Waridi wa BBC Suzana Michael: 90% ya Wadada wanaoenda kutafuta Maisha Ulaya, Marekani na Asia huishia kufanya Ukahaba

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Jul 13, 2013
56,646
109,034
"Nilipokuwa Mdada na kuona Maisha yangu hayaeleweki niliamua kupambana ili niende Nje ya nchi nikiamini huko ndiko kuna Maisha mazuri ila najuta kwani niliishia kuwa Kahaba ( Malaya ) kwa Miaka miwili hadi kuamua kurejea nchini Tanzania ambako nimegundua kama ukijipanga hapa kuna Maisha mazuri kuliko huko Nje za nchi ambako huwa tunakimbilia na Wengi wetu huishia kuwa Makahaba ila huwa tunaficha na tunawaficha Ndugu, Jamaa na Marafiki zetu huku Nyumbani Tanzania" amesema Waridi wa BBC Suzana Michael leo katika Amka na BBC.

Bora amesema huyu Dada ( Suzana Michael ) labda sasa mnaweza mkamsikiliza na kubadilika kwani Sisi akina GENTAMYCINE tukiwaambia acheni Kuhangaika kwenda huko Ng'ambo kwani hapa hapa Kwetu Tanzania ukiwa tu na Mipango, Mikakati na Ukijiamini Kuna Maisha mazuri zaidi ya yale yaliyoko huko ambako huwa mnadanganyika nao kuanzia katika Sinema ( Movies ) zao mnazozitizama Kutwa.
 
Wazazi wenyewe wa karne hii ndiyo wale wale kimalezi ni zero IQ, sasa Mabinti wafe njaa ilihali Me tunaona fahari kuongeza idadi ya Single Mothers mitaani?

Waliwaomba Wazazi wawalete duniani bila ya kuwapatia makazi, malazi na chakula?
 
Kuna mdada mmoja nchi ya jirani, alienda Asia kama mfanyakazi wa ndani, lakini mijengo aliyoijenga hapo kwao sina hakika kama ni kazi za ndani tu ndio iliyompa hayo mafanikio.
Wengi huwa wana siri zao wakiwa huko nje.
 
kama wewe hutaki kwenda nje waachie wengne wenye uchu wa kufanikiwa acha kukatisha watu tamaa,ata tanzania ukahaba upo dada zetu wanahitimu vyuon wanaishia kudangaa mjini.
 
"Nilipokuwa Mdada na kuona Maisha yangu hayaeleweki niliamua kupambana ili niende Nje ya nchi nikiamini huko ndiko kuna Maisha mazuri ila najuta kwani niliishia kuwa Kahaba ( Malaya ) kwa Miaka miwili hadi kuamua kurejea nchini Tanzania ambako nimegundua kama ukijipanga hapa kuna Maisha mazuri kuliko huko Nje za nchi ambako huwa tunakimbilia na Wengi wetu huishia kuwa Makahaba ila huwa tunaficha na tunawaficha Ndugu, Jamaa na Marafiki zetu huku Nyumbani Tanzania" amesema Waridi wa BBC Suzana Michael leo katika Amka na BBC.

Bora amesema huyu Dada ( Suzana Michael ) labda sasa mnaweza mkamsikiliza na kubadilika kwani Sisi akina GENTAMYCINE tukiwaambia acheni Kuhangaika kwenda huko Ng'ambo kwani hapa hapa Kwetu Tanzania ukiwa tu na Mipango, Mikakati na Ukijiamini Kuna Maisha mazuri zaidi ya yale yaliyoko huko ambako huwa mnadanganyika nao kuanzia katika Sinema ( Movies ) zao mnazozitizama Kutwa.
Wamlipe fei toto millio 30 ndio tutaamini kuwa bongo sasa tupo bein.
Bila umalaya huko nje je angepata mtaji wakuja kutesa hapa bongo?
 
Wakimaliza kuuza nje wanakuja kuuza ndani hakuna utofauti Makahaba/Malaya ni wengi sana bongo wengine ni wake za watu kabisa Ila wanauza ()
 
271eaf93a3ff95e3c47383ba4a4a7f0c.jpg
 
Back
Top Bottom