DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 31,636
- 81,533
Mimi huwa sikubaliani na CCM KTK mambo kadhaa
Ila hapa Tanzania hatujawa na watu makini wakuleta mabadiliko .
Ukiangalia habari anazoleta Mange , Maria , GEN Z Habil n.k unagundua bado Sana kuitoa CCM madarakani .
Ikiwa CHADEMA na au chama chochote kinahitaji kwenda IKULU lazima kijitenge na UZUSHI .
Mimi nilipenda msimamo wa Lissu (Kuwa yeye hashiriki uchaguzi)
Na akafanya kweli - ilibidi wenzake waige na kuwa na strict code na sio Kuwa na Ajenda za matusi , uzushi na bla , bla za akina Kimambi n.k
Ni Kama wanaharakati lengo ni Ku-trend na sio kuwa katika ukweli.
Ila hapa Tanzania hatujawa na watu makini wakuleta mabadiliko .
Ukiangalia habari anazoleta Mange , Maria , GEN Z Habil n.k unagundua bado Sana kuitoa CCM madarakani .
Ikiwa CHADEMA na au chama chochote kinahitaji kwenda IKULU lazima kijitenge na UZUSHI .
Mimi nilipenda msimamo wa Lissu (Kuwa yeye hashiriki uchaguzi)
Na akafanya kweli - ilibidi wenzake waige na kuwa na strict code na sio Kuwa na Ajenda za matusi , uzushi na bla , bla za akina Kimambi n.k
Ni Kama wanaharakati lengo ni Ku-trend na sio kuwa katika ukweli.