
 
Ebu tupe mafungu ya utetezi Wa hoja zako zote hizi! Sio uandike tu bila andiko ata moja!

Mkuu huyo ntera katumia mbinu ya 'kejeli' ('satire') kuwasapoti wasabato, cheki hasa hapo kwenye mstari kuhusu wajawazito!
 
Last edited by a moderator:
Wakristo gani hawaruhusu kunywa pombe kidogo bila kulewa?
Hawali kitimoto eti ni haramu wakati kila kilichoumbwa na mungu mwanadamu usikiite haramu?
Hawabatizi watoto?
Hawavuti tumbaku hata kama ni dawa?
Hawaabudu siku ya j2?
Hawaneni kwa lugha?
Hawafungishi ndoa za wajawazito?(wanakupima kutumia dr wao kama mwanamke ni mjamzito kabla ya kukufungisha ndoa)
Wana idara nyingi za elimu za kukuza mtoto mpaka awe mkubwa kama vile taasisi ya elimu na sio kanisa?

Hawa hawawezi kuwa wakristo labda ni waislamu.
Uislamu unajumuisha dini zote kwa mambo mema tuu
 
Kunena kwa lugha kuna utaratibu wake

Atakaenena anene na kuwe na mfasiri

Kama hakuna yeye mwenyewe afasiri

Kama yote mawili hayapo mnenaji na akae kimya

Siyo kunena tu kila mtu na lake kama walevi
1 Kor 14:27-30
27 Kama mtu akinena kwa lugha, wanene wawili au watatu, si zaidi, tena zamu kwa zamu, na mmoja na afasiri.
28 Lakini asipokuwapo mwenye kufasiri na anyamaze katika kanisa; aseme na nafsi yake tena na Mungu.
29 Na manabii wanene wawili, au watatu, na wengine wapambanue.
30 Lakini mwingine aliyeketi akifunuliwa neno, yule wa kwanza na anyamaze.
 
Hili bandiko halijatoka katoka sayari ya jupita, pluto, zebaki au mars......ni katika jamii mbandikaji amelibandika bandiko hili katika jamii forum...hivyo hakuna cha kuhofu..maswala ya jamii waachie wanajamii wenyewe.

Kuna hiki kizazi chenu cha nyoka ambacho hamjui madhara ya kuanza kumsengenya mtu kutokana na msimamo wake kiimani na dini yake ambapo kwa kukosa sehemu ya kuonesha udhaifu wenu kwenye kuwaza mnatumia majukwaa ya kijamii! Just go on...
 
1 Corinthians 14:12-13 Even so ye, forasmuch as ye are zealous of spiritual <FI>gifts<Fi>, seek that ye may excel to the edifying of the church. Wherefore, let him that speaketh in an <FI>unknown<Fi> language, pray that he may interpret.
Hivi hakuna Biblia za Kiswahili?
 
Kunena kwa lugha kuna utaratibu wake

Atakaenena anene na kuwe na mfasiri

Kama hakuna yeye mwenyewe afasiri

Kama yote mawili hayapo mnenaji na akae kimya

Siyo kunena tu kila mtu na lake kama walevi
1 Kor 14:27-30
27 Kama mtu akinena kwa lugha, wanene wawili au watatu, si zaidi, tena zamu kwa zamu, na mmoja na afasiri.
28 Lakini asipokuwapo mwenye kufasiri na anyamaze katika kanisa; aseme na nafsi yake tena na Mungu.
29 Na manabii wanene wawili, au watatu, na wengine wapambanue.
30 Lakini mwingine aliyeketi akifunuliwa neno, yule wa kwanza na anyamaze.



Mkuu wng Eiyer asante sn kwa ukweli wako huu!
 
Last edited by a moderator:
Mkuu huyo ntera katumia mbinu ya 'kejeli' ('satire') kuwasapoti wasabato, cheki hasa hapo kwenye mstari kuhusu wajawazito!


Mkuu ni kawaida tu Hiyo ya mtu kufanya aonalo la mfaa yeye!
 
Last edited by a moderator:
Sisi hatupingi uwepo Wa Roho mtakatifu tunachopinga ni dhana zenu potofu juu ya Roho mtakatifu! Kwa mfano moja ya kz ya Roho mtakatifu ni kutuongoza Ktk kweli yote!

Na Yesu anasema yeye ndio njia, kweli na uzima! Na huyo huyo Yesu anasema ukawatakase kwa ike kweli, neno lako ndio kweli!

Na Yesu huyo huyo anasema ukinipenda utazishika sheria zangu!

Na pia maandiko yanasema tumepewa sabato km ishara Ili tupate kufahamu Kua yeye ni Mungu atutakasae!

Sass kwa mtiririko huo Wa maelezo ni nani Yukon sawa? Sisi au nyie? Na Je ni kweli gani mnayoifata? Au ni kweli gani Roho mtakatifu anawaongoza? Au ni Roho chafu? Au ni upendo gani mko nao kwa Yesu wakati sheria zake hamzitaki?

tena ushindwe sisi hatuogozwi na roho mchafu huko unakoenda nyie mnajifanya ndo wasafi kushikilia misimo kwanza hamna dhambi mbaya kama kumkufuru roho mtakatifu we unasema ni mchafu itaishia kupata dhambi bure sisi tuna amini kwenye roho mtakatifu nyie hamuamini ndo uje ukashifu nyie mnasali jumamosi wakati Yesu ndo bwana wa sabato hafu tunafata kweli ya roho mtakatifu mana yule ndo msaidizi wetu hayo yote njia ya uzima na nira tunajua kila kitu mana sizani kama kuna mkristo asiye amini roho mtakatifu labda nyie kama kitu hukiamini ndugu baki hvo hvo ni sawa na yule Yesu aliyemponya siku ya sabato watu wakalalamika wakasahau kuwa Yesu ndo bwana wa Sabato
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom