Wasabato ujumbe wenu huu hapa

Wasabato ujumbe wenu huu hapa

Status
Not open for further replies.
Hongera kwa namna unavochunguza maandiko amelina nimependa sana hii. iko hivi:
Pete inayoongelewa hapa siyo hiyo ya kidoleni. Hii ni pete wanazovishwa wanyama kwenye pua zao na kunakuwa na kamba ambayo mpandaji wa huyo mnyama anapoivuta basi mnyama anasikia maumivu na kukimbia sana au anelekea kule bwana wake anapotaka aende.(biblia ya kingereza imeeleza vizuri)
" So it was, when the camels had finished drinking, that the man took a golden nose ring weighing half a shekel, and two bracelets for her wrists weighing ten shekels of gold,..."
Sasa lengo la huyu mtu aliyetumwa kutafuta mwanamke kwa ajili ya mtoto wa Ibrahimu (Isaka) kumbuka aliweka ahadi/maombi namna ya kumpata binti bikra na Mungu akamwahidi kumsaidia. Hivyo alipoona ishara alizoomba zimetimia alimpa vile vitu ili asije kumsahau au kumpoteza ujue walikuwa wakienda warembo wengi tu pale kisimani nyakati zile alizoenda pale.(soma hiyo Mwanzo 24 yote).

asante kwa majibu yako...Ubarikiwe
 
Ukiangalia Agano la kale hata Waislam wanazungumzia yaliyomo, ukiona jinsi msisitizo wa ufuataji wa sheria ulivyo kwa Waislam hata Wasabato ni hivyo hivyo, wasabato si wakristo! kama watasema wanamkiri kristo hata Waislam wanamkubali (Nabii Issa). Acha kuvutiwa na upande mwingine, wala usisikilize maongezi yao kwa kuwa ni shetani. Yesu aliahidi kuleta msaidizi hakuahidi kutukuza Sabato kwa kuwa alijua ukiongozwa na roho mtakatifu umewekwa huru kwelikweli wala hufungwi na sheria utakuwa mtenda mema na mcha MUNGU si wa unafiki bali wa kweli. Siku imewekwa na wanandamu kuitwa jumamosi au jumapili lakini roho mtakatifu imewekwa na MUNGU mwenyewe kupitia ahadi ya YESU KRISTO mfufuka. Waache wadanganyane kwa kufuata maneno ya aliyeingiwa na pepo Ellen G. White. MUNGU akufungue macho ya Rohoni uweze kutambua ukweli wake.

duh! mbona umekuja umefura hivi,kuna maelezo mazuri sana yanatolewa humu usiwe na jazba. Sasa usipotaka mwenziyo asisikilize haya wakati wewe ushamfahamu Ellen G. White una maana gani? Haya tupe mafungu yanayokuelekeza kutoitunza Sabato kama ndo shida yako kubwa! Halafu mimi nitakwambia kinachokufanya usiitunze Sabato kwa andiko!
 
Mkuu kuna lugha za wanadamu na za malaika 1kor 13:1. Sasa Roho mt anenaye kwa ajili ya kuijenga nafsi ya mtu mmoja unataka aongee kisw au kiingereza ndipo ujue kua mtu ananena.Paulo amefafanua vizuri kuwa kama uko ujumbe wa watu wote utafsiriwe.Naam sihitaji uhame hiyo sabato but ufahamu siri ya Roho mt usijawe na mafundisho yakimapokeo.

Nikiwa nasoma seminari flani ya Kilutherani alikuja mchungaji wa kike wa kilokole, alikuwa ananakorokocha hivi:

Sinda kala, rinda kala, kaka nalo saika....

Hiyo ndo mnaita lugha ya malaika, heee! Yaani biblia yote toka agano la kale mpaka Ufunuo sijaona mtume wala nabii yoyote akikorokocha, ningeona hata mstari mmoja wameandika hayo makorokocho hakika ningeamini. Lakini wote huo ni udanganyifu wa wakatoliki.... working behind the curtain.
 
Kuwa mstaarabu. Acha kutukana dini za watu
Kuokoka kwako hakuna tija. Kwanza unajua kuokoka ni nini au mnaongea. Kuwa mstaarabu usiwe kama mwana siasa.
 
Hivi wale masalia walio wepiga kambi pale airport dar ili waende hubiri injiri ughaibuni bado wapo?! Au walifanikiwa safiri?!
 
Mm sio msabato ila nakushaur usisome biblia kama gazet ama kitabu cha shigongo.soma tafakar na kuelewa
 
Lengo la mabandiko kama haya ni nini hasa?

Hili bandiko halijatoka katoka sayari ya jupita, pluto, zebaki au mars......ni katika jamii mbandikaji amelibandika bandiko hili katika jamii forum...hivyo hakuna cha kuhofu..maswala ya jamii waachie wanajamii wenyewe.
 
.
.
.
Hiyo ndo mnaita lugha ya malaika, heee! Yaani biblia yote toka agano la kale mpaka Ufunuo sijaona mtume wala nabii yoyote akikorokocha, ningeona hata mstari mmoja wameandika hayo makorokocho hakika ningeamini. Lakini wote huo ni udanganyifu wa wakatoliki.... working behind the curtain.

"Eloi, Eloi, lama sabachthani" Jesus 0 AD.
 
Msabato hana upendo na dini yeyote ile ndo maana ukisoma kwenye chuo chao wanawalazimisha watu wote kusal sabato na kukashfu madheheb mengne wakiwa wanahubir.mi si washangai kwa hlo.huwa wanaona wakombinguni. Niher uish na mtu ambae hajui mlango wakanisa lolote wala msikit kuliko msabato. Msabato ni kero na nikikwazo ogooa mtu anaependa kuone wengne anamatatzo yeye pekeake ndo yupi sawa
 
Lawkey huna maana wakatolik ndo wamewaambua walokole wanene kwa lugha au ukatoliki na ulokole vinauhusiano acha habar zako za kilocal mnafik wewe ambae toka umeanza kuisoma hyo biblia haijawah kukubadilisha.
 
Nikiwa nasoma seminari flani ya Kilutherani alikuja mchungaji wa kike wa kilokole, alikuwa ananakorokocha hivi:

Sinda kala, rinda kala, kaka nalo saika....

Hiyo ndo mnaita lugha ya malaika, heee! Yaani biblia yote toka agano la kale mpaka Ufunuo sijaona mtume wala nabii yoyote akikorokocha, ningeona hata mstari mmoja wameandika hayo makorokocho hakika ningeamini. Lakini wote huo ni udanganyifu wa wakatoliki.... working behind the curtain.
Wapi umesikia wakatoliki wananena kwa lugha ficha upumbavu wako...
 
Busara ni kuwa mvumilivu hata kwa usilolipenda.....kusema dhahabu...ukimya almasi
 
Msabato hana upendo na dini yeyote ile ndo maana ukisoma kwenye chuo chao wanawalazimisha watu wote kusal sabato na kukashfu madheheb mengne wakiwa wanahubir.mi si washangai kwa hlo.huwa wanaona wakombinguni. Niher uish na mtu ambae hajui mlango wakanisa lolote wala msikit kuliko msabato. Msabato ni kero na nikikwazo ogooa mtu anaependa kuone wengne anamatatzo yeye pekeake ndo yupi sawa

Duh aisee hivi kumbe? Ndio mana kuna watu wanasaka wachumba na kuweka note (asiwe msabato)!! Kuna la kujifunza badala ya kukuza chuki na hasira.

Kwanza nadhani wana misimamo yao kwa wanachoamini ndio mana wanafukuzwa hata vyuoni. Hii ni dhana nzuri sana, just be wrong in the right direction as far you know the destiny (McBeth). Kuwa na msimamo ni siri ya ushindi, ukiwa yumba yumba huwezi timiza determination yako. Nawapongeza sana hao jamaa na ni somo kwa wengine tusion na misimamo ya yale tuaminiyo. Hata Mtikila alionekana chizi miaka hiyooo lkn kumbe hata mm sikuelewa mpk Warioba katufumbua macho. Mch Mtikila alikuwa na msimamo!

Ukiwa unaufahamu ni rahisi sana kuelewesha wenzako kwa hoja, je hao wasabato wanayoamini yana msingi wa maandiko ama ni misimamo tu ya kivyao vyao?
 
Pete asili yake ilikuwa ishara kwa mtu aliyebakwa kabla ya ndoa ama mwanaume aliyeingiliwa kinyume.Ni kama leo unavyoona wanaume wanavaa Hereni tunashangaa lakini usishangae vizazi vijavyo wakawa wanavalishwa kanisani kama ishara ya ndoa.Haya mambo tunayaiga tu ulaya bila kujua asili yake nini!

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums

tupe ushahd plz
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom