Tutor B
JF-Expert Member
- Jun 11, 2011
- 9,025
- 6,554
Habari waungwana!
Leo asubuhi nimebahatika kumtembelea Muombaji ambaye ni mwanafunzi wa TB Joshua. Niliwapeleka mambinti 2 kwa ajili ya kuombewa. Maajabu niliyoyaona sijawahi kuona tangu nimezaliwa.
Binti wa kwanza aliongea maneno mengi lakini alipojitambua hakujua nini kilikuwa kinaendelea. Katika baadhi ya maneno alosema ni hivi "sitaki asome ndiyo maana nilimwibia madaftari yake usiku, wakati wa vipindi nitakuwa namficha chooni"
Huyo binti nilipomuuliza kama kweli madaftari yake yalipotea akasema kweli yaliibiwa ...
Nikamuuliza kuhusu bibi yake .. akasema ni kweli bibi yake ni mchawi hadi wana kijiji walishataka kumchomea nyumba akakimbilia mjini kwa watoto wake ...
Swali: Hivi wachawi ni kwa nini huwa wanapenda kurudisha maendeleo ya watu wao wa karibu nyuma?
Kwa faida ya wale watakaotaka kwenda kuombewa: Mwombaji huyo yuko Kiseke jijini Mwanza, ila anafanya maombi Fly Park Hotel kila Jumatano na Jumapili. Sikuwahi kuhudhuria Fly Park, natarajia kuanza kwenda wiki hii! Hakika nimeuona mkono wa Bwana kupitia kwa mwanafunzi wa TB Joshua kwa jina anaitwa Zelamula.
Leo asubuhi nimebahatika kumtembelea Muombaji ambaye ni mwanafunzi wa TB Joshua. Niliwapeleka mambinti 2 kwa ajili ya kuombewa. Maajabu niliyoyaona sijawahi kuona tangu nimezaliwa.
Binti wa kwanza aliongea maneno mengi lakini alipojitambua hakujua nini kilikuwa kinaendelea. Katika baadhi ya maneno alosema ni hivi "sitaki asome ndiyo maana nilimwibia madaftari yake usiku, wakati wa vipindi nitakuwa namficha chooni"
Huyo binti nilipomuuliza kama kweli madaftari yake yalipotea akasema kweli yaliibiwa ...
Nikamuuliza kuhusu bibi yake .. akasema ni kweli bibi yake ni mchawi hadi wana kijiji walishataka kumchomea nyumba akakimbilia mjini kwa watoto wake ...
Swali: Hivi wachawi ni kwa nini huwa wanapenda kurudisha maendeleo ya watu wao wa karibu nyuma?
Kwa faida ya wale watakaotaka kwenda kuombewa: Mwombaji huyo yuko Kiseke jijini Mwanza, ila anafanya maombi Fly Park Hotel kila Jumatano na Jumapili. Sikuwahi kuhudhuria Fly Park, natarajia kuanza kwenda wiki hii! Hakika nimeuona mkono wa Bwana kupitia kwa mwanafunzi wa TB Joshua kwa jina anaitwa Zelamula.