Pascal Ndege
JF-Expert Member
- Nov 24, 2012
- 2,977
- 1,897
Leo nimeamka nimekuta mitandao ijmejaa picha ya chipukizi wa CCM je ni wameamua kuvuluga sheria au ni ubabe ubabe Chadema nao Waanzishe chipkizi?
Chipkizi wanasema si wanachama. Ni kigezo Dani kinatumika kuwachambua watoto na kwasajiri katika harakati za kisiasa. Kama siyo mbona Sasa mnawwtumia kutangaza sera za chama. Bila kuwa wanachama wa chama cha siasa?
Nadhdani tunahitaji Mahakama kuchanganua hii sheria na haki za mtoto kujielimisha na kupata muda wa kucheza na kushiriki katika mipango
Chipkizi wanasema si wanachama. Ni kigezo Dani kinatumika kuwachambua watoto na kwasajiri katika harakati za kisiasa. Kama siyo mbona Sasa mnawwtumia kutangaza sera za chama. Bila kuwa wanachama wa chama cha siasa?
Nadhdani tunahitaji Mahakama kuchanganua hii sheria na haki za mtoto kujielimisha na kupata muda wa kucheza na kushiriki katika mipango