Ulweso
JF-Expert Member
- May 24, 2016
- 23,106
- 28,061
Hili ni kweli kabisa, mpaka mtu anatoa matusi kabisa kumbe siri yake, nyau kabisa!Wengi wao n waongo tyuuuh, wala sio uhalisia na wanaujua ukweli, wanachangamsha genge tyuuh hapa JF.
Hili ni kweli kabisa, mpaka mtu anatoa matusi kabisa kumbe siri yake, nyau kabisa!Wengi wao n waongo tyuuuh, wala sio uhalisia na wanaujua ukweli, wanachangamsha genge tyuuh hapa JF.
Mmh haya bhanaWanajijua [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Speaking like a typical, precious millennial ladySio lazima kuendelea kuishi na kuumia eti kisa watoto and blah blah siwezi kwa kweli hapo Ni kupeana personal space baba yao Yuko alive lazima atawaona watoto so no problem because kabla yake I was living my life so married or kids sio kitu kipya kabisa, sio watoto au mume, or ndugu anayeweza kunifanya nivulie that's not me kwa kweli. My happiness is everything coz I know my heart.
So hyo ndoa ni watoto to me doesn't matter anything that's cost me a peace of mind I don't give a f.k aisee
Rejea kiapo chako cha ndoa. Uliahidi kumpenda katika hali zote. Hiyo ni moja ya hali aliyopitia na unatakiwa umsaidie ili asianguke tena.
Hahaaa trueSpeaking like a typical, precious millennial lady
Pole sana, inauma sana ila baada ya muda litapita. Ningumu kusamehe,na huwezi sahau. Ila jua sio kosa lako ni lake, mwili wake na hisia ni zake. Na kafanya akijua utakapojua utaumia, na ndoa itaingia mgogoro lakini akachagua kufanya. Kiakili yeye alijipanga , so ukiweza potezea usiumie kwa ajili ya mtu asiyekuhurumia.Mwenzenu yamenikuta na kusema za ukweli nashindwa kabisa kuelewa namna ya kutoka hapa na kusonga mbele.
Ni mume nilompenda sana sana sana. Mungu katujaalia two beautifull kids na mengine ambayo am greatfull for. Tuliishi kwa upendo,furaha na amani hadi miezi 8 ilopita nilipogundua kuwa nilivyomdhania mume wangu sivyo alivyo.
Kwakuwa nampenda na kumfahamu sana mume wangu, kuna kitu nilikuwa tu nakihisi hakiko sawa kwa muda. Baadae nikagundua he was cheating. Yaani sitaki kuelezea mstuko niloupata na jinsi ninaumia jamani. Japo aliomba sana msamaha and all that ila moyo wangu umekufa ganzi wapendwa.
Mume nilompenda sana kwasasa namuona kama jirani yangu tu, hata hamu nae sina kabisa na hata tendo la ndoa ni kama ananibaka tu. Tushaongea sana, tushakwenda hadi vacation sie wawili tu ila sioni kinachobadilika. Akisafiri kikazi au mimi nikisafiri najisikia amani zaidi and i dont miss him kabisa.
Kuna wakati nilimuomba some alone time nifikirie kuhusu mustakabali wa hii ndoa, alinipa huo muda na kwa kipindi hicho cha wiki moja kichwani mwangu nilishangaa kunazunguka watoto wetu tu na sio mume wangu. Sijamueleza mtu yeyote kuhusu hili hata mama yangu wala mshenga wetu ila linanitafuna hatari.
Wenzangu mnawezaje kusamehe wanaume wanaowacheat na kurudi katika hali zenu za kawaida? Maana mie kwasasa mume wangu namuonaje sijui, nae naona hali hii inamtesa ila ndio hivyo tena[emoji134]
Sijisikii kumpenda wala kumheshimu tena, naona kama hadeserve kwa kutokuithamini na kuivuruga ndoa yetu.
Nina maana mwanaume anaweza kurithi mali za mumewe ila mume hawezi kurithi mali za mke labda kama mke hana watoto.mwanamke kumrithi mume kivipi?
Sasa kinachobaki kulea watoto tu basi hamuachani kila mtu a mind bussiness zake ukimwamini mtu akuzingue upendo hufa kabisa hata ufanyeje situation won't be the same again mnaishi kwa mazoea why mjidaganye ooh vumilia wanaume wote wako hivi kah.
Hata hao watoto wajifunze tu hivo hivo kuwa udanganyifu si mzuri na ndio maana wa Africa uongo na uchafu mwingi.
[emoji3][emoji3][emoji3]Kwa Sasa Mimi I don't care hata anikuneje anifanyeje yet nikitoka hapo natumia akili zangu tendo limeisha siwezi mweka Moto moyoni binadamu anayebadilika badilika so akifanya it's okay, akifanya okay Ila sio eti nichanganyikiwe hapana. Kikubwa ni kuheshimiana tu.
And what cost us we expect much from people forgeting that they are human beings loh. Mimi hata anifanyeje simuweki moyoni namweka kiunoni akizingua nsmtingisha tupa kule
Hahaha haya ndio maneno yenu.Inaonekana umesoma na una kazi nzuri. Ndivyo vinavyokupa kiburi.
Mwenzenu yamenikuta na kusema za ukweli nashindwa kabisa kuelewa namna ya kutoka hapa na kusonga mbele.
Ni mume nilompenda sana sana sana. Mungu katujaalia two beautifull kids na mengine ambayo am greatfull for. Tuliishi kwa upendo,furaha na amani hadi miezi 8 ilopita nilipogundua kuwa nilivyomdhania mume wangu sivyo alivyo.
Kwakuwa nampenda na kumfahamu sana mume wangu, kuna kitu nilikuwa tu nakihisi hakiko sawa kwa muda. Baadae nikagundua he was cheating. Yaani sitaki kuelezea mstuko niloupata na jinsi ninaumia jamani. Japo aliomba sana msamaha and all that ila moyo wangu umekufa ganzi wapendwa.
Mume nilompenda sana kwasasa namuona kama jirani yangu tu, hata hamu nae sina kabisa na hata tendo la ndoa ni kama ananibaka tu. Tushaongea sana, tushakwenda hadi vacation sie wawili tu ila sioni kinachobadilika. Akisafiri kikazi au mimi nikisafiri najisikia amani zaidi and i dont miss him kabisa.
Kuna wakati nilimuomba some alone time nifikirie kuhusu mustakabali wa hii ndoa, alinipa huo muda na kwa kipindi hicho cha wiki moja kichwani mwangu nilishangaa kunazunguka watoto wetu tu na sio mume wangu. Sijamueleza mtu yeyote kuhusu hili hata mama yangu wala mshenga wetu ila linanitafuna hatari.
Wenzangu mnawezaje kusamehe wanaume wanaowacheat na kurudi katika hali zenu za kawaida? Maana mie kwasasa mume wangu namuonaje sijui, nae naona hali hii inamtesa ila ndio hivyo tena[emoji134]
Sijisikii kumpenda wala kumheshimu tena, naona kama hadeserve kwa kutokuithamini na kuivuruga ndoa yetu.
Wanawake wanaochepuka kulipiza kisasi huwa wanaishia kupata magonjwa wengi wao.Na wewe chepuka tu hapo kilichobaki nikulea watoto cheating haisameheki kabisa hasa mtu uliye mwamini, Hawa viumbe huua nyege za wake zao. Nakuhurumia maskini kiukweli na wewe chepuka tu ngoma droo wallah
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nikisomaga komenti za wababa humu Jf huwa najikuta nakata tamaa na siku yangu inaharibika kabisa. Ndio maana huwa sipendi kufungua nyuzi zinazohusu mambo ya ndoa
Inategemea mzee, kwani wanaume hawapati hata ukipata hujuti maana mtu ulidhamiriaWanawake wanaochepuka kulipiza kisasi huwa wanaishia kupata magonjwa wengi wao.
Hahaaa that's my standing about this issue, it has nothing to do with hurt, bitter or wherever you call. That's my standing as I respect URS.You sound so bitter and hurt. Ujaaliwe kupona na amani kama hauko nayo [emoji1635]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Binamu, siita!!