- Thread starter
- #21
tena kweli,hata mama _igwe nae hana kabisa
1000 kwa mmoja labda...lol.
tena kweli,hata mama _igwe nae hana kabisa
Basi mwisho wake itakuwa leo...
Kweli kabisa sababu kubwa ni kwamba wanatongozwa sana ndo maana wanajisikia
ha ha ha.... naomba nijue mwisho wa nini??
Kweli kabisa sababu kubwa ni kwamba wanatongozwa sana ndo maana wanajisikia
Ngozi yangu ni inyeusi - naweza qualify kama almost brown.
Rocky nimnekumiss pia... nini kimenipita rafiki??
1000 kwa mmoja labda...lol.
Yule dada kwenye tangazo la magodoro ya vita raha angekua mweusi,,asingekua na mvuto ule wa kutangaza lile tangazo.
Hana uzuri wowote, ila rangi ndo inampa shavu.
kwa mmoja kivip_wakati mama igwe na mama enock hawako ivo,....ni wengi tu bana,...sema labda mshkaji wako anawatokea wasiompenda.
Inawezekana majority wako hivo maana nyie wanaume hushobooooooka!
Yule nanii wa Club Cont mbona mweusi halafu anatongozwa mpaka na mabaunsa?
sijui kama umemuo akiwa mweusi alafu akapaka mkorogo inakuwaje hapo?
Sizungumzii wale wa usiku..
Mama igwe ni wa kwanza katika 1000 ya kwanza na huyo mama enoki ni wa 2 ktk 1000 ya 2, atakayefuata atakuwa 3/1000 ya tatu....n.k.
Mkeshaji,
Wa usiku siyo wanawake? Au wale ni vinyonga - mchana Blaki Usiku Waiti?
Mimi ni mweupe na sijisikii wala kujiona nipo juu..Ni hulka ya mtu!