Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,204
- 128,020
Unajua mkuu, kuna watu ni wagumu kuelewa ukweli na kuona vitu halisi, badala yake wanajilazimisha kuona vivuli tu..! Yaani pamoja na madudu yote ya CCM, bado kuna watu, tena bahati mbaya wengine hawana hata chembe ya ufisadi, kuhongwa au majinamizi ya siasa; ambao bado wanaamini kuwa CCM bado iko hai (it exists)!!
Tumewaleza muda mrefu ila hawataki kusikia...CCM ilikufa na akina Kolimba. Limebaki ghost fulani hivi ambalo watu kama hao niliowataja hapo juu wanadhani ndiyo CCM. CCM ambayo tuliiamini na kuitumikia ilizikwa siku nyingi tena kabla ya Mwalimu!
Wasiotaka kuamini hayo ama wana-motives zao za kifisadi au wanasumbuliwa na illusions!
Ngoja waendelee kujidanganya!
Nimekusoma mkuu, ikae ikifaamika kuwa CCM sio chama tena bali ni mfumo wa biashara.