TASK FORCE
JF-Expert Member
- Apr 7, 2017
- 2,447
- 3,460
Mkuu ulipigwa chuma nini na wachawi wenzio😀
Wasalaam !
Kwa wiki mbili mfululizo ushiriki wangu ulikuwa hafifu hapa mahali petu. Kiukweli ni kwamba nilipatwa na nikaumwa hasa. Sikujaribu tiba yoyote ya hospital wala kienyeji bali natural body healing...na Leo hii nina furaha kusema nimerejea rasmi na naendelea vema tuzidi kuombeana
kuwa muangalifu broKiukweli kuna kazi niliijaribu kuifanya in deep ....nimechemka nilichoambulia ni hili homa
Mkuu tulipata wasiwasi,tukadhani ndio vile kama wale.Wasalaam !
Kwa wiki mbili mfululizo ushiriki wangu ulikuwa hafifu hapa mahali petu. Kiukweli ni kwamba nilipatwa na nikaumwa hasa. Sikujaribu tiba yoyote ya hospital wala kienyeji bali natural body healing...na Leo hii nina furaha kusema nimerejea rasmi na naendelea vema tuzidi kuombeana
duh! kwa hili la mshana jr kuna kaukweliPole sana mkuu, wahenga waongo kweli, kumbe mganga anajiganga![]()
![]()
Kupatwa kwa Mshana Jr..Ulipatwa???;; hii kauli tata sana hii mkuu.
Hebu fafanua kidogo.
Tusije tukaamini kuwa ulivamia kingunge mwenzio kwenye ile taaluma yako kaka
Aliyacheka machawi kwamba eti yana wakati mgumu sasa hivi shauri ya mvua nyingi eti huwa hayawezi kwenye MAJI, sasa naona yakamtingisha!Ulipatwa???;; hii kauli tata sana hii mkuu.
Hebu fafanua kidogo.
Tusije tukaamini kuwa ulivamia kingunge mwenzio kwenye ile taaluma yako kaka