"Wanawake weupe wanajisikia sana".....ni kweli?

"Wanawake weupe wanajisikia sana".....ni kweli?

Loh!maneno yote mshayamaliz wakuu bt ukwl vyeup ndo dil na weup ukzd sana yani albino ndo dili kabsaaaaa ktk utajr!
 
mmhh....nawajua ambao si weupe na wanajisikia kwelikweli!
 
Mimi ni mweupe na sijisikii wala kujiona nipo juu..Ni hulka ya mtu!
<br />
<br />

Kujisikia kunajidhihirisha kwa style tofauti. Hata unapojitokeza na ku post kwamba ' wewe ni mweupe' ni kama kujisikia pia.
Ni mtazamo wangu tu, dont take it personal.
 
Acheni hizo, hakuna kitu kama intelligence kuhusiana na rangi.
<br />
<br />


kuna kaukweli bana tena ukizingatia kuna usemi ulijitokeza wa kusema 'beauty with brains' ulikuwa wa kuwapa confidence wale ambao wamebarikiwa beauty lakini intelligence ni ndogo. Hii stereotype haukuanza hapa tu.
 
Ivi wazungu wangekua weusi afu waafrica wangekua wazungu/weupe,,je waafrica hasa wanawake wangetafuta mkorogo mweusi?
 
sijui kama umemuo akiwa mweusi alafu akapaka mkorogo inakuwaje hapo?
Huyo atakuwa amenikera sana. Sitoweza kumwacha kwa sababu mwili ni wake na anahaki ya kuurembe na kuurembua anavyotaka, lakini kwangu atakuwa amepoteza asilimia fulani ya mapenzi nilokuwa nayo. Kama nilimpenda na kumwoa kwa jinsi alivyo, tena akijibadilisha atakuwa amebadilisha mapenzi yangu pia.
Msisiitizo tu, "Black is Beuty".
 
Mi mweusi na nnaringa....ina maana kukiwa na wengine 6 kati ya 10 wanaoringa pamoja na mimi tayari tutakua tumeanzisha mashindano kati ya waringaji weupe na weusi?!

Nwy dada yangu ni mweupe ila sijawahi kumuona/hisi akiringa kwahiyo binafsi nabaki kuamini kwamba kuringa kwa mtu kunatokana na tabia yake...pamoja na kile anachojazwa na jamii.Ndio maana kuna watu wasiojua kuosha vyombo na wanajisikia kwa hilo sababu mazingira yao yamewaaminisha kwamba kufanya kazi za ndani sio sifa (japo sio sifa) bali kunaonyesha kwamba mtu sio matawi.Ndio maana kuna sehemu ukienda unaweza kukuta mtoto wa kike anajifelisha sababu maeneo hayo inaaminika sio kazi ya msichana kumchallenge mvulana na kua juu yake na kuna nyingine utakuta msichana anaringia akili zake sababu mazingira yake yanamjulisha kwamba kua na akili (smart) ni kitu kizuri na cha kujivunia.

Vile vile rangi ya ngozi ya mtu inaweza
kumfanya aringe au ajione duni kutokana na mazingira aliyopo.....Mazingira na tabia binafsi ndio vishawishi vikuu hapa.Kama mtu hana roho ya kujiona yeye ni bora zaidi na akalelewa kwenye mazingira yasiyomfunza/mzoesha kwamba ngozi yake ni bora zaidi ya wengine hata awe mweupe kama snow hatoringa kwaajili hiyo!

Kwahiyo kama mnataka watu wasiwe na tabia za aina hiyo (kama sio internal) inabidi sisi wenyewe tuache ubaguzi wa wenyewe kwa wenyewe kwenye jamii yetu.Kuanzia ngazi ya kifamilia na kuendelea...maana sio ajabu ukakuta hata ndugu wanabaguliwa mpaka kufikia kubaguana kwasababu tu mmoja ana ngozi ambayo ni lighter zaidi ya mwenzake!Nadhani tukiweza hili hata wale wanaojilazimishia cancer kwa kujichubua watapungua!
 
Mi mweusi na nnaringa....ina maana kukiwa na wengine 6 kati ya 10 wanaoringa pamoja na mimi tayari tutakua tumeanzisha mashindano kati ya waringaji weupe na weusi?!<br />
<br />
Nwy dada yangu ni mweupe ila sijawahi kumuona/hisi akiringa kwahiyo binafsi nabaki kuamini kwamba kuringa kwa mtu kunatokana na tabia yake...pamoja na kile anachojazwa na jamii.Ndio maana kuna watu wasiojua kuosha vyombo na wanajisikia kwa hilo sababu mazingira yao yamewaaminisha kwamba kufanya kazi za ndani sio sifa (japo sio sifa) bali kunaonyesha kwamba mtu sio matawi.Ndio maana kuna sehemu ukienda unaweza kukuta mtoto wa kike anajifelisha sababu maeneo hayo inaaminika sio kazi ya msichana kumchallenge mvulana na kua juu yake na kuna nyingine utakuta msichana anaringia akili zake sababu mazingira yake yanamjulisha kwamba kua na akili (smart) ni kitu kizuri na cha kujivunia.<br />
<br />
Vile vile rangi ya ngozi ya mtu inaweza <br />
kumfanya aringe au ajione duni kutokana na mazingira aliyopo.....Mazingira na tabia binafsi ndio vishawishi vikuu hapa.Kama mtu hana roho ya kujiona yeye ni bora zaidi na akalelewa kwenye mazingira yasiyomfunza/mzoesha kwamba ngozi yake ni bora zaidi ya wengine hata awe mweupe kama snow hatoringa kwaajili hiyo!<br />
<br />
Kwahiyo kama mnataka watu wasiwe na tabia za aina hiyo (kama sio internal) inabidi sisi wenyewe tuache ubaguzi wa wenyewe kwa wenyewe kwenye jamii yetu.Kuanzia ngazi ya kifamilia na kuendelea...maana sio ajabu ukakuta hata ndugu wanabaguliwa mpaka kufikia kubaguana kwasababu tu mmoja ana ngozi ambayo ni lighter zaidi ya mwenzake!Nadhani tukiweza hili hata wale wanaojilazimishia cancer kwa kujichubua watapungua!
<br />
<br />
naunga mkono hoja
 
Mi mweusi na nnaringa....ina maana kukiwa na wengine 6 kati ya 10 wanaoringa pamoja na mimi tayari tutakua tumeanzisha mashindano kati ya waringaji weupe na weusi?!

Nwy dada yangu ni mweupe ila sijawahi kumuona/hisi akiringa kwahiyo binafsi nabaki kuamini kwamba kuringa kwa mtu kunatokana na tabia yake...pamoja na kile anachojazwa na jamii.Ndio maana kuna watu wasiojua kuosha vyombo na wanajisikia kwa hilo sababu mazingira yao yamewaaminisha kwamba kufanya kazi za ndani sio sifa (japo sio sifa) bali kunaonyesha kwamba mtu sio matawi.Ndio maana kuna sehemu ukienda unaweza kukuta mtoto wa kike anajifelisha sababu maeneo hayo inaaminika sio kazi ya msichana kumchallenge mvulana na kua juu yake na kuna nyingine utakuta msichana anaringia akili zake sababu mazingira yake yanamjulisha kwamba kua na akili (smart) ni kitu kizuri na cha kujivunia.

Vile vile rangi ya ngozi ya mtu inaweza
kumfanya aringe au ajione duni kutokana na mazingira aliyopo.....Mazingira na tabia binafsi ndio vishawishi vikuu hapa.Kama mtu hana roho ya kujiona yeye ni bora zaidi na akalelewa kwenye mazingira yasiyomfunza/mzoesha kwamba ngozi yake ni bora zaidi ya wengine hata awe mweupe kama snow hatoringa kwaajili hiyo!

Kwahiyo kama mnataka watu wasiwe na tabia za aina hiyo (kama sio internal) inabidi sisi wenyewe tuache ubaguzi wa wenyewe kwa wenyewe kwenye jamii yetu.Kuanzia ngazi ya kifamilia na kuendelea...maana sio ajabu ukakuta hata ndugu wanabaguliwa mpaka kufikia kubaguana kwasababu tu mmoja ana ngozi ambayo ni lighter zaidi ya mwenzake!Nadhani tukiweza hili hata wale wanaojilazimishia cancer kwa kujichubua watapungua!

Tumeshuhudia wanawake wengi wakiutafutaa weupe kwa nguvu, lakini hatujashuhudia kinyume chake....why??
 
Back
Top Bottom