shortlisted1
JF-Expert Member
- Apr 2, 2014
- 352
- 128
Wote ninyi ni makafiri....
Hizo za walokole si roho mtakatifu bali ni ROHO MTAKAFUJO.Ndio maana wanatumia viini macho kujifanya eti wanaponya watu kwa jina la YESU.Kwa hakika YEHOVA anaweza yote na laiti angetokea nabii wa kweli akaenda pale mhimbili akaingia Mochwari akamfufua mtu mmoja tu au aende moi amponye mtu mmoja tu alievunjika mguu na kutoka nae basi Tanzania nzima ingesadiki ila walokole ni wasanii tu 'eti misule imerudi'.
Yesu na Mitume wake wote walikuwa Mafarisayo.
Nikiwa nasoma seminari flani ya Kilutherani alikuja mchungaji wa kike wa kilokole, alikuwa ananakorokocha hivi:
Sinda kala, rinda kala, kaka nalo saika....
Hiyo ndo mnaita lugha ya malaika, heee! Yaani biblia yote toka agano la kale mpaka Ufunuo sijaona mtume wala nabii yoyote akikorokocha, ningeona hata mstari mmoja wameandika hayo makorokocho hakika ningeamini. Lakini wote huo ni udanganyifu wa wakatoliki.... working behind the curtain.
Lakini ungeanza kwa kuonesha una roho mtakatifu bila kuongea kwa jaziba na matusi ningeshawishika kukuamini lakn umefanana na hao unaowalalamikia mrembo
Unawazimu ehh..
Haya mambo ni magumu sana!Kuna ukweli walioukataa wasabato.Kunena kwa lugha.Sababu yao kubwa ni kwamba haina umuhimu kuliko kuhutubu(kuhubiri).Hii inaweza kuwa kweli lakini haikufanyi kunena kwa Lugha iwe ni kosa.Wao wanatafsiri kama hiyo hali ya kunena ni kupagawa na roho chafu!Pia roho mtakatifu anavyochukuliwa kwa wasabato,ni tofauti na jinsi walokole wanavyomchukulia.Wasabato hawakubali sana ishara watakazoambatana nazo waliopokea roho mtakatifu!Wao wanasema hata shetani anaweza kuzifanya!!Kwa misingi hiyo si za muhimu sana.Walokole wanaamini mtu akipokea roho mtakatifu lazima awe na ishara hizo kama ilivyoandikwa katika vitabu vya injili!
Hata hivyo Yesu aliwauliza wanafunzi wake,Ni nani ambaye mwanae akimwomba mkate atampa jiwe?na akimwomba samaki atampa nyoka?Kwa nini mtu amwombe Mungu roho mtakatifu halafu asimpe?Kwa nini walokole wamwombe Mungu roho mtakatifu halafu wapolee roho chafu?
Sababu za wasabato kuamini hivyo ni eti kwa vile walokole hawashiki Sabato,swali la kujiuliza,je mtu anapewa roho mtakatifu baada ya kushika sheria ama baada ya kuamini?Au je mtu anashika sheria ili apokee roho mtakatifu ama anapokea roho mtakatifu ili amsaidie kutimiza mapenzi ya Mungu?
Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
Ndugu zangu wasabato.Msijenge imani yetu tu kwenye muujiza wa kufasiri.1korintho,14;2 iinasema hivi.maana yeye anaenaye kwa lugha hasemi watu bali na Mungu maana hakuna asikiaye.but anena mambo ya siri ktk roho yake.Marko 16:17 inaelekeza ishara za mtu aliyeokoka na kunena kwa lugha mpya.Nilisha waambia wasabato hawawezi kuyajua haya maana hawana Roho Mtakatifu ambae ni mwalimu wa maandiko.Rejeeni.yani ninyi akikosekana wa kutafsiri ni Roho chafu. Tubuni maana mnamkufuru Roho mtakatifu.
Mkuu nipo,dah!unanikumbuka sana bwana Ntuzu,ni muda sana mkuu. Nakuelewa bwana Ntuzu,leo mimi ni mtazamaji tuuu mda mwingi,nadhani niwaache muendelee na mjadala mkuu ntuzu,au wewe unasemaje mkuu. Mjadala mzuri.
Mkuu nakuomba Kidogo tuvumiliane na kutumia lugha nzuri!
Nisingependa kuona huu Uzi unaharibika au kufungwa!
Naelewa kuna Watu wengi wanasoma na kujifunza Ktk hii maanda na kuelewa kweli!
Wasabato ni genge la wahuni,wana mambo kama ya kiislam,eti elen g white ndie nabii wa mwisho kama mtume alivyo wa mwisho. Kwao mtu yeyote anaeitwa nabii baada ya white ni wa uongo, hawasomi biblia,wanasoma vitabu vya nabii white aliyewahi kusema watu weusi ni zao la shetani.
Wafuasi wa elen g white na wafuasi wa mtume wote akili yao ni moja.
Kuna baadhi yemerekebishwa na Agano Jipya, mfano kufa na kufufuka kwa YESU Kristo ni mbadala wa sadaka za kuteketeza.
you must repent for blaspheming the holy spirit.
Naona unazidi kuleta habari nyingi tu! Hizo ndio zimekua kauli zenu kwamba mapokeo!
Good.nimeielezea hapo juu.Nashukuru kwa ufafaanuzi zaidi.Hebu tujikumbushe kidogo.kama Yesu mwenyewe alituachia mwalim sisi tunakataa mafundisho ati kwa kushika sabato.Tutaweza kweli kuifahamu njia ya uzima.Watu wako haraka kuamini roho chafu kuliko Mungu.Acheni kuhukumu msichojua nyie wasabato.
Hivi jamani hamjui Wasabato walitengwa huko Marekani maana hawakuamini dhana ya Utatu Mtakatifu....??? Mpaka kahaba Hellen G White anaaga dunia alikuwa haamini uwepo wa utatu Mtakatifu...
Walikuja kuamini uwepo wa Utatu Mtakatifu kwa shingo upande miaka ya 1900....Ndipo wakakubalika kama ni dhehebu...
Hili Dhehebh lilikuwa ni kundi la Wanaharakati waliolaaniwa...
SDA ni moja ya strange religion on Earth.............
The four Cult Religion
Seventh Day Adventist
Jehova Witness
Mormon
Christian Scientist
Good.nimeielezea hapo juu.Nashukuru kwa ufafaanuzi zaidi.Hebu tujikumbushe kidogo.kama Yesu mwenyewe alituachia mwalim sisi tunakataa mafundisho ati kwa kushika sabato.Tutaweza kweli kuifahamu njia ya uzima.Watu wako haraka kuamini roho chafu kuliko Mungu.Acheni kuhukumu msichojua nyie wasabato.