Joseverest
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 53,159
- 72,199
Pole sana bro
ndioMshana ni bro wako?
ndio
Mvua haikingwi kwa mikono kuna nyenzo zake maalum usipozitumia utolowana mpaka naniliu...hapo tutasema mvua imekupata
Aisee na wewe una kautaalamu kama ka kaka yako?ndio
Hahahaha eti Gagula, hili jina lilitokana na kile kitabu cha bwana MakhumazahnPole avaee. Ila mshana jr, umetuaibisha. wazee. Hata siku moja usiwaambie watoto yaliyo kupata usiku. Wataogopa mno. Humu jf waliisha kukuchagua kulwa gaagula wao sasa umewaambia kuwa na weye kuna top! Dah! Au ni MziziMkavu?? Tuambie tujue huyo alokuzidi. Natangulia kulee Jipe ziwani unikute huko. Lazima nguvu iongezwe kwako wasikuonee.
Ohoo!Bado wawili
sawa bro RaimundoVizuri, ila mimi usije niita hivyo. Endelea kuwaita hao hao bro.
This time umepona kwa hizo nechuro bodi hiling, kwa kuwa umebainisha kuwa maombi ni muhimu sana neksti taimu ukipigwa na malaria kimbilia kwa mwingira.Wasalaam !
Kwa wiki mbili mfululizo ushiriki wangu ulikuwa hafifu hapa mahali petu. Kiukweli ni kwamba nilipatwa na nikaumwa hasa. Sikujaribu tiba yoyote ya hospital wala kienyeji bali natural body healing...na Leo hii nina furaha kusema nimerejea rasmi na naendelea vema tuzidi kuombeana