Super women 2
JF-Expert Member
- Nov 16, 2016
- 5,164
- 6,549
pole bro.
Yeyey anajiita "advanced & most distinguished ghost worker"Weee jamaa wewe, mbona umerisk sana Maisha yako?
Hahahaha alisahau kuwa wenzake walikuwa na system za s,300&s,400 kama za Russia kwenye kung'amua makombora.Hahaha, alijisahau akaruka kwenye anga la mwenzake bila taarifa
Hii ni kwa magonjwa yote au ni kwa waliopatwa tu?Mvuke wa maji moto kujivukiza na kujifunika nguo nyingi ili utoke jasho sana halafu maji moto kwa wingi na kula matunda tu
Ukila chakula kiwe ni cha kuchemsha tu na kisiwe chochote chenye damu huku ukiweka simu mbali nawe
Hahahaha, dah nimecheka sana.wasije wakapita nae mazima...maana kwa sheria ya kupiga risasi ukisikia mlio
ujue wewe mzima (haijakupata) ila ukiona kinyume chake...basi ndo hivyo tena
Kiukweli kuna kazi niliijaribu kuifanya in deep ....nimechemka nilichoambulia ni hili homa
?pole bro.