- Thread starter
- #141
Hawezi akatoka blaki.
Kila la kheri mkuu, ila usije lia!
Hawezi akatoka blaki.
asilimia kubwa ya wanawake weupe roho zao nyeusi.
<br />asilimia kubwa ya wanawake weupe roho zao nyeusi.
Usitutukanie Wake zetu bana! Mama_Enock hana majivuno!
tukiacha rangi, kwa 'utamu' yupi mtamu zaidi. Kwa wastani
kweli nimekukubali mkuu hata ukiaproach hizi ngozi mbili,,hii nyeupe huwa sumbufu sana.....hata huko kwa wagosha wanalipiwa ng'ombe nyingi sanaKweli kabisa sababu kubwa ni kwamba wanatongozwa sana ndo maana wanajisikia
wenye rangi ya chocolate ndio watamu zaidi
wakifuatiwa na weusi
weupe wa mwisho kwa utamu lol
<br /><br /><br />
<br /><br />
na wewe acha uongo.
we! Shangazi yangu mweupe na roho yake nyeupe, pe!dah,
yani mkuu unapigilia kabisa.
[ATTACH=CONFIG said:0[/ATTACH]![]()
mkeshaji;2350962]wakuu habari ya mwanzo wa mwisho wa juma,
kuna wakati jamaa yangu mmoja aliwahi kutamka kuwa kamwe hatajihusisha na mwanamke mweupe.
Kwa mtazamo wake yeye ni kuwa eti mwanamke akishakuwa mweupe tu, basi huona hicho ni kigezo kimojawapo cha urembo hata kama hali haiko hivyo. Kwa sababu hiyo husababisha yeye kujisikia sana.
Jamaa yangu aliendelea kudai kuwa ndiyo maana hata baadhi ya wale ambao hawajajaaliwa weupe, hujitahidi kuutafuta kwa gharama yoyote ile kutegemea na kipato cha muhusika.
Kinyume chake akadai jamaa yangu kuwa anawapenda sana wanawake weusi kwani wengi wao wana nidhamu ya hali ya juu, hawajisikii na hawana complications kiujumla.
Je dhana hii ina ukweli wowote?
Michango chanya inakaribishwa.
Sina saabbu ya kusingizia mkuu...!<br />
Vyovyote iwavyo, hii dhana imeenea sana kwenye jamii tunayoishi...nadhani hata wewe waweza kuwa shuhuda.