Kuhusu kuvuruga ndoa ya Amina na Medi, mtu wa kumpa lawama zaidi nadhani ni yule Naibu Waziri aliyemwita Medi na kumshawishi amwache mke wake. Tumekua tukifundishwa kuwa ugomvi wa mme na mke usiuingilie, lakini bwana huyu aliingilia mambo ya unyumba wa wengine. Kama angekuwa na nia njema, angemwonya Amina kabla ya kufikisha taarifa hizo kwa mumewe.
Usanii at its best! Yaani uroda ale Zitto msalaba abebeshwe Nchimbi... tumekusikia mkuu keep it up..