NostradamusEstrademe
JF-Expert Member
- Jul 1, 2017
- 3,863
- 5,156
Kwa uchunguzi wangu nimegundua kuna vyuo vinavyofundisha teolojia kwa madhehebu ya kiluteri mfano kiko Makumira Arusha.
Wakatoliki Kipalapala n.k.
Sijawahi sikia chuo cha teolojia cha walokole.
Hawa jamaa wanapiga kelele sana ilimradi mtu abarikiwe kujua kuongea.
Mbona YESU wakati analeta injili alikuwa hapigi kelele?
Wakatoliki Kipalapala n.k.
Sijawahi sikia chuo cha teolojia cha walokole.
Hawa jamaa wanapiga kelele sana ilimradi mtu abarikiwe kujua kuongea.
Mbona YESU wakati analeta injili alikuwa hapigi kelele?