Warioba: CCM ijiandae kuwa chama cha Upinzani

Ni kweli wahenga walisema sikio la kufa halisikii dawa
hii ilitokana na kuwa kitu kinachokaribia kufa hata ukifanyie nini hakiwezi kufufuka tena

kuna baadhi ya madaktari huwaambia wagonjwa wao moja kwa moja kuwa hawawezi kupona maradhi yanayowakabili na hivyo kuwashauri waanze kuandika wosia.

Kutokana na hali ilivyo sasa chama cha ccm kinatakiwa kianze kuandika wosia wa jinsi maziko yake yanavyotakiwa kuwa.

Kwa miaka yote zaidi ya 50 wameshindwa kutoa matumaini kwa watanzania,
wameshindwa kuonyesha upi ni uhai wa nchi

hiyo ni dalili ya juu kabisa ya kufa kwa chama cha siasa.

Watanzania tuipige chini ccm 2015
 
Ni kweli wahenga walisema sikio la kufa halisikii dawa
hii ilitokana na kuwa kitu kinachokaribia kufa hata ukifanyie nini hakiwezi kufufuka tena

kuna baadhi ya madaktari huwaambia wagonjwa wao moja kwa moja kuwa hawawezi kupona maradhi yanayowakabili na hivyo kuwashauri waanze kuandika wosia.

Kutokana na hali ilivyo sasa chama cha ccm kinatakiwa kianze kuandika wosia wa jinsi maziko yake yanavyotakiwa kuwa.

Kwa miaka yote zaidi ya 50 wameshindwa kutoa matumaini kwa watanzania,
wameshindwa kuonyesha upi ni uhai wa nchi

hiyo ni dalili ya juu kabisa ya kufa kwa chama cha siasa.

Watanzania tuipige chini ccm 2015
Umesema kweli ndugu, ila mimi nataka tuipige ccm shimoni, siyo chini!
 
Wakati anaohijiwa na mwandishi wa TBC1 Asumpta Masoi, Jaji Joseph Warioba alisema kuwa kama CCM haitamaliza matatizo yake ya ndani basi ijiandae kukabiliana na hali ngumu huko mbele.

Amesema kuwa, kwa kuwa tumeukubali mfumo wa vyama vingi na pia kwa kuwa watu wengine wameanza kuichoka CCM na wapo pia wanaotaka mabadiliko, CCM itegemee kuwa mabadiliko yanatatokea tu na yataiweka kando. Na kwamba wasipoiangalia upya dira na itikadi za chama basi itakuwa vingumu kupona!

Kwa jinsi ninavyowajua CCM, watakurupuka kumtukana Warioba badala ya kuangalia kile alichokisema, ingawa hakusema jambo lolote jipya!
Mpaka sasa wameshakuwa wapinzani!
 
11 Reactions
Reply
Back
Top Bottom