Samia atosha tukutane2030
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 17,169
- 48,681
Wapinzani wapo kama milofa fulani, wanasubiri tukio ndio wadandie mada kama komba.
Kila tukio linalotokea Tanzania wapinzani lazima walidandie. Liwe zuri au baya.
Soon sasa hivi wapinzani watapita na trend ya mgao wa maji. Serikali ikifix wanakaa kimya na kutafuta jambo jingine.
Sasa mjinga kama huyu wa kutembea na trends umpe nchi aifanyie nini?
Akitokea mpuuzi mmoja kuanzisha uzushi wowote wapinzani wanatembea na hiyo trend
Majuzi kuna mjinga mmoja ambaye aliwahi kuzusha kifo cha Philip Mpango kwa mara mbili tofauti na Vifo vya viongozi wengine amezusha kifo cha Rais Samia. Wapinzani bila aibu wakaanza kufarijiana na kupongezana mitandaoni.
Rais akaonekana Ikulu Dodoma wakaanza hoja za kijinga oooh mara propaganda za kuficha msiba.
Leo yupo huko anaongoza maelfu ya waombelezaji wapinzani watabadili mada bila aibu.
Kwa ujinga huu hamtapata hata mtaa mmoja wa kuuongoza
Kila tukio linalotokea Tanzania wapinzani lazima walidandie. Liwe zuri au baya.
Soon sasa hivi wapinzani watapita na trend ya mgao wa maji. Serikali ikifix wanakaa kimya na kutafuta jambo jingine.
Sasa mjinga kama huyu wa kutembea na trends umpe nchi aifanyie nini?
Akitokea mpuuzi mmoja kuanzisha uzushi wowote wapinzani wanatembea na hiyo trend
Majuzi kuna mjinga mmoja ambaye aliwahi kuzusha kifo cha Philip Mpango kwa mara mbili tofauti na Vifo vya viongozi wengine amezusha kifo cha Rais Samia. Wapinzani bila aibu wakaanza kufarijiana na kupongezana mitandaoni.
Rais akaonekana Ikulu Dodoma wakaanza hoja za kijinga oooh mara propaganda za kuficha msiba.
Leo yupo huko anaongoza maelfu ya waombelezaji wapinzani watabadili mada bila aibu.
Kwa ujinga huu hamtapata hata mtaa mmoja wa kuuongoza
