Kisoda James
JF-Expert Member
- Jun 11, 2020
- 1,114
- 812
Wajinga hao. Sasa asikosee kwani yeye ni malaika?Alikosea kidogo watu wakaanza kumcheka
Wajinga hao. Sasa asikosee kwani yeye ni malaika?Alikosea kidogo watu wakaanza kumcheka
Sio malaika ni mwanadamu kama mimi na weweWajinga hao. Sasa asikosee kwani yeye ni malaika?
I seeSio malaika ni mwanadamu kama mimi na wewe
Ushauri wa maana sana huu. Kukalia kusoma jambo moja muda wote ni kudumaza akili za mtoto wako.Jaribu kuwapa watoto wako fursa ya kujifunza masuala mengine ya maana katika maisha mbali na masomo ya darasani
Kichina hakina dili dada bora kifaransaWatoto wangu wanajua mpaka kichina niliwapeleka tuition posta. Anyways ushauri ni mzuri sana dogo.
Wachina wamejaa sana kariakoo alafu unasema lugha yao haina dili?Kichina hakina dili dada bora kifaransa
Kukosea ni jambo la kawaida sana. Mbona Rais wa Marekani pia anakoseaga?Sio malaika ni mwanadamu kama mimi na wewe
Hii ilikuwa mwaka juzi 2019Really?
Details please.
Posta sehemu ganii? Umri ganii?
Details ninazoomba ni kama jina la chuo, location, umri wa watoto n.kHii ilikuwa mwaka juzi 2019
Poa. Nipe dakika kadhaaDetails ninazoomba ni kama jina la chuo, location, umri wa watoto n.k
Mbona dakika zimeisha bado kimya?Poa. Nipe dakika kadhaa
Tupe detais za kutosha na sisi tupeleke watoto wetu huko.Hii ilikuwa mwaka juzi 2019
Nimependa neno "dogo"Watoto wangu wanajua mpaka kichina niliwapeleka tuition posta. Anyways ushauri ni mzuri sana dogo.
Adaptation ni kanuni anayotumika kujifuza bila mpango kazi, and no one prepare you to adapt.Hakuna kujifunza "automatically" mkuu, ni lazima mtoto apewe muda wa kujifunza pamoja na support kutoka kwa wazazi. Kama unasema mtoto anaweza kujifunza pasipo kumpa vitabu wala magazeti, je ni wangapi wanamudu gharama za vifaa vya kisasa vya mawasiliano kama smartphones na laptops?...
Tatizo kubwa la watanzania wanapenda kufaidi wenyewe tu na ukiwauliza kuhusu mbinu wanakataa kukujibu.Tupe detais za kutosha na sisi tupeleke watoto wetu huko.
Binadamu wote asili yao ni uchoyo kaa ukijua hilo. Hata mimi na wewe ni wachoyo pia.Tatizo kubwa la watanzania wanapenda kufaidi wenyewe tu na ukiwauliza kuhusu mbinu wanakataa kukujibu.
Umpeleke mtoto wako wapi na pesa zako za kubangaiza bangaiza?Tupe detais za kutosha na sisi tupeleke watoto wetu huko.
Anajebangaiza akiwa na malengo anaweza kufanya mambo makubwa kuliko mwenye hela nyingi bila malengo. Hivi unalijua hilo boss?Umpeleke mtoto wako wapi na pesa zako za kubangaiza bangaiza?
Kubangaiza na kujiwekea walau 2,000 ya akiba kila siku kuna manufaa makubwa katika maishaAnajebangaiza akiwa na malengo anaweza kufanya mambo makubwa kuliko mwenye hela nyingi bila malengo. Hivi unalijua hilo boss?