"Wanawake weupe wanajisikia sana".....ni kweli?

"Wanawake weupe wanajisikia sana".....ni kweli?

Kitu gani kinawa-drive kuutafuta weupe?

Kitu kinachowafanya wautafute weupe ni ile perception ya kwamba weupe = uzuri/ mvuto. Hakuna kingine zaidi ya hapo.

Halafu hii ya kujimenya sio sisi tu. Hata huko Afrika Magharibi usipime. Visiwa vya Caribbean nako ni hivyo hivyo tu. Mgoogle mwanamuziki mmoja wa Jamaica aitwaye Vybz Kartel. Jamaa kajimenya hadi kageuka kuwa zimwi!

Waafrika na watu wenye asili ya Afrika tuna matatizo sana ikija kwenye rangi ya ngozi.
 
Mentality ya kutawaliwa kuwa cha mtu mweupe ndo kizuri ndio inayowafanya watu wapake mikorogo but still haielezi wala kutoa ushahidi kuwa watu weupe wanajivuna na kujisikia

Nadhani ni mentality ya society yetu (hata ukienda vijijini utakuta hivyo), kuwa ukiwa mweupe tayari ni mzuri...na wao huchukulia hiyo kama credit ambayo kiukweli wanai-abuse.
 
kuna vitu havihitaji mathematics of statistics
kama mimi nimekutana na several light skinned na nikawa
nina my own perception
halafu nikakutana na watu wengine watano ambao
nao through uzoefu wao tukawa na the same perception.....
basi hapo ni logic tu inatosha,huna haja ya statistics wala research

usisahau kuwa a society hata kama sio y wasomi huwa iko right
most of time kuliko one professor.........

Nikukumbushe tu kuwa wewe ndo ulo introduce statistics.

Na haimaanishi kuwa kila jamii ya watu 6 inachofikiria ni kweli. Jamii za watu milioni zilikuwa zikidhani kuwa dunia ni flat na haikubadili fact ya kuwa wamekosea
 
Kitu gani kinawa-drive kuutafuta weupe?
Africa historically tumejikuta tunawahusudu watu weupe kwahiyo perception ya watu hususan zamani ilikuwa kwamba ukiwa mweupe ndio uzuri na ndio unapendwa (kipindi fulani unakuta mtu uso mweupe lakini mikono unashangaa)...

Wenzetu huko Europe akiwa dark skin ndio inaonekana deal kwamba alikuwa kwenye jua kwa muda mrefu, hadi unakuta kuna a lot of Tanning machine ili tu ngozi yao iwe dark kidogo...

Its all in the mind na hakuna ngozi ambayo ni mbaya ni watu tu inabidi wajifunze kujipenda kama walivyo na sio kujibadilisha..., sababu vyote ni vizuri.....
 
Its all in the mind na hakuna ngozi ambayo ni mbaya ni watu tu inabidi wajifunze kujipenda kama walivyo na sio kujibadilisha..., sababu vyote ni vizuri.....

Hivi Obama angekuwa mweusi kama Justice Clarence Thomas angeshinda hata Iowa primary? I think not!
 
Nikukumbushe tu kuwa wewe ndo ulo introduce statistics.

Na haimaanishi kuwa kila jamii ya watu 6 inachofikiria ni kweli. Jamii za watu milioni zilikuwa zikidhani kuwa dunia ni flat na haikubadili fact ya kuwa wamekosea

but msimamo wa jamii hizo
kwa kuwa ulikuwa ni popular pengine hata watoto walikuwa wanachora ramani
za kuonyesha dunia iko flat na wanapewa marks nzuri....

ninachosema hapa,point sio right or wrong
point ni mtazamo wa watu unaotokana na experiences
usisahau hatujasema wote,tnasema wengi wao
 
Hivi Obama angekuwa mweusi kama Justice Clarence Thomas angeshinda hata Iowa primary? I think not!

kabisaaaaa
simjui justice clarence
but obama angekuwa kama djimou hansou...yule mume wa kimora..
au seal yule mnigeria...
i dont think so
 
kabisaaaaa
simjui justice clarence
but obama angekuwa kama djimou hansou...yule mume wa kimora..
au seal yule mnigeria...
i dont think so

Boss bana...nimecheka sana. Of all people umemchagua Jaimon Hansuu...teh teh teh.

Lakini ndo hivyo...perceptions za jamii zina influence sana tabia za wanajamii.
 
Hivi Obama angekuwa mweusi kama Justice Clarence Thomas angeshinda hata Iowa primary? I think not!

Hivi alafu mkuu kuna issue inanitatiza hapa kwanini Half Caste wa mtu mweupe na mweusi anaitwa mweusi....?
Nadhani Obama kuwa kwake Half Caste kulimsaidia sana, na angekuwa pure mweusi huenda sasa hivi Hillary angekuwa ndio President..

The first American Black President...!!!???, au ni The First American Half Caste President...!!???

Alafu kumbuka watu weusi wamekuwa regarded inferior sababu ya Historia ilivyotujudge..., kwahiyo tukiendelea kupata ma-role models na watu wanaofanya issue za maada huenda perceptions za watu zitakuwa kwamba Black is Real Cool..., na Misemo ya Once you Go Black itaanza kumake sense.

Lakini Honestly hii ni karne ya 21 na ndoto za Martin Luther King kwamba people will be judged according to their character and not the color of their skins umeanza ku-take shape
 
sio wote wanaojiona kwani weupe kitu gani,mie naona sawa mweupe mweusi sawa2 sema kuna wale wanaume wenye kasumba ya wanawake weupe<br />
tena anasema mie mwanamke mweusi simtaki kabisi yeye ukimuona mweusi kama lamii,sasa anapota mwanamke mweupe ndio aaaaaaaaaaaaah...<br />
mtatafuta pakuweka roho zenu kuna watu wakutoka sehemu flani ndio wanakasumba ya wanawake weupe.
wapi huko? Mbona kama unanisema mimi....lol
 
Hivi alafu mkuu kuna issue inanitatiza hapa kwanini Half Caste wa mtu mweupe na mweusi anaitwa mweusi....?
Nadhani Obama kuwa kwake Half Caste kulimsaidia sana, na angekuwa pure mweusi huenda sasa hivi Hillary angekuwa ndio President

Hiyo ni kwa sababu ya dhana ya "one-drop rule". Enzi za Jim Crow mtu ukiwa na tone moja tu la damu nyeusi basi "jamii" ya wazungu ilikuona wewe ni mweusi wakati kiukweli wewe siyo mweusi.

Kwa hiyo ukweli wa mambo Obama siyo mweusi. Obama ni shombe. Ni shombe wa Kiafrika na Kizungu. Consideration ya yeye kuwa mweusi haiondoi na haitaondoa ukweli kuwa yeye ni nusu kwa nusu.

Lakini ndo hivyo tena. Kama ujuavyo perception wakati mwingine ndo huwaga reality.
 
Boss bana...nimecheka sana. Of all people umemchagua Jaimon Hansuu...teh teh teh.

Lakini ndo hivyo...perceptions za jamii zina influence sana tabia za wanajamii.

honestly mimi naamini kimora amekolea kwa
sex pale,naona jamaa anawapatia pande hizo lol
i could be wrong though
simchukii kabisa,but he does define a mandingo.....to the world lol
 
duh.. ... but hizo weupe unazosema ziko tofauti tofauti. kuna nyingine hazina mashiko kabisaaaaaaaaaaaaaaaaaa.
 
Sina saabbu ya kusingizia mkuu...!
Vyovyote iwavyo, hii dhana imeenea sana kwenye jamii tunayoishi...nadhani hata wewe waweza kuwa shuhuda.
Kule kwetu Mwanza, Shinyanga, Magu na Bariadi, ukizaa mabinti weupe wengi ni utajiri tosha. Kila mmoja bei yake si chini ya ng'ombe 40!
 
Kule kwetu Mwanza, Shinyanga, Magu na Bariadi, ukizaa mabinti weupe wengi ni utajiri tosha. Kila mmoja bei yake si chini ya ng'ombe 40!

Tayari mi tajiri! Itabidi sasa niongeze kengine ka pili.
 
Back
Top Bottom