wapi huko????
Miaka hiyo wakati najaribu kuukaribia ujana uzuri na weupe wa dada fulani ulimponza akaaangukia mikononi mwa kiumbe wa ajabu sana
wapi huko????
<br />
<br />
Nakuacha ufikirie upendavyo...
Miaka hiyo wakati najaribu kuukaribia ujana uzuri na weupe wa dada fulani ulimponza akaaangukia mikononi mwa kiumbe wa ajabu sana
Mkeshaji, inaelekea haya ni mawazo yako na ndiyo mtazamo wako. Kwa nini usingizie kwa ni jamaa yako?? Mwezi wa toba huu, jaribu kuwa mkweli!!
mkuu wazee wetu walikuwa na busara za ajabu
yaani hii misemo haipotezi maana kabisa
so huyo dada aliponzwa na uzuri wake naona
Acheni hizo, hakuna kitu kama intelligence kuhusiana na rangi.
Kinomma na alikuwa anaringa mbaya kwa vijana na anawaona hawana mpango
Siku ya siku kaangukia kwa mtu mmoja ambae badala ya kumfanya kitoweo alimrarua rarua na kundi lake na ukawa mwisho wa yule dada kurinda
Acheni hizo, hakuna kitu kama intelligence kuhusiana na rangi.
Alikwambieni anaringa kwa sababu mweupe au kutojiamini kwenu tu?
Hivi hakuna watu weusi au brown wanaoringa? Hakuna watu wa rangi hizo walowahi kufikwa na mikasa kama hiyo?
TB alielezea vizuri sana..
Si kwamba hawana uwezo ki-intelijensi ila they are driven by behaviours....behaviours change them na hadi ndoto zao kubwa kufifia.
Hufikia hatua wakaamua kufanya kitu tofauti na ndoto zao...tena yaweza kuwa mshangao kwa wengi..
Kinomma na alikuwa anaringa mbaya kwa vijana na anawaona hawana mpango
Siku ya siku kaangukia kwa mtu mmoja ambae badala ya kumfanya kitoweo alimrarua rarua na kundi lake na ukawa mwisho wa yule dada kurinda
Ukiona mpaka tumekisema ujue alikuwa anajijua she is beautiful na anaringa kwa hilo maana ulikuw aukimfuata kw aissue hata tuu ya kuongea nae anakuambia wazi siwezi kuongea na mtu kama wewe kwanza sio type yangu. Tusijiamini kwa kipi sasa
Alikwambieni anaringa kwa sababu mweupe au kutojiamini kwenu tu?
Hivi hakuna watu weusi au brown wanaoringa? Hakuna watu wa rangi hizo walowahi kufikwa na mikasa kama hiyo?
Umejuaje kuwa ana ringa kwa sababu mweupe? Hakuna mtu mweusi anaeringa kwa sababu ni beautiful?
gaijin hatusemi ni biological fault
tunachosema matokeo kwa kutazama jamii ilivyo
Mara nyingi mwisho wao huwa ni mbaya....na hapo ndo huwa wanataka kurudi kuleee..
Pema ujapo pema, ukija pema si pema tena.