Mswahili Old Acc
JF-Expert Member
- Sep 27, 2006
- 488
- 24
Pinokyo,Bi sent,Kichuguu na Mkumbo.
Mbona mmekuwa wakali namna hii? bi sent 50 kama unametizama thread ya Chifupa na Zitto kuna mtu mlalahoi kasema kabisa kuwa AC anapenda kurukwa ukuta, hayo ni matusi ya wazi na ya hali ya juu.
wewe sikukuona kukemea unyanyapaa huo? na kule ametukanwa sana Amina hakuna gender wala wanaharakati waliokuja kusema au kumtetea amina.
akazidi Phillimon mikael na kusema, Hongera zitto kwa kumshughulikia AC.
Habari za Uzinzi wa Zitto ni za kweli kabisa. juzi juzi Ziito aliitisha press conference na kumjibu Rais kuwa amemuonea. kwanini sakata la Amina tunaambiwa tumpe muda na ameshindwa kuitisha press conference ili waandishi wahoji tuhuma hizi?
Nashangaa kichuguu anasema Amina alizuiliwa asifanye mkutano na waandishi ili kuweka wazi ukweli wa kadhia nzima.
jee na ZITTO nae alizuiliwa? au AC ni msemaji wa ZITTO? wepesi alioupata ZITTO kumjibu rais autumie kufanya press conference kuliko kwenda kuongea na gazeti moja tu la chadema-Tanzania Daima.
kama amezushiwa angemuona Mtikila wafungue kesi. haiwezekani Zitto na kimbelembele chake aliache jambo hili bila kuchukua hatua za kisheria au za kuitisha press conference.kamfanyia rais wa nchi atamuogopa Mpakanjia au Nchimbi?
Bi senti.
Unataja habari ya ulemavu mimi si kufika huko. ni wewe ulisema mimi simjui mama Zitto nikaomba ruksa kwa Zitto mwenyewe nashangaa umekuja wewe nadhani kama kumdhalilisha unafanya wewe.mimi si muumbaji na siwezi kumnyanyapaa mtu.
Hili suala la unyanyapaa mnataka kulikuza. aliyenyanyapaa ni baba yake ZITTO kwa kumkimbia mama yule baada ya kumpa ujauzito. na hili kama nazusha bwana Mkumbo niambie ndoa ya baba zitto na mama yake ilifanyika wapi?
na Zitto alilelewa na baba yake? hili si jambo geni limewatokea wengi tu. kuna mwimbaji Q-Chief yeye yalimkuta kama haya ya Zitto na akatoa kibao maalum kumsimanga baba yake-ili iwe fundisho kwa wazazi wengine.
wimbo unasema "Siulinizaa wewe ukanikataa, sasa iweje uone mi nafaa,kosa langu ni lipi baba? anaendelea " ulimkana mama na alipojigungua nilifunikwa na mifuko ya rambo"
Zipo nyingi nyimbo za kuwasema wazee wanaonyanyapaa wanawake. Marehemu Moshi William TX naye alimuimbia Ferguson na hata jabali la muziki kuna wimbo unaitwa mwana yatima-huwezi kujua mtoto huyu atakuwa nani.
ndugu Lazima tuelewe tunapohukumu kitu lazima ushahidi wa kimazingira utumike sana, ndio nikataja background aliyokulia Zitto ili tuwe na picha nzuri. kuna OPPRAH ambaye ameishi kwa taabu lakini leo anaufaaa umma. Mikael TYSON mfano mwingine. lakini ukweli upo pale pale mtoto aliyekulia malezi ambayo hayana baba wala mama ukubwani kwake anaweza kuwa na tabia za ajabu kama hakupata walezi wazuri kwenye utoto wake. mtoto wa tapeli atakuwa tapeli tu.
Mkumbo-Nilijua una busara na hekima nzuri kumbe ni dikteta kiasi hiki?unataka nifungiwe bila kupewa nafasi ya kujieleza? ndio uchadema huo? jaribu kuwa mtu wa kuvuta subira kwa kila jambo.
udhaifu wako huu ndio umekufanya ubadili vyama kama jezi. nilichosema ZITTO alifukuzwa zanzibar university na aliyesimamia zoezi hilo ni DR.Miraj wa ZNZ. walimwambia Zitto kuwa ondoka chuoni mara moja ukifanya mchezo tutakutoa mshipa. akafungasha virago. Wazanzibar hawana mchezo na wake zao. na yeye alijitia kwenye uongozi wa chuo iwe njia yake ya kuwakaribia dada wa kiznz.
Maelezo marefu ya Mkumbo yenye kujichanganya na ya Bi Sent 50. KITILA anadai walimwambia Zitto aende UDSM sababu kuna debate na ZNZ hakuna.
wakati BI SENTI 50 anasema yuko karibu na Zitto anadai kuwa Zitto alinyimwa Scholarships akapewa Mzanzibar hivyo akakasirika akaenda Udsm.
hapa mnajichanganya kwa kuleta kauli mbili tofauti. nabaki mimi kuwa mkweli. bi senti ZNZ university si chuo cha serikali na hakikuwa na scholarships acheni uzushi wewe na Mkumbo wako.
Mkumbo unakubali kuwa umemjua ZITTO kwenye Kongamano sie tunamjua toka mdogo na familia yake yote. hivyo utaona wewe ndio humjui Zitto kwa kumjulia kwenye kongamano.
BI Senti 50.
Hakuna anayemchukia Zitto lakini ukweli unabaki pale pale mtu kama huna baba sio tusi.wapo wengi tu. ndio ukaona kuna maneno kama BASTARD yapo kwenye Dictionary. kama mkereketwa waombe wayaondoe kwenye kamusi. na niliposema naijua familia yake si mzushi wewe umetaja kuwa unamjua mama yake kwenye NGO ya KIGOMA .MIE namjua kabla ya huko wakati akiwa Dar.ili ujue nasema ninachokijua. Tunakubali Zitto ni role model wetu. mazingira aliyopitia na alipofika ni jambo la kutia moyo. lakini ni vyema historia hii isiwe siri tuna vijana wengi wapo Dogo dogo Centre au kule Njombe wanaoishi kwenye mazingira magumu.wakijua kuwa kuna mwenzetu alipitia njia hizi na sasa ni Mbunge itawapa hamasa ya kujibidisha kwenye masomo.
KICHUGUU.
nadhani wewe au Mkumbo amesema tusiwataje vibaya watu kama ZITTO humu kwenye JF kwa vile ni members. jee kuwa Members wa JF ndio ngao ya kuficha maovu yako? kama hiyo ndio kanuni basi Sumaye na Mkapa nao waje kuchangia ili wapate kinga ya kuwa members wa JF na wanapokosea tusiwajadili kisa ni members wenzetu.
Siasa imetumika kumuharibu Zitto. jamani Zito ni nani? walikuwepo watu kama Mrema na Seif Sharrif mbona hawajapata kashfa hizi? unapotoa dawa kwa mgonjwa unatizama side effect yake. kweli mkasa huu uzushwe ili kumharibia Zitto na wana CCM? .ilihali Mpakanjia akubali kuivunja ndoa yake kwa mikasa ya kisiasa tu?. na pia Amina kuharibu jina lake na la familia yake eti ni mpango wa kumvuruga Zitto kama nani? jamani Mkumbo na Kichuguu story hiyo mimi siwezi kuinunua.haingii akilini samahani wazee.
Kichuguu ukiona Mpakanjia anasema na baba yake Amina ndio mafunzo ya dini yake yananyomuelekeza. unapooa unaambiwa mkiachana basi mnaachana kwa kheri. ndio kama anavyofanya Medi.
ZITTO KABWE.
nDUGU yangu nakupenda. tabia ni kitu unachoweza kukibadili si ulemavu.tabia kwa uongozi ni jambo muhimu sana.najua unaweza kubadilika.
pia sikupenda unavyojifahalisha kuwa unamlipa msaidizi wako laki 5 sio vyema mishahara kwetu ni siri na unampa wakati mgumu huyo msaidizi wako. kwa maisha ya kigoma kijijini ni pesa nyingi, hivyo utafanya watu wampelekee shida nyingi sana.naomba usirudie tena.
Pia kitendo chako cha kumvalisha mke wa mtu koti si kitendo cha busara. wewe ni role model pale dogo dogo centre.
Wanabodi.
Siko hapa tumkashifu mtu ila tabia ya mtu kama kiongozi wetu lazima tuijue alizaliwa wapi? katoka familia ipi? tabia zake?jee kwenye familia yake kuna asili ya uongozi? na mengi sana. kutokujua backgorund ndio tunapata viongozi wabofu kama kina Ncimbi ambao mnasema wameharibu ndoa ya Chifupa.
Mbona mmekuwa wakali namna hii? bi sent 50 kama unametizama thread ya Chifupa na Zitto kuna mtu mlalahoi kasema kabisa kuwa AC anapenda kurukwa ukuta, hayo ni matusi ya wazi na ya hali ya juu.
wewe sikukuona kukemea unyanyapaa huo? na kule ametukanwa sana Amina hakuna gender wala wanaharakati waliokuja kusema au kumtetea amina.
akazidi Phillimon mikael na kusema, Hongera zitto kwa kumshughulikia AC.
Habari za Uzinzi wa Zitto ni za kweli kabisa. juzi juzi Ziito aliitisha press conference na kumjibu Rais kuwa amemuonea. kwanini sakata la Amina tunaambiwa tumpe muda na ameshindwa kuitisha press conference ili waandishi wahoji tuhuma hizi?
Nashangaa kichuguu anasema Amina alizuiliwa asifanye mkutano na waandishi ili kuweka wazi ukweli wa kadhia nzima.
jee na ZITTO nae alizuiliwa? au AC ni msemaji wa ZITTO? wepesi alioupata ZITTO kumjibu rais autumie kufanya press conference kuliko kwenda kuongea na gazeti moja tu la chadema-Tanzania Daima.
kama amezushiwa angemuona Mtikila wafungue kesi. haiwezekani Zitto na kimbelembele chake aliache jambo hili bila kuchukua hatua za kisheria au za kuitisha press conference.kamfanyia rais wa nchi atamuogopa Mpakanjia au Nchimbi?
Bi senti.
Unataja habari ya ulemavu mimi si kufika huko. ni wewe ulisema mimi simjui mama Zitto nikaomba ruksa kwa Zitto mwenyewe nashangaa umekuja wewe nadhani kama kumdhalilisha unafanya wewe.mimi si muumbaji na siwezi kumnyanyapaa mtu.
Hili suala la unyanyapaa mnataka kulikuza. aliyenyanyapaa ni baba yake ZITTO kwa kumkimbia mama yule baada ya kumpa ujauzito. na hili kama nazusha bwana Mkumbo niambie ndoa ya baba zitto na mama yake ilifanyika wapi?
na Zitto alilelewa na baba yake? hili si jambo geni limewatokea wengi tu. kuna mwimbaji Q-Chief yeye yalimkuta kama haya ya Zitto na akatoa kibao maalum kumsimanga baba yake-ili iwe fundisho kwa wazazi wengine.
wimbo unasema "Siulinizaa wewe ukanikataa, sasa iweje uone mi nafaa,kosa langu ni lipi baba? anaendelea " ulimkana mama na alipojigungua nilifunikwa na mifuko ya rambo"
Zipo nyingi nyimbo za kuwasema wazee wanaonyanyapaa wanawake. Marehemu Moshi William TX naye alimuimbia Ferguson na hata jabali la muziki kuna wimbo unaitwa mwana yatima-huwezi kujua mtoto huyu atakuwa nani.
ndugu Lazima tuelewe tunapohukumu kitu lazima ushahidi wa kimazingira utumike sana, ndio nikataja background aliyokulia Zitto ili tuwe na picha nzuri. kuna OPPRAH ambaye ameishi kwa taabu lakini leo anaufaaa umma. Mikael TYSON mfano mwingine. lakini ukweli upo pale pale mtoto aliyekulia malezi ambayo hayana baba wala mama ukubwani kwake anaweza kuwa na tabia za ajabu kama hakupata walezi wazuri kwenye utoto wake. mtoto wa tapeli atakuwa tapeli tu.
Mkumbo-Nilijua una busara na hekima nzuri kumbe ni dikteta kiasi hiki?unataka nifungiwe bila kupewa nafasi ya kujieleza? ndio uchadema huo? jaribu kuwa mtu wa kuvuta subira kwa kila jambo.
udhaifu wako huu ndio umekufanya ubadili vyama kama jezi. nilichosema ZITTO alifukuzwa zanzibar university na aliyesimamia zoezi hilo ni DR.Miraj wa ZNZ. walimwambia Zitto kuwa ondoka chuoni mara moja ukifanya mchezo tutakutoa mshipa. akafungasha virago. Wazanzibar hawana mchezo na wake zao. na yeye alijitia kwenye uongozi wa chuo iwe njia yake ya kuwakaribia dada wa kiznz.
Maelezo marefu ya Mkumbo yenye kujichanganya na ya Bi Sent 50. KITILA anadai walimwambia Zitto aende UDSM sababu kuna debate na ZNZ hakuna.
wakati BI SENTI 50 anasema yuko karibu na Zitto anadai kuwa Zitto alinyimwa Scholarships akapewa Mzanzibar hivyo akakasirika akaenda Udsm.
hapa mnajichanganya kwa kuleta kauli mbili tofauti. nabaki mimi kuwa mkweli. bi senti ZNZ university si chuo cha serikali na hakikuwa na scholarships acheni uzushi wewe na Mkumbo wako.
Mkumbo unakubali kuwa umemjua ZITTO kwenye Kongamano sie tunamjua toka mdogo na familia yake yote. hivyo utaona wewe ndio humjui Zitto kwa kumjulia kwenye kongamano.
BI Senti 50.
Hakuna anayemchukia Zitto lakini ukweli unabaki pale pale mtu kama huna baba sio tusi.wapo wengi tu. ndio ukaona kuna maneno kama BASTARD yapo kwenye Dictionary. kama mkereketwa waombe wayaondoe kwenye kamusi. na niliposema naijua familia yake si mzushi wewe umetaja kuwa unamjua mama yake kwenye NGO ya KIGOMA .MIE namjua kabla ya huko wakati akiwa Dar.ili ujue nasema ninachokijua. Tunakubali Zitto ni role model wetu. mazingira aliyopitia na alipofika ni jambo la kutia moyo. lakini ni vyema historia hii isiwe siri tuna vijana wengi wapo Dogo dogo Centre au kule Njombe wanaoishi kwenye mazingira magumu.wakijua kuwa kuna mwenzetu alipitia njia hizi na sasa ni Mbunge itawapa hamasa ya kujibidisha kwenye masomo.
KICHUGUU.
nadhani wewe au Mkumbo amesema tusiwataje vibaya watu kama ZITTO humu kwenye JF kwa vile ni members. jee kuwa Members wa JF ndio ngao ya kuficha maovu yako? kama hiyo ndio kanuni basi Sumaye na Mkapa nao waje kuchangia ili wapate kinga ya kuwa members wa JF na wanapokosea tusiwajadili kisa ni members wenzetu.
Siasa imetumika kumuharibu Zitto. jamani Zito ni nani? walikuwepo watu kama Mrema na Seif Sharrif mbona hawajapata kashfa hizi? unapotoa dawa kwa mgonjwa unatizama side effect yake. kweli mkasa huu uzushwe ili kumharibia Zitto na wana CCM? .ilihali Mpakanjia akubali kuivunja ndoa yake kwa mikasa ya kisiasa tu?. na pia Amina kuharibu jina lake na la familia yake eti ni mpango wa kumvuruga Zitto kama nani? jamani Mkumbo na Kichuguu story hiyo mimi siwezi kuinunua.haingii akilini samahani wazee.
Kichuguu ukiona Mpakanjia anasema na baba yake Amina ndio mafunzo ya dini yake yananyomuelekeza. unapooa unaambiwa mkiachana basi mnaachana kwa kheri. ndio kama anavyofanya Medi.
ZITTO KABWE.
nDUGU yangu nakupenda. tabia ni kitu unachoweza kukibadili si ulemavu.tabia kwa uongozi ni jambo muhimu sana.najua unaweza kubadilika.
pia sikupenda unavyojifahalisha kuwa unamlipa msaidizi wako laki 5 sio vyema mishahara kwetu ni siri na unampa wakati mgumu huyo msaidizi wako. kwa maisha ya kigoma kijijini ni pesa nyingi, hivyo utafanya watu wampelekee shida nyingi sana.naomba usirudie tena.
Pia kitendo chako cha kumvalisha mke wa mtu koti si kitendo cha busara. wewe ni role model pale dogo dogo centre.
Wanabodi.
Siko hapa tumkashifu mtu ila tabia ya mtu kama kiongozi wetu lazima tuijue alizaliwa wapi? katoka familia ipi? tabia zake?jee kwenye familia yake kuna asili ya uongozi? na mengi sana. kutokujua backgorund ndio tunapata viongozi wabofu kama kina Ncimbi ambao mnasema wameharibu ndoa ya Chifupa.