Wanawake wenzangu mnawezaje kumsamehe a cheating husband?

Wanawake wenzangu mnawezaje kumsamehe a cheating husband?

Daah mnanitamanisha lakini nafsi inasita. Huko kwa kweli nawatakia tu ninyi mnaoenjoy kila la kheri ila mimi sijui kwanini mapenzi hayanibariki yaani siyawezi tu.

Na siyo kwamba naona eti wanaume tu ndiyo mna matatizo hapana. Bali mimi mwenyewe tu pia nina matatizo yangu ambayo nisingependa nimbebeshe mtoto wa mtu.
Aisee hongera na pole. Huenda umechagua fungu jema zaidi, unapeuka maradhi pia. Ilà don't tell me utabaki hivyo for good.
 
Mi ndo fala dunia nzima hakuna aliyewahi kuwa Kama Mimi, nikajua Niko mwenyewe kumbe na tombewa mke mwaka wa nne huu. Nimeumia mbaka mwisho🔊
 
Nitafsirie basi, nimekibeba kama kilivyo, huwa tafasiri za Bible zimenikalia pembeni.

Hata mie nyingi zimenikalia pembeni sema tu ni vile kuna watu wangu wa karibu wako vizuri kiroho hivyo huwa nawaconsult pale ninapoona nimetoka kapa, ila hilo andiko niliambiwa halina maana hiyo hilo ni fumbo tu limetumiwa kama mfano lakini maana yake halisi ni hii...

Chukulia mwanaume ni mfano wa Mungu halafu mwanamke ni mfano wa kanisa, hapo waliposema wanawake saba watamfuata mwanaume mmoja na kumuambia kila kitu watajitegemea wenyewe ila tu waitwe kwa jina la huyo mwanaume ni kama makanisa ya sasa yanavyofanya kwa Mungu.

Makanisa mengi sasa hivi tunasikia wachungaji wanataja jina Mungu na Yesu na wanawaombea waumini wao kupitia hayo majina lakini kiuhalisia wanatumia nguvu za giza. Kwahiyo hizo siku za manabii wa uongo zilizotabiriwa ndiyo hizi ambazo makanisa yanatumia jina la Mungu na Yesu lakini kiuhalisia wako kivyaovyao wanaoperate chini ya nguvu nyingine ambazo hazihusiki na Mungu muumba wa mbingu na nchi.

Sasa kaka yangu usije ukawa unasubiri wanawake saba wakukimbilie wakuomba uwaoe halafu watajitegemea kwa kila kitu kama ambavyo wale wenzenu wa upande mwingine wanavyosubiri wakifa wakakutane na mabikira 72 peponi teh, wewe endelea kuwatafuta tu huko nje usisubiri wakufuate cha msingi wifi yangu asijue maana inaonekana wanaume kutulia imeshindikana kabisa.
 
Hata mie nyingi zimenikalia pembeni sema tu ni vile kuna watu wangu wa karibu wako vizuri kiroho hivyo huwa nawaconsult pale ninapoona nimetoka kapa, ila hilo andiko niliambiwa halina maana hiyo hilo ni fumbo tu limetumiwa kama mfano lakini maana yake halisi ni hii...

Chukulia mwanaume ni mfano wa Mungu halafu mwanamke ni mfano wa kanisa, hapo waliposema wanawake saba watamfuata mwanaume mmoja na kumuambia kila kitu watajitegemea wenyewe ila tu waitwe kwa jina la huyo mwanaume ni kama makanisa ya sasa yanavyofanya kwa Mungu.

Makanisa mengi sasa hivi tunasikia wachungaji wanataja jina Mungu na Yesu na wanawaombea waumini wao kupitia hayo majina lakini kiuhalisia wanatumia nguvu za giza. Kwahiyo hizo siku za manabii wa uongo zilizotabiriwa ndiyo hizi ambazo makanisa yanatumia jina la Mungu na Yesu lakini kiuhalisia wako kivyaovyao wanaoperate chini ya nguvu nyingine ambazo hazihusiki na Mungu muumba wa mbingu na nchi.

Sasa kaka yangu usije ukawa unasubiri wanawake saba wakukimbilie wakuomba uwaoe halafu watajitegemea kwa kila kitu kama ambavyo wale wenzenu wa upande mwingine wanavyosubiri wakifa wakakutane na mabikira 72 peponi teh, wewe endelea kuwatafuta tu huko nje usisubiri wakufuate cha msingi wifi yangu asijue maana inaonekana wanaume kutulia imeshindikana kabisa.
[emoji23][emoji23][emoji23]unazingua Zoë, mbona tayari wanaanza hii tabia vidume wanakimbia kabisa. Kuna tofauti gani na kuambiwa, "mimi nataka mtoto tu kwako, mengine nitafanya mwenyewe". Yani hili bandiko nimelibeba kama lilivyo na linasadifu maisha tunayoishi leo.
 
Cariha anaongea hapa ila akikosa dyudyu ya mwanaume mwezi tu hizo temper, hasira na underperformance kazini tunajua wenyewe[emoji39][emoji39]

Basi inawezekana na mimi hizi hasira nilizonazo ni sababu ya kukosa naniliu enh? [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Ila hapana mimi napenda kusafiri tu nikikaa sehemu moja muda mrefu bila kubadili mazingira ndiyo huwa napatwa na hasira za hovyo hovyo na nikifulia ndiyo kabisaaa nakuwaga kama chui! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Basi inawezekana na mimi hizi hasira nilizonazo ni sababu ya kukosa naniliu enh? [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Ila hapana mimi napenda kusafiri tu nikikaa sehemu moja muda mrefu bila kubadili mazingira ndiyo huwa napatwa na hasira za hovyo hovyo na nikifulia ndiyo kabisaaa nakuwaga kama chui! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23]hata wewe jichunguze vizuri, huenda ikawa ni sababu kubwa. Kusafiri na kufulia zitakuwa sababu za ziada tu.
 
Back
Top Bottom