ameline
JF-Expert Member
- Jan 8, 2013
- 2,292
- 1,152
Hongera kwa namna unavochunguza maandiko amelina nimependa sana hii. iko hivi:
Pete inayoongelewa hapa siyo hiyo ya kidoleni. Hii ni pete wanazovishwa wanyama kwenye pua zao na kunakuwa na kamba ambayo mpandaji wa huyo mnyama anapoivuta basi mnyama anasikia maumivu na kukimbia sana au anelekea kule bwana wake anapotaka aende.(biblia ya kingereza imeeleza vizuri)
" So it was, when the camels had finished drinking, that the man took a golden nose ring weighing half a shekel, and two bracelets for her wrists weighing ten shekels of gold,..."
Sasa lengo la huyu mtu aliyetumwa kutafuta mwanamke kwa ajili ya mtoto wa Ibrahimu (Isaka) kumbuka aliweka ahadi/maombi namna ya kumpata binti bikra na Mungu akamwahidi kumsaidia. Hivyo alipoona ishara alizoomba zimetimia alimpa vile vitu ili asije kumsahau au kumpoteza ujue walikuwa wakienda warembo wengi tu pale kisimani nyakati zile alizoenda pale.(soma hiyo Mwanzo 24 yote).
asante kwa majibu yako...Ubarikiwe