Mimi nilibatizwa SDA.Hata hivyo nilikutana na maelezo ya wadhamini wa E.G.WHITE katika kitabu cha Vita kuu wakilaani mauaji ya MAUMAU.Nilitamani kuona wakilaani na ukoloni vile vile lakini sikuona.Nilianza kuwa na mashaka kwani niliamini sana kuwa Mungu alihusika katika kuwepo kwa maono ya kuandikwa kitabu hicho.Hatimaye nilikuja kujua kwamba wengi wa wadhamini wa EG WHITE walikuwa illuminats.Kwa hiyo iliwezekana tu kuchakchua maandiko yale kwa interest zao!Ni sawa tu na vile walivyofanikiwa kuchakachua Biblia ili kuleta confusion kwa wale wanaoamini kitabu hicho!Kwa hiyo haya madhehebu yote unayoyaona ni matokeo ya mwanadamu kutumia akili yake kutafsiri na hivyo kujikuta wanaacha mambo ya msingi kama kumtegemea roho mtakatifu na wanabaki kujenga hoja za umantiki wa kibinadamu.
Kwa sababu ya fursa hiyo ya kufuata mtu anachodhani ni sahihi,wengine wameanzisha madhehebu kwa ulevi tu wa ujuaji na wengine kutimiza ndoto zao za kupata umaarufu.
Kwa sasa naamini ni Mungu pekee(si msabato,wala mlutheri wala mkatoliki nk) anayeweza kumpa mtu mwongozo sahihi kupitia roho mtakatifu kila anaposoma maandiko!Ukitegemea mtu utakutana na shetani akiwa katika sura ya malaika wa nuru.
Jiponye nafsi yako
Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums