Tena wawe na adabu,, ukumbi huu wa jamii una watu mchanganyiko,Hakukuwa na haja ya matusi makubwa humu wakati kinachoongelewa ni ushabiki tu ambao ni furaha pekee na uzuni,
Kitu kisicho na guarantee ya kukupa pesa au kukujengea heshima zaidi ya ushabiki tu na furaha matusi ya ushoga yanatokea wapi
Kama mnajuana fataneni huko huko mmalizane,
Wengine hata neno shoga ni mikosi ktk pilika pilika zetu za mitaan
Tuheshimianeni humu mjengoni matusi ya rejareja pelekeni fb na tweeter
Hii siyo ile yanga ya mkwasa akiwa katibu mkuu wa yanga. Hii ni yanga ya Eng. Heris mkuu. Yupo na makamu wake ARAFAT.Shalom shalom
Hekoheko marafiki na mashabiki wa klabu ya Union Sportive de la Médina d'Alger maarufu kama USM Alger au USMA. Mara baada ya kuibamiza klabu ya Asec mimosas hapo jana jijini Algers nchini Algeria kwa kichapo kizito cha mabao mawili bila ya majibu ,tunarejea tena kuwawinda underdog (mbwa waliochini) kutoka nchini Tanzania, klabu ya Yanga Afirika katika fainali yq mkondo wa kwanza itakayopigwa jijini Dar-es-salaam kabla ya kwenda kumaliza mauaji yatakayofanyika jijini Algers ndani ya dimba la Stade du 5 juillet katika fainali ya mkondo wa pili na kisha kutawazwa kama mabingwa wapya wa kombe la shirikisho barani Afrika.
Kama kawaida hatoki mtu katika dimba letu hili la olimpic linalobeba watazamaji 95000.Ikumbukwe mara ya mwisho tuliwakanda Yanga Afirika mabao 4-0 hapa jijini Algers tulipokutana katika kundi D kwenye kombe la shirikisho mwaka 2018 ambalo klabu ya yanga ilikamata mkia na tunaimani tutawakanda tenda bao hizo nne zilizotukuka watakapokuja huku jijini Algers.
Ombi langu kwa mashabiki wa USMA tujitokeze kuipa hamasa timu yetu katika mchezo wa kwanza wa fainali utakaopigwa katika uwanja wa mkapa jijini Dar-es-salaam.
Asanteni
Kweli malipo hapahapa duniani, hizi tabia miaka miwili nyuma walikuwa nazo yanga kuhama hama na kufata wapinzani wa simba airport, leo hii simba ndio mamburulaUkishakuwa shoga kila mwanaume utataka awe wako kila team utahamia kwasabab tu unaichukia Yanga... Na mtapoteza sana marinda kwa kuichukia YANGA...
YANGA 💛💚 BINGWA
Nani kakuambia uandamane, cheki sasa umekuja kuandamana pekee yako tu. Nani kakuambia asec mimosa ni wepesi kuliko usm alger ? Si ndio ww ulikuwa ukisema wanao fuzu makundi ni minastr na mazembe nini kilitokea? Kisha ukasema rivers united ni wakal. Badae ukaanza na kumshabikia msauzi? Naam bila shaka sasa imehamishia nguvu zote kwa mwarabu..... Mwaka huu utashabikia hadi mamelod swqndawin. Hamahama fcFainali ngumu ingekuwa dhidi ya Asec.
Wote mliyepo huku mashogaaaShalom shalom
Hekoheko marafiki na mashabiki wa klabu ya Union Sportive de la Médina d'Alger maarufu kama USM Alger au USMA. Mara baada ya kuibamiza klabu ya Asec mimosas hapo jana jijini Algers nchini Algeria kwa kichapo kizito cha mabao mawili bila ya majibu ,tunarejea tena kuwawinda underdog (mbwa waliochini) kutoka nchini Tanzania, klabu ya Yanga Afirika katika fainali yq mkondo wa kwanza itakayopigwa jijini Dar-es-salaam kabla ya kwenda kumaliza mauaji yatakayofanyika jijini Algers ndani ya dimba la Stade du 5 juillet katika fainali ya mkondo wa pili na kisha kutawazwa kama mabingwa wapya wa kombe la shirikisho barani Afrika.
Kama kawaida hatoki mtu katika dimba letu hili la olimpic linalobeba watazamaji 95000.Ikumbukwe mara ya mwisho tuliwakanda Yanga Afirika mabao 4-0 hapa jijini Algers tulipokutana katika kundi D kwenye kombe la shirikisho mwaka 2018 ambalo klabu ya yanga ilikamata mkia na tunaimani tutawakanda tenda bao hizo nne zilizotukuka watakapokuja huku jijini Algers.
Ombi langu kwa mashabiki wa USMA tujitokeze kuipa hamasa timu yetu katika mchezo wa kwanza wa fainali utakaopigwa katika uwanja wa mkapa jijini Dar-es-salaam.
Asanteni
Shabiki wa Simba unafiki unaanzia hapo kwenye Shalom shalom!Shalom shalom
Bado tu ...Nasemajeeeeeeee ..mtachagua timu mpaka fainali ..tukiwa mabingwa napo mtachagua timu ya kutukabidhi kombeShalom shalom
Hekoheko marafiki na mashabiki wa klabu ya Union Sportive de la Médina d'Alger maarufu kama USM Alger au USMA. Mara baada ya kuibamiza klabu ya Asec mimosas hapo jana jijini Algers nchini Algeria kwa kichapo kizito cha mabao mawili bila ya majibu ,tunarejea tena kuwawinda underdog (mbwa waliochini) kutoka nchini Tanzania, klabu ya Yanga Afirika katika fainali yq mkondo wa kwanza itakayopigwa jijini Dar-es-salaam kabla ya kwenda kumaliza mauaji yatakayofanyika jijini Algers ndani ya dimba la Stade du 5 juillet katika fainali ya mkondo wa pili na kisha kutawazwa kama mabingwa wapya wa kombe la shirikisho barani Afrika.
Kama kawaida hatoki mtu katika dimba letu hili la olimpic linalobeba watazamaji 95000.Ikumbukwe mara ya mwisho tuliwakanda Yanga Afirika mabao 4-0 hapa jijini Algers tulipokutana katika kundi D kwenye kombe la shirikisho mwaka 2018 ambalo klabu ya yanga ilikamata mkia na tunaimani tutawakanda tenda bao hizo nne zilizotukuka watakapokuja huku jijini Algers.
Ombi langu kwa mashabiki wa USMA tujitokeze kuipa hamasa timu yetu katika mchezo wa kwanza wa fainali utakaopigwa katika uwanja wa mkapa jijini Dar-es-salaam.
Asanteni
Oya huu sio mchongo. Acheni huu utoto bhanaSawa bottom unayefirwa mpaka unatolewa puru nje! Vavavayoo kila sekunde unayopumua choko wee
Mmekandwaaaaaaaaulichobakiza ni huyo mume mwarabu tu nae atakandwa