Tangantika
JF-Expert Member
- Aug 12, 2018
- 4,941
- 6,192
Shule zetu zinafundisha watoto kujua kila kitu, unabisha mkuu? Tuanze kuorodhesha hapa masomo ya s/m.Kujua kila kitu kwa mtoto haiwezekani ila anaweza akajua mambo mengi nje ya mfumo rasmi wa elimu...
Watoto mashileni wanafundishwa:
Dini,Sayansi, jografia,uraia, sanaa,muziki,michezo, stadi za kazi(ufundi),Lugha, tehama, haiba nk .
Je hapo hawafundishwi kila kitu, je kwa ufundishwaji huo wanaweza kujua vitu kwa undani?
Je kuna watoto wanaweza kusuka ungo huko mashuleni?
Vipi kutumia kompyuta, kugonga misumari je wanaweza?
Vipi kuongea kingereza ?