Wakuu habari ya mwanzo wa mwisho wa juma,
Kuna wakati jamaa yangu mmoja aliwahi kutamka kuwa kamwe hatajihusisha na mwanamke mweupe.
Kwa mtazamo wake yeye ni kuwa eti mwanamke akishakuwa mweupe tu, basi huona hicho ni kigezo kimojawapo cha urembo hata kama hali haiko hivyo. Kwa sababu hiyo husababisha yeye kujisikia sana.
Jamaa yangu aliendelea kudai kuwa ndiyo maana hata baadhi ya wale ambao hawajajaaliwa weupe, hujitahidi kuutafuta kwa gharama yoyote ile kutegemea na kipato cha muhusika.
Kinyume chake akadai jamaa yangu kuwa anawapenda sana wanawake weusi kwani wengi wao wana nidhamu ya hali ya juu, hawajisikii na hawana complications kiujumla.
Je dhana hii ina ukweli wowote?
Michango chanya inakaribishwa.
Kuna wakati jamaa yangu mmoja aliwahi kutamka kuwa kamwe hatajihusisha na mwanamke mweupe.
Kwa mtazamo wake yeye ni kuwa eti mwanamke akishakuwa mweupe tu, basi huona hicho ni kigezo kimojawapo cha urembo hata kama hali haiko hivyo. Kwa sababu hiyo husababisha yeye kujisikia sana.
Jamaa yangu aliendelea kudai kuwa ndiyo maana hata baadhi ya wale ambao hawajajaaliwa weupe, hujitahidi kuutafuta kwa gharama yoyote ile kutegemea na kipato cha muhusika.
Kinyume chake akadai jamaa yangu kuwa anawapenda sana wanawake weusi kwani wengi wao wana nidhamu ya hali ya juu, hawajisikii na hawana complications kiujumla.
Je dhana hii ina ukweli wowote?
Michango chanya inakaribishwa.