Umepatwa na nini? Usije ukachuuza mtu hapa apatwe na malaria ajifukize mvuke tutampotezaWasalaam !
Kwa wiki mbili mfululizo ushiriki wangu ulikuwa hafifu hapa mahali petu. Kiukweli ni kwamba nilipatwa na nikaumwa hasa. Sikujaribu tiba yoyote ya hospital wala kienyeji bali natural body healing...na Leo hii nina furaha kusema nimerejea rasmi na naendelea vema tuzidi kuombeana
Watu wanaingia majumbani kwao saa 12 jioni. Hiyo hali sijui itaisha liniIshu ya kibiti inaumiza sana wee acha tu
We kijana hukuenda mlimani kutambika?? Acha kudanganya watoto bhana..Wasalaam !
Kwa wiki mbili mfululizo ushiriki wangu ulikuwa hafifu hapa mahali petu. Kiukweli ni kwamba nilipatwa na nikaumwa hasa. Sikujaribu tiba yoyote ya hospital wala kienyeji bali natural body healing...na Leo hii nina furaha kusema nimerejea rasmi na naendelea vema tuzidi kuombeana
Asante mshana jr moja wapo ya mambo yanayokupa wafuasi wengi ni kujitahidi kujibu kila swali LA mtuMkusanyiko wa nguvu anuwai zisizoonekana
Hauna tofauti na upungufu wa kinga mwilini, ukishakosa kinga ugonjwa wowote waeza kukupataAsante mshana jr moja wapo ya mambo yanayokupa wafuasi wengi ni kujitahidi kujibu kila swali LA mtu
Ila hapo bado sijaelewa huo ugonjwa gani
Karibu tena, pole sana...Wasalaam !
Kwa wiki mbili mfululizo ushiriki wangu ulikuwa hafifu hapa mahali petu. Kiukweli ni kwamba nilipatwa na nikaumwa hasa. Sikujaribu tiba yoyote ya hospital wala kienyeji bali natural body healing...na Leo hii nina furaha kusema nimerejea rasmi na naendelea vema tuzidi kuombeana
Barikiwa mkuu nimekuelewaHauna tofauti na upungufu wa kinga mwilini, ukishakosa kinga ugonjwa wowote waeza kukupata
Pole Mkuu MshanaWasalaam !
Kwa wiki mbili mfululizo ushiriki wangu ulikuwa hafifu hapa mahali petu. Kiukweli ni kwamba nilipatwa na nikaumwa hasa. Sikujaribu tiba yoyote ya hospital wala kienyeji bali natural body healing...na Leo hii nina furaha kusema nimerejea rasmi na naendelea vema tuzidi kuombeana
Mungu wangu usirudie tena tafadhali tafakari usemi huu kiroho... CHA MTU MAVIBarikiwa mkuu nimekuelewa
Jana nami kuna MTU amepata kama hilo halafu mke Wa mtu nilienda kumsalimia baadae akapoteza nguvu kabisa nikajua anapotea Ila baadae akalicover
Ndio nimejifunza japo demu mwenyewe Leo kaamka na maneno makali sana eti ingekuwa tuko lodge ingekuwaje nikamwambia limepita darasa na nimelielewa kabisaaaaMungu wangu usirudie tena tafadhali tafakari usemi huu kiroho... CHA MTU MAVI