Diva Beyonce
JF-Expert Member
- Mar 6, 2014
- 12,913
- 11,292
Unaelewa Hilo fungu Maana yake? Au ndio unasoma Lkn hauelewi?
Na sabato iliumbwa kwa ajili ya mwandamu! Sio mwanadamu kwa ajili ya sabato! Ktk Hilo sabato iko juu ya mwanadamu!
Na pia Yesu aliposema Kua yeye ni bwana Wa sabato Maana Yake ni kwamba yeye ndio muumbaji Kwahiyo mwanadamu hawezi kumuhukumu Yesu juu ya sabato! Kwani yeye ni Bwana! Na ni Bwana Wa sabato!
huo mstari naelewa kwa hyo wewe tu ndo unaelewa vifungu wengne ni hapana ndo mana tuna ambiwa usifungwe nira na wasio amini we ume kremisha sabato tu hamna tofauti na mafarisayo kisa mtu kaponywa sabato wanalalamika kwa hyo na wewe baki hvo hvo kwangu mimi Yesu ndo bwana wa sabato end of discusion