Wanene kuongezewa marupurupu

Wanene kuongezewa marupurupu

Hivi cha ajabu nini hasa ikiwa nyongeza za marupurupu ni pamoja naaa vinavyoelea?...
Aaaah, jamani mwee! tushushe za wazee wengine?
maanake hata sielewi tunafikiri kitu gani hasa wakati viongozi tena sio wabunge - sherehe zao vinyumba tena wake za watu!
Binafsi naona mnazidi kumpandisha chat tu!.
 
Hivi cha ajabu nini hasa ikiwa nyongeza za marupurupu ni pamoja naaa vinavyoelea?...
Aaaah, jamani mwee! tushushe za wazee wengine?
maanake hata sielewi tunafikiri kitu gani hasa wakati viongozi wa serikali tena wabunge - sherehe zao vinyumba tena wake za watu!
Binafsi naona mnazidi kumpandisha chat Zitto!, msifikiri mnaharibu.
 
Mswahili,

Ni afadhalli Mswahili umekubali kulimaliza jambo hili kwa vile wewe ndiye uliyeliendeleza sana beyond the normal scope. La muhimu ni kuwa Zitto hakushikwa ugoni, at least kwa taarifa zilizoko mbele yetu hapa; yote hayo ni matokeo ya hearsay tu. Ndiyo maana binafsi sijamhukumu Zitto ingawa kwa maadili ya kwetu ni kosa kubwa sana kutembea na mke wa mtu, nilikulia katika mazingira ambayo makosa ya ugoni yalikuwa hayaamuliwi kwa talaka (au "taraka" nimeshakuwa confused sasa) tu.

Kuwa na uhakika zaidi, sidhani kama ni kweli kuwa Mpakanjia aliongea na waandishi wa habari na kuwaambia kuwa kamshika Zitto ugoni. Taarifa zilizopatikana zilionyesha kuwa waandishi walipata taarifa hizo kutokana na barua aliyomwadikia spika wa bunge. Na tangu Zitto atangaze kuwashitaki waandishi watakaoandika mambo yake binafsi, sijasikia gazeti lolote lililoziandika, inawezekana ni coincidence tu kuwa alitoa onyo hilo wakati hakuna utamu tena kwenye habari hizo. Kwa hiyo sidhani kama kweli ameshindwa kuchukua hatua za kisheria; inawezekana anasubiri apewe onyo na Spika kufuatia maombi ya Mpakanjia ndipo achukue hatua. Na vile vile inawezekana kutokana na taarifa personal ulizotoa hapa kuwa hakutaka waandishi wachimbe background zake unneccesarily, siyo kuwa alikuwa na cha kuficha kuhusu Amina ila tu kuwa hakutaka hizo backgorund za familia yake ziwe public. In any case, hili ni jambo lisilokuwa na manufaa kwetu kujadili.

Tena, nashukuru kuwa nawe umeona hilo, heri tusonge mbele.


Indpdcfrm61.

Baada ya Mswahili kuwa amekubali kuachana na swala la Zitto/Amina, ni afadhali sasa turudi kwende CDF discussion. Hata hivyo baada ya thread hii kuwa imepakwa matope, ninaenda kuanzisha thread nyingine dedicated to this topic hapa.
 
kichuguu.

Niliamua kufanya hivyo kwa ushauri wa DUA, mtu ninayemheshimu sana, mkuu mkumbo nae.Tanzania njema kanisii sana.

nina mengi ya zitto.sitaki kuyaanika ila naona wewe unazidi kumlinda hapo naweza kutengua uamuzi wangu wa kusema Alamsiki.

Ni jambo la faida kwetu sote kujua wabunge walivyokosa nidhamu ya kazi. kuna kitabu kinaitwa PENZI KITOVU CHA UZEMBE pitia kitabu hicho na muhimu kwa ZITTO na AMINA kukisoma.
 
kaka mswahili nimekukubali kweli unajua kuuma na kupuliza. Nakiri hivyo licha ya wewe kukataa kujibu kuhusu jina la Kabwe na kuhusu jina halisi la mama yake Zitto. Nasikitika ulishindwa kukiri kuwa si kweli kuwa mama Zitto hafiki Dar kwa sababu yeyote ile. Ungekubali hivyo ungeonesha uungwana wa hali ya juu kuwa hata kama unajua mengi, haina maana unajua yote na heshima yangu kwako ingezidi kuongezeka. Kwa vile umeamua kutoendelea nalo na mimi naliachia hapo nikijua wewe ni mtu wa namna gani.

asante.
 
Ni afadhalli Mswahili umekubali kulimaliza jambo hili kwa vile wewe ndiye uliyeliendeleza sana beyond the normal scope. La muhimu ni kuwa Zitto hakushikwa ugoni, at least kwa taarifa zilizoko mbele yetu hapa; yote hayo ni matokeo ya hearsay tu. Ndiyo maana binafsi sijamhukumu Zitto ingawa kwa maadili ya kwetu ni kosa kubwa sana kutembea na mke wa mtu, nilikulia katika mazingira ambayo makosa ya ugoni yalikuwa hayaamuliwi kwa talaka (au "taraka" nimeshakuwa confused sasa) tu.

Na hayo ya wengine wanaotukanwa si hearsay vilevile kuna mwenye ushahidi? mbona hamkuwatetea? Why Zitto? Double standards!
 
Zitto amelelewa na mama yake tu hadi jina lake la surname ni la upande wa mama yake'. baba yake alikataa mimba ya mama yake.labda kutokana na background hiyo hajui nini kinampata mtoto wa Amina au ndio ile roho mbaya "mbona na mimi nililelewa na single parent"

Mr. Invisible,

Nimesoma thread tatu tofauti ambazo zote Ndugu yangu Mswahili amekuwa akimu-attack Zitto personally akimuhusianisha na Dada Mhonga na AC. Nakumbuka tulikuwa na thread ya kuhusu hili sakata la Zitto na AC.

Ndugu yangu Mswahili ameamua kumuingiza Mama yake Zitto, hapa busara iko wapi? Hii thread haihusiani kabisa na Zitto, bahati mbaya ni kuwa Zitto amechangia, nadhani amefanya kosa kubwa kwa Mswahili! Matokeo yake tumeacha kujadili mada na tunahamia tena kwa Zitto na AC. Huenda ntaonekana namtetea Zitto lakini ukweli simtetei katu ila ninakwazwa sana na tabia ya Mswahili kuajacha kujadili mada husika na kuhamia kwenye personal attacks kwa Zitto! What a shame kufanya vitu vya namna hii.

Invisible sijui unasubiri Zitto naye aanze kumua-attach Mswahili (ingawa nadhani Zitto hamfahamu Mswahili kwa sababu ya nick name ingawa Mswahili aonekana kumfahamu Zitto vizuri. Naamini Mswahili angejitambulisha kwa jina lake halisi basi tungeona maajabu maana Zitto naye angeanza kumtukana huyu Mswahili sijui mwisho wake ungekuwaje.

I think we become irretional hapa maana Mswahili anatumia nafasi ya 'ubaya' wa Zitto kumwagia sumu kila Zitto anapozungumza. Nawashauri wana JF tutumie thread zinazohusika na hili sakata la AC na Zitto.

Nahisi kama vile kuna watu hataki tujadili hili suala la wanene kujiongezea marupurupu. Au Mswahili nawe ni mnene? Samahani ikiwa nimekukwaza Ndugu yangu Mswahili lakini nakusihi usituchanganyie mambo, Suala la Wanene halihusiani na sakata la Zitto+AC+Mhonga + Zanzibar University= Mama yake Zitto! Its shame!
 
Ibrah,
Shukran sana maanake nilianza kufikiria kuchukua likizo kwanza hadi hapo mambo yatakapo poa!...
Ilinipa mshangao kidogo na kufikiria kwamba kuna watu wametumwa hapa tuvunje mada ambazo zinawahusu viongozi na wabunge wetu!..lakini baada ya kusoma kwa makini maelezo yako nakubali, nakubali kuwa Mswahili kesha amua kumvalia njuga Zitto (Personal), sintamlaumu kwa sababu Ndugu Mwanasiasa ndiye mchochezi wa cheche zote.
Tafadhali turudi ktk mada na hili swala la ngono lipelekwe kule kunakotakiwa.
 
Unajua mimi sishangai kupata hoja kama za Mswahili.Tanzania tunashindwa kujadili mambo ya msingi kwa kuwa tuna watu wengi wengi silka ya Mswahili. Fulani kavaa chupi ya rangi nyekundu, fulani kafumaniwa ndo issue ambazo watanzania(Mswahili) wanapenda kujadili. Wana JF mnapoendekeza kujibu hoja za kijinga UDAKU(zenye chuki binafsi) mnaendeleza mjadala usiokuwa na faida. Nafikiri itakuwa vizuri issue zote zitakazozungumzia mtu binafsi(Personal affairs )ziondolewe katika side hii.
 
Sasa yeye alimwita Medi na kumsaidia kuandika barua akiwa kama nani; kachero, kizabizabina, ndugu yake....


Ndio maana nikakuambia kama kuna wa kulaumiwa sio Nchimbi bali ni Zitto....
 
Nimesikia mkuu wangu DUA kwako sipinduwi. namwaga manyanga.
Alamsiki.

Heh hee! Wat a big u turn in one way traffick! Will someone help to direct mswahili that, Chadema this way pls ------

.......ni sabuni ya rohooo! wakale walisemmma! oooh! (Marijan)
 
kaka mswahili nimekukubali kweli unajua kuuma na kupuliza. Nakiri hivyo licha ya wewe kukataa kujibu kuhusu jina la Kabwe na kuhusu jina halisi la mama yake Zitto. Nasikitika ulishindwa kukiri kuwa si kweli kuwa mama Zitto hafiki Dar kwa sababu yeyote ile. Ungekubali hivyo ungeonesha uungwana wa hali ya juu kuwa hata kama unajua mengi, haina maana unajua yote na heshima yangu kwako ingezidi kuongezeka. Kwa vile umeamua kutoendelea nalo na mimi naliachia hapo nikijua wewe ni mtu wa namna gani.

asante.
Nilikwambia uombe ruhusa toka kwa Zitto mwenyewe akikubali niweke wazi full family background.msije kulalamika kuwa ooh Mswahili thats too personal. sikatai mama Zitto kuwa anakuja Dar huenda anafaa baibui style ya Ninja nani atamjua? kama huamini subiri siku akifa huyu mama utaona watu watakao kuja kuzuia jeneza hapo ndipo utanikumbuka Mswahili. nikiwa hai nitakukumbusheni au nikitangulia mtanikumbuka siku hiyo.

BI SENTI 50.
Utakata niweke history ya mama zitto na vimwanga vyake? nasubiri jibu.
 
Nilikwambia uombe ruhusa toka kwa Zitto mwenyewe akikubali niweke wazi full family background.msije kulalamika kuwa ooh Mswahili thats too personal. sikatai mama Zitto kuwa anakuja Dar huenda anafaa baibui style ya Ninja nani atamjua? kama huamini subiri siku akifa huyu mama utaona watu watakao kuja kuzuia jeneza hapo ndipo utanikumbuka Mswahili. nikiwa hai nitakukumbusheni au nikitangulia mtanikumbuka siku hiyo.

BI SENTI 50.
Utakata niweke history ya mama zitto na vimwanga vyake? nasubiri jibu.

Dar Si Lamu uko wapi? Tafadhali Yakhe rudi uje ushughulike na jamaa yako huyu
 
Inabidi majeshi ya kukodishwa!

Mswahili, mzee wangu mwache Zitto, inakuwa kama mlikuwa kiwanja kimoja kule shimoni! vipi twambie Zitto mwanaume wa shoka nini aliwahi mzigo kabla yako maanake haya sii bure tena, Yanatoka mbali.
 
Nilikwambia uombe ruhusa toka kwa Zitto mwenyewe akikubali niweke wazi full family background.msije kulalamika kuwa ooh Mswahili thats too personal. sikatai mama Zitto kuwa anakuja Dar huenda anafaa baibui style ya Ninja nani atamjua? kama huamini subiri siku akifa huyu mama utaona watu watakao kuja kuzuia jeneza hapo ndipo utanikumbuka Mswahili. nikiwa hai nitakukumbusheni au nikitangulia mtanikumbuka siku hiyo.

BI SENTI 50.
Utakata niweke history ya mama zitto na vimwanga vyake? nasubiri jibu.


Mswahili, kaka wewe ni fundi wa maneno mengi na bingwa wa vitisho vingi. Nimeuliza swali specific wewe waja na mambo ya historia ya nani sijui nani. Ulisema hapo nyuma kuwa jina la Kabwe ni la mama yake nikasema si kweli, na hapo hapo nyuma ukasema kuwa huyo mama hakanyagi Dar, nikakuambia si kweli kwani nilikuwa naye wiki iliyopita. Mimi sihitaji historia ya Zitto au mama yake nilitake nione kama una ubavu wa kukiri makosa na kutokuwa na habari sahihi. Inaonekana hauna na mimi nafunga mjadala.

Asante.
 
Unajua mimi sishangai kupata hoja kama za Mswahili.Tanzania tunashindwa kujadili mambo ya msingi kwa kuwa tuna watu wengi wengi silka ya Mswahili. Fulani kavaa chupi ya rangi nyekundu, fulani kafumaniwa ndo issue ambazo watanzania(Mswahili) wanapenda kujadili. Wana JF mnapoendekeza kujibu hoja za kijinga UDAKU(zenye chuki binafsi) mnaendeleza mjadala usiokuwa na faida. Nafikiri itakuwa vizuri issue zote zitakazozungumzia mtu binafsi(Personal affairs )ziondolewe katika side hii.

Nyangumi,

Inategemea na mtu anajadiliwa vipi. Swala la Zitto tulilijadili sana kwenye vibweka kule. Lilikuwa na uzito fulani wa kitaifa kwa kuwa hawa wabunge vijana ni kioo kwa vijana wengine wa taifa hili. Jambo lile lilikuwa ni mfano mbaya sana kwa vijana. Kwa hiyo swala hilo halikujadiliwa kiubweka. Hata hivyo, katika mjadala wote ule na taarifa zilzopataikana tangu sakata hilo liibuke, hakuna ushahidi wowote uliotolewa kuthibitisha kuwa kweli walihusika katika ugoni wowote, na mjadala ule ukawa umekwisa. Baada ya Zitto kuonekana hapa na kuulizwa jambo hilo, pamoja na kutaka kukwepa kulizungumzia, amethibitisha ripoti ziilzotolewa magazetini kuwa yeye hakuhusika katika ufska wowote na Amina kama tulivyokuwa tumeshasoma huko nyuma. Kwa hiyo hakuna taarifa mpya zozote za kuendeleza mjadala tena. Tatizo linatokea kwamba kuna wanaotaka tuendelee kuliongelea jambo hili hili wakati hakuna taarifa nyingine zinazotofautiana na tulivyokwisha lifahamu kwenye vibweka vya wakubwa; mbaya zaidi hawa wanaotaka kulitia chunvi zaidi kwa kuleta taarifa za wazazi wake Zitto na taarifa nyingine zisizosahihi ili kulichochea. Inaudhi zaidi kuwa wanataka tulijadili katika kila thread. Kwa kupinga kuliendeleza, kuna watu wengine wana-extrapolate kuwa kutokuendelea na swala la Zitto ni kuwa na double standards eti kwa vile tunawaongelea akina Lowassa na wanasiasa wengine bila kuwa na mipaka; dai hili si la ukweli kama nitakavyoeleza hapa chini:


(a)Wanasiasa wote wanaojadiliwa hapa hutokana na sorces mbalimbali kama vile taarifa za magazetini au ripoti za kiserikali zinazopatiaka kisiri. Huwa tunajadili topic mpaka inakuwa exhausted, ambapo huwa inafifia yenyewe. Taarifa mpya zikijitokeza ndipo inarudishwa; kwa mfano sasa hivi kesi ya Ditopile haijadiliwi kwa vile hamna taarifa mpya. Kwa bahati mbaya wanasiasa wengi huwa hawajibu tuhuma dhidi zao hata wanapopelekewa maswali official kama vile ofisi ya Mkapa ilivyofanya kuhusu ANBEN; hii ni tofauti na Zitto kuwa yeye amejibu tuhuma dhidi yake. Kama mtu hakuridhika na jibu lake ni afadhali angemwuliza swali la nyongeza liendanalo na jibu hilo kuliko kuanza mashambulizi yasiyokuwa na maana yoyote. Maswali ya nyongeza yalikuwapo mengi tu: binafsi nilitaka kumwuliza atachukua hatua gani baada ya jina lake kuwa limechafuliwa vile kama kweli hakuhusika na kashafa hiyo. Lakini uwanja ukavurugwa kwa chuki binafsi.


(b) Thread ya Kashfa ya Zitto na Amina bado ipo na tulishaijadili mpaka ikawa exhausted pia; anayetaka kuichangia zaidi iko hapa; hadi wakati huu ina posts 394 na imeshasomwa na watu 19,263. Tunachokataa ni kuvuruga forum kufanya kila thread iwe ni juu ya jambo hili hili na kuleta mambo ambayo hayana uhuasino na mjadala, kwa mfano kutoa taarifa za wazazi wa Zitto. Kwa hiyo siyo si vibaya kujadili skendo ya Zitto kama mwanasiasa, na si kweli kuwa forum hii inazuia kujadiliwa kwa Zitto. Endapo kutatokea mwanasiasa mwingine akahusika na kashafa kama hii, tutamjadili tu kama tulivyomjadili Zitto; huo siyo ubweka kwa vile ni swala la maadili ya kijamii.


(c) Kumjadili Mkapa au Mkewe kwa kufanya biashara wakiwa state house, au kumjadili Lowassa kwa kutoa tenda ya serikali kwa mwanawe bila ushindani ni maswala ya kitaifa yanayositahili kujadiliwa. Hata hivyo katika kujadili kesi za namna hiyo, bado hatutaruhusu zivurugwe kwa kuingiza taarifa za kejeli na matusi kwa wazazi au ndugu za wanaojadiliwa iwapo hawakuhusika katika kashfa zinazojadiliwa.
 
Mzee MMJ,

Nimeshitushwa kuhusu unafiki wako wa kuwatafuta kuwahoji viongozi wa CCM, na kulia kuhusu wanafunzi, kumbe viongozi wa Chadema huwagusi ila unawatetea?

Unakumbuka tulipokuambia kuwa hatuhitaji mahojiano kati yako na Freeman, kwa sababu wewe sasa umekuwa compromise? Sasa kama hizi ndio standard zenyewe hapa forum, then tunafanya nini? Sasa unashangaa kina Msolla wanavyokukatia simu?

What a joke? Bravo kwa wale wote mnao-raise hell keep it up, Mtanzania, Masatu, endeleeni kumkoma nyani giladi, asiogopwe mtu hapa, eboo!

Mheshimiwa Zitto, it is about time sasa ukajibu maswali kuhusu kashfa yako na Amina Chifupa, mbunge mwenzio na mke wa mwananchi kama sisi unaotuwawakilisha bungeni, I mean sasa tutawatumaje wake zetu ofisini kwako tukiwa na shida zinazohitaji msaada wako kama mbunge?

Kwa wale mnaotaka kutubabaisha na maneno ya ujanja ujanja, tunasema sisi sio watoto wadogo hapa, ni haki yetu wananchi kujua kilichotokea kati ya waheshimiwa Zitto, na Amina Chifupa, kama ilivyo haki yake, Zitto hapa kuwatukana viongozi wazembe wa serikali na tunamuunga mkono mara nyingi, kama hawezi kujibu basi aache kabisaaa kuwagusa viongozi wa serikali na siasa kwa ujumla, kwa sababu hana moral ground ya kumkosoa kiongozi yoyote wa serikali na hasa wanaoingia bungeni kama yeye!

Kwa mara ya kwanza I am ashamed kuwa member wa hii forum, maana huu ni utoto na kumfukuza mwenda wazimu tukiwa uchi, mheshimiwa Zitto, rudisha heshima ya hii forum kwa kujibu na kutueleza ukweli wa kilichotokea mkuu, sisi wote hapa ni watu wazima, hakuna mtoto mdogo hapa wa kuambiwa habari za uroda, then hata Richmond pia ni uroda bro if that is the case of uroda,

Wazee tuacheni unafiki hapa, sio mahali pake, mizimu ya BCS itatushitaki ndio maana kunaanza balaa za mitambo hapa, acheni utoto mambo yawekwe hadharani hapa, lakini tuisgeuzane kuwa watoto hapa, na sisi ni watu wazima tena wenye akili timamu za kuona uozo wa viongozi wetu kwa makini, sasa itakuwaje tunataka kupromote usaniii tunaoukataa kutoka kwa serikali yetu?

Ndio maana ninasema kuwa sisi wananchi hatuna vision wala busara, na pia ni wasanii wa kutupwa?
 
Back
Top Bottom