rikiboy
JF-Expert Member
- Feb 19, 2017
- 22,170
- 43,975
Ukiwa mama utajinyima mwenyewe furaha yako ili wanao waishi kwa furahaa ila kwa kuwa bado ni bintii kula ujanaa mama..!! Ndoa hizi isingekuwa watoto hakika hakuna ambayp ingekuwepo mpaka sasa...Siwezi ruhusu mtu aninyime kufanya linalo jiskia Bora kila ntu a mind bussiness zake tu kwa kweli