Bingwa wa CAF Super Cup katokea kombe la shirikisho ni ujumbe tosha ya kwamba Yanga wapewe maua yao

Majok majok

JF-Expert Member
Aug 3, 2023
618
1,570
Ni muendelezo wa kuwafunga midomo wale wote waliokuwa wanabwata ya kwamba kombe la shirikisho lilikuwa na timu dhaifu, kwa walioangalia mpira wa Al ahly na USM alger atakubaliana na mimi ya kwamba yanga alicheza fainali na timu bora barani afrika kwa sasa.

Pamoja na yanga kukutana na timu bora bado alionyesha kiwango bora mbele ya waarabu hao mpaka wakafanya vitimbi vya kila aina ili wabebe ubingwa wa shirikisho, lakini kwa mara nyingine tena wamedhihirisha kuwa ni timu imara baada ya kumpa kichapo bingwa wa klabu bingwa barani afrika na kubeba ndoo ya pili mfululizo!

Mpaka hapo kwa mwenye akili timamu ni lazima awape yanga maua yao kwa kuwa na kikosi bora na imara kilichowasaidia kufika fainali ya kombe la shirikisho barani afrika!
 
Ni muendelezo wa kuwafunga midomo wale wote waliokuwa wanabwata ya kwamba kombe la shirikisho lilikuwa na timu dhaifu, kwa walioangalia mpira wa Al ahly na USM alger atakubaliana na mimi ya kwamba yanga alicheza fainali na timu bora barani afrika kwa sasa.

Pamoja na yanga kukutana na timu bora bado alionyesha kiwango bora mbele ya waarabu hao mpaka wakafanya vitimbi vya kila aina ili wabebe ubingwa wa shirikisho, lakini kwa mara nyingine tena wamedhihirisha kuwa ni timu imara baada ya kumpa kichapo bingwa wa klabu bingwa barani afrika na kubeba ndoo ya pili mfululizo!

Mpaka hapo kwa mwenye akili timamu ni lazima awape yanga maua yao kwa kuwa na kikosi bora na imara kilichowasaidia kufika fainali ya kombe la shirikisho barani afrika!
Ile kauli sasa imejibiwa kwa vitendo
 
Ni muendelezo wa kuwafunga midomo wale wote waliokuwa wanabwata ya kwamba kombe la shirikisho lilikuwa na timu dhaifu, kwa walioangalia mpira wa Al ahly na USM alger atakubaliana na mimi ya kwamba yanga alicheza fainali na timu bora barani afrika kwa sasa.

Pamoja na yanga kukutana na timu bora bado alionyesha kiwango bora mbele ya waarabu hao mpaka wakafanya vitimbi vya kila aina ili wabebe ubingwa wa shirikisho, lakini kwa mara nyingine tena wamedhihirisha kuwa ni timu imara baada ya kumpa kichapo bingwa wa klabu bingwa barani afrika na kubeba ndoo ya pili mfululizo!

Mpaka hapo kwa mwenye akili timamu ni lazima awape yanga maua yao kwa kuwa na kikosi bora na imara kilichowasaidia kufika fainali ya kombe la shirikisho barani afrika!
Upo sahihi 100%
 
Ni muendelezo wa kuwafunga midomo wale wote waliokuwa wanabwata ya kwamba kombe la shirikisho lilikuwa na timu dhaifu, kwa walioangalia mpira wa Al ahly na USM alger atakubaliana na mimi ya kwamba yanga alicheza fainali na timu bora barani afrika kwa sasa.

Pamoja na yanga kukutana na timu bora bado alionyesha kiwango bora mbele ya waarabu hao mpaka wakafanya vitimbi vya kila aina ili wabebe ubingwa wa shirikisho, lakini kwa mara nyingine tena wamedhihirisha kuwa ni timu imara baada ya kumpa kichapo bingwa wa klabu bingwa barani afrika na kubeba ndoo ya pili mfululizo!

Mpaka hapo kwa mwenye akili timamu ni lazima awape yanga maua yao kwa kuwa na kikosi bora na imara kilichowasaidia kufika fainali ya kombe la shirikisho barani afrika!
Yanga kapiga warabu kwao, achilia mbali Mazembe, Gallants na wengineo.
 
Kwaiyo na Al ahly ni kama malumo tu eti? Maana kapigwa na aliyetoka kwenye ilo kombe unaloita la washindwa!!!
Us alger ni bingwa kapiga wote huko utopoloni kachukua kombe,hata wydad alipigwa na simba kwa mkapa na akachukua kombe la mabingwa hiyo haiondoi ukweli kwamba hata bingwa anaweza kuotewa na underdog kama ihefu alivyomuotea yanga.kwahiyo kufungwa kwa al ahly hakufuti ukweli kwamba timu ikiangukia shirikisho ujue imeshindwa kushiriki ligi ya mabingwa
 
Ni muendelezo wa kuwafunga midomo wale wote waliokuwa wanabwata ya kwamba kombe la shirikisho lilikuwa na timu dhaifu, kwa walioangalia mpira wa Al ahly na USM alger atakubaliana na mimi ya kwamba yanga alicheza fainali na timu bora barani afrika kwa sasa.

Pamoja na yanga kukutana na timu bora bado alionyesha kiwango bora mbele ya waarabu hao mpaka wakafanya vitimbi vya kila aina ili wabebe ubingwa wa shirikisho, lakini kwa mara nyingine tena wamedhihirisha kuwa ni timu imara baada ya kumpa kichapo bingwa wa klabu bingwa barani afrika na kubeba ndoo ya pili mfululizo!

Mpaka hapo kwa mwenye akili timamu ni lazima awape yanga maua yao kwa kuwa na kikosi bora na imara kilichowasaidia kufika fainali ya kombe la shirikisho barani afrika!
GENTAMYCINE hataki kuamini hili,yupo bize kutoa maangalizo tu ahaaaaa
 
Haindoi ukweli kwamba shirikisho ni ligi ya walioshindwa huku club bingwa,haiondoi ukweli kwamba yanga alikutana na wakina marumo ambao ni dhaifu na wameshashuka daraja.mtu wenu haji manara aliwahi kuthibitisha hili
Aahaaaaaa
 
Back
Top Bottom