As Salafiyyu91
JF-Expert Member
- Jan 11, 2014
- 2,537
- 2,544
Hongera kwa kurudi!!
Huo ugonjwa haukusababishwa na zoezi la uhakiki wa vyeti?Wasalaam !
Kwa wiki mbili mfululizo ushiriki wangu ulikuwa hafifu hapa mahali petu. Kiukweli ni kwamba nilipatwa na nikaumwa hasa. Sikujaribu tiba yoyote ya hospital wala kienyeji bali natural body healing...na Leo hii nina furaha kusema nimerejea rasmi na naendelea vema tuzidi kuombeana
mkuu ulikutana na waajuzi zaidiKiukweli kuna kazi niliijaribu kuifanya in deep ....nimechemka nilichoambulia ni hili homa
Pole sana mkuu, wahenga waongo kweli, kumbe mganga anajiganga![]()
![]()

Duh!Mvuke wa maji moto kujivukiza na kujifunika nguo nyingi ili utoke jasho sana halafu maji moto kwa wingi na kula matunda tu
Ukila chakula kiwe ni cha kuchemsha tu na kisiwe chochote chenye damu huku ukiweka simu mbali nawe

Mvuke wa maji moto kujivukiza na kujifunika nguo nyingi ili utoke jasho sana halafu maji moto kwa wingi na kula matunda tu
Ukila chakula kiwe ni cha kuchemsha tu na kisiwe chochote chenye damu huku ukiweka simu mbali nawe
pole mkuuWasalaam !
Kwa wiki mbili mfululizo ushiriki wangu ulikuwa hafifu hapa mahali petu. Kiukweli ni kwamba nilipatwa na nikaumwa hasa. Sikujaribu tiba yoyote ya hospital wala kienyeji bali natural body healing...na Leo hii nina furaha kusema nimerejea rasmi na naendelea vema tuzidi kuombeana
hahaha. pole. kula mchunga utaponaSawa
Mmmmmmm mbn unanitisha ni baada ya kupotea ndio umepigwa juju!?Nimepewa kitanda usiku wa Jana zile tambo ziliwakera nikatumiwa phantom kubwa zaidi
Nimezindukia hospital