Ntuzu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2013
- 17,418
- 10,877
Wakristo wote siku ya kuabudu ni jumapili sasa nyie hii jumamosi yenu mlitoa wapi?
Sword Siku ya kuabudu ni jumamosi hakuna cha ijumaa Au jumapili!
Nimeona nikujibu hivi Pamoja na Kua Sijui utalipokea vp jibu langu Lkn ni bora ukweli ukaufahamu!
Rejea ktk uumbaji pale mwanzo! Mungu aliumba vitu vyote kwa Siku 6 then Siku ya 7 akapumzika na kuitakasa! Kitabu cha Mwanzo kiko na majibu yote!
Last edited by a moderator: