Wandugu nimepatwa

Wandugu nimepatwa

Wasalaam !
Kwa wiki mbili mfululizo ushiriki wangu ulikuwa hafifu hapa mahali petu. Kiukweli ni kwamba nilipatwa na nikaumwa hasa. Sikujaribu tiba yoyote ya hospital wala kienyeji bali natural body healing...na Leo hii nina furaha kusema nimerejea rasmi na naendelea vema tuzidi kuombeana
Umepatwa na nini? Usije ukachuuza mtu hapa apatwe na malaria ajifukize mvuke tutampoteza
 
Umepatwa na nini? Usije ukachuuza mtu hapa apatwe na malaria ajifukize mvuke tutampoteza
Huyo atapaswa kupimwa akili lakini kabla hajapotea kwasababu Mafia hayatibiwi na quinine
 
Wasalaam !
Kwa wiki mbili mfululizo ushiriki wangu ulikuwa hafifu hapa mahali petu. Kiukweli ni kwamba nilipatwa na nikaumwa hasa. Sikujaribu tiba yoyote ya hospital wala kienyeji bali natural body healing...na Leo hii nina furaha kusema nimerejea rasmi na naendelea vema tuzidi kuombeana
We kijana hukuenda mlimani kutambika?? Acha kudanganya watoto bhana..

 
Asante mshana jr moja wapo ya mambo yanayokupa wafuasi wengi ni kujitahidi kujibu kila swali LA mtu

Ila hapo bado sijaelewa huo ugonjwa gani
Hauna tofauti na upungufu wa kinga mwilini, ukishakosa kinga ugonjwa wowote waeza kukupata
 
Wasalaam !
Kwa wiki mbili mfululizo ushiriki wangu ulikuwa hafifu hapa mahali petu. Kiukweli ni kwamba nilipatwa na nikaumwa hasa. Sikujaribu tiba yoyote ya hospital wala kienyeji bali natural body healing...na Leo hii nina furaha kusema nimerejea rasmi na naendelea vema tuzidi kuombeana
Karibu tena, pole sana...
 
Hauna tofauti na upungufu wa kinga mwilini, ukishakosa kinga ugonjwa wowote waeza kukupata
Barikiwa mkuu nimekuelewa

Jana nami kuna MTU amepata kama hilo halafu mke Wa mtu nilienda kumsalimia baadae akapoteza nguvu kabisa nikajua anapotea Ila baadae akalicover
 
Wasalaam !
Kwa wiki mbili mfululizo ushiriki wangu ulikuwa hafifu hapa mahali petu. Kiukweli ni kwamba nilipatwa na nikaumwa hasa. Sikujaribu tiba yoyote ya hospital wala kienyeji bali natural body healing...na Leo hii nina furaha kusema nimerejea rasmi na naendelea vema tuzidi kuombeana
Pole Mkuu Mshana
 
Barikiwa mkuu nimekuelewa

Jana nami kuna MTU amepata kama hilo halafu mke Wa mtu nilienda kumsalimia baadae akapoteza nguvu kabisa nikajua anapotea Ila baadae akalicover
Mungu wangu usirudie tena tafadhali tafakari usemi huu kiroho... CHA MTU MAVI
 
Mungu wangu usirudie tena tafadhali tafakari usemi huu kiroho... CHA MTU MAVI
Ndio nimejifunza japo demu mwenyewe Leo kaamka na maneno makali sana eti ingekuwa tuko lodge ingekuwaje nikamwambia limepita darasa na nimelielewa kabisaaaa
 
Back
Top Bottom