Wapenzi, mashabiki na marafiki wa klabu ya USM Alger tukutane hapa tujiandae kuupokea ubingwa wa kombe la Shirikisho 2022/2023

Hakukuwa na haja ya matusi makubwa humu wakati kinachoongelewa ni ushabiki tu ambao ni furaha pekee na uzuni,
Kitu kisicho na guarantee ya kukupa pesa au kukujengea heshima zaidi ya ushabiki tu na furaha matusi ya ushoga yanatokea wapi
Kama mnajuana fataneni huko huko mmalizane,
Wengine hata neno shoga ni mikosi ktk pilika pilika zetu za mitaan
Tuheshimianeni humu mjengoni matusi ya rejareja pelekeni fb na tweeter
Tena wawe na adabu,, ukumbi huu wa jamii una watu mchanganyiko,
 
Shalom shalom
Hekoheko marafiki na mashabiki wa klabu ya Union Sportive de la Médina d'Alger maarufu kama USM Alger au USMA. Mara baada ya kuibamiza klabu ya Asec mimosas hapo jana jijini Algers nchini Algeria kwa kichapo kizito cha mabao mawili bila ya majibu ,tunarejea tena kuwawinda underdog (mbwa waliochini) kutoka nchini Tanzania, klabu ya Yanga Afirika katika fainali yq mkondo wa kwanza itakayopigwa jijini Dar-es-salaam kabla ya kwenda kumaliza mauaji yatakayofanyika jijini Algers ndani ya dimba la Stade du 5 juillet katika fainali ya mkondo wa pili na kisha kutawazwa kama mabingwa wapya wa kombe la shirikisho barani Afrika.

Kama kawaida hatoki mtu katika dimba letu hili la olimpic linalobeba watazamaji 95000.Ikumbukwe mara ya mwisho tuliwakanda Yanga Afirika mabao 4-0 hapa jijini Algers tulipokutana katika kundi D kwenye kombe la shirikisho mwaka 2018 ambalo klabu ya yanga ilikamata mkia na tunaimani tutawakanda tenda bao hizo nne zilizotukuka watakapokuja huku jijini Algers.

Ombi langu kwa mashabiki wa USMA tujitokeze kuipa hamasa timu yetu katika mchezo wa kwanza wa fainali utakaopigwa katika uwanja wa mkapa jijini Dar-es-salaam.

Asanteni
Hii siyo ile yanga ya mkwasa akiwa katibu mkuu wa yanga. Hii ni yanga ya Eng. Heris mkuu. Yupo na makamu wake ARAFAT.
Michezo yote ya kihuni wale jamaa wanaijua nyie endeleeni kumsubir manzok aje ahudhurie mikutano
 
Ukishakuwa shoga kila mwanaume utataka awe wako kila team utahamia kwasabab tu unaichukia Yanga... Na mtapoteza sana marinda kwa kuichukia YANGA...
YANGA 💛💚 BINGWA
Kweli malipo hapahapa duniani, hizi tabia miaka miwili nyuma walikuwa nazo yanga kuhama hama na kufata wapinzani wa simba airport, leo hii simba ndio mamburula
 
Fainali ngumu ingekuwa dhidi ya Asec.
Nani kakuambia uandamane, cheki sasa umekuja kuandamana pekee yako tu. Nani kakuambia asec mimosa ni wepesi kuliko usm alger ? Si ndio ww ulikuwa ukisema wanao fuzu makundi ni minastr na mazembe nini kilitokea? Kisha ukasema rivers united ni wakal. Badae ukaanza na kumshabikia msauzi? Naam bila shaka sasa imehamishia nguvu zote kwa mwarabu..... Mwaka huu utashabikia hadi mamelod swqndawin. Hamahama fc
 
Shalom shalom
Hekoheko marafiki na mashabiki wa klabu ya Union Sportive de la Médina d'Alger maarufu kama USM Alger au USMA. Mara baada ya kuibamiza klabu ya Asec mimosas hapo jana jijini Algers nchini Algeria kwa kichapo kizito cha mabao mawili bila ya majibu ,tunarejea tena kuwawinda underdog (mbwa waliochini) kutoka nchini Tanzania, klabu ya Yanga Afirika katika fainali yq mkondo wa kwanza itakayopigwa jijini Dar-es-salaam kabla ya kwenda kumaliza mauaji yatakayofanyika jijini Algers ndani ya dimba la Stade du 5 juillet katika fainali ya mkondo wa pili na kisha kutawazwa kama mabingwa wapya wa kombe la shirikisho barani Afrika.

Kama kawaida hatoki mtu katika dimba letu hili la olimpic linalobeba watazamaji 95000.Ikumbukwe mara ya mwisho tuliwakanda Yanga Afirika mabao 4-0 hapa jijini Algers tulipokutana katika kundi D kwenye kombe la shirikisho mwaka 2018 ambalo klabu ya yanga ilikamata mkia na tunaimani tutawakanda tenda bao hizo nne zilizotukuka watakapokuja huku jijini Algers.

Ombi langu kwa mashabiki wa USMA tujitokeze kuipa hamasa timu yetu katika mchezo wa kwanza wa fainali utakaopigwa katika uwanja wa mkapa jijini Dar-es-salaam.

Asanteni
Wote mliyepo huku mashogaaa
 
MaShoga camp
Upinde crue
Wasafishwa mtaro group
Wabomolewaji bakta
Washikishwa ukuta
Wakina ally wanzuri
Makaka poa
Watoa nyuma family
Gay
Kama nimesahau ongezea jina lao
 
Shalom shalom
Hekoheko marafiki na mashabiki wa klabu ya Union Sportive de la Médina d'Alger maarufu kama USM Alger au USMA. Mara baada ya kuibamiza klabu ya Asec mimosas hapo jana jijini Algers nchini Algeria kwa kichapo kizito cha mabao mawili bila ya majibu ,tunarejea tena kuwawinda underdog (mbwa waliochini) kutoka nchini Tanzania, klabu ya Yanga Afirika katika fainali yq mkondo wa kwanza itakayopigwa jijini Dar-es-salaam kabla ya kwenda kumaliza mauaji yatakayofanyika jijini Algers ndani ya dimba la Stade du 5 juillet katika fainali ya mkondo wa pili na kisha kutawazwa kama mabingwa wapya wa kombe la shirikisho barani Afrika.

Kama kawaida hatoki mtu katika dimba letu hili la olimpic linalobeba watazamaji 95000.Ikumbukwe mara ya mwisho tuliwakanda Yanga Afirika mabao 4-0 hapa jijini Algers tulipokutana katika kundi D kwenye kombe la shirikisho mwaka 2018 ambalo klabu ya yanga ilikamata mkia na tunaimani tutawakanda tenda bao hizo nne zilizotukuka watakapokuja huku jijini Algers.

Ombi langu kwa mashabiki wa USMA tujitokeze kuipa hamasa timu yetu katika mchezo wa kwanza wa fainali utakaopigwa katika uwanja wa mkapa jijini Dar-es-salaam.

Asanteni
Bado tu ...Nasemajeeeeeeee ..mtachagua timu mpaka fainali ..tukiwa mabingwa napo mtachagua timu ya kutukabidhi kombe
 
Kuna uwezekano roho mbaya za watanzania walio wengi ziliasisiwa na hizi timu za Simba na Yanga mfano leo hii tabia ya kuombeana mabaya kwa timu hizi inaenda mpaka kwenye maisha ya kawaida unakuta mtu ataku mwenzie atoboe.
 
Back
Top Bottom