Wanawake wenzangu mnawezaje kumsamehe a cheating husband?

Wanawake wenzangu mnawezaje kumsamehe a cheating husband?

Hii ya kujifanya kusamehe ni unafiki jamani
Wanaojifanya kusamehe wengi huwa wanaishia kuumwa vibaya ama kifo kabisa,,wanaolipiza ama kuachana kidogo huwa wanakuwa na ahueni

Ama wengine wanasamehe wanavumilia adhabu wanakuja kuzitoa uzeeni

Bora kuchepuka tu ukatuliza nafsi mkakazia zia ndoa idumu
 
Hivi zile nyimbo sijui pambio zinaimbwa bila mpangilio kumbe zina maana kubwa eee [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Ngoja nimshtue jirani yangu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hapana shemeji umeninukuu vibaya.
 
Siku mwanamke atakapoamua kujutegemea na kuacha kumfanya mwanaume kama kitega uchumi..yaan yupo kwenye ndoa kwa mahitaj ya ndoa..ndipo atakua huru kufanya maamuz

Weng wanashindwa fanya maamuz sbaab anajua.dah ..niache nyumba hii.niache magar haya.niache ubwabwa wa bure huu..haiwezekan.ntakomaa nae hapa hapa

Hapo ndipo mnatupa jeur ya sis kucheat na kutoogopa kufanya hvyo sbaab tunajua huwez fanya chochote zaid ya kunilaum.kununa.kutukana..etc
kwan hujui kuna kugawana hizo mali? Ndo maan tunasema suluhisho kwa wanawake nao n kucheat tyuuuh, ili iwe balanced.
 
Sasa Mimi nimenda kwa ajili ya starehe, no feelings attached, hayo mengine hata ctaki kuyafikiria kabisa, Yani ni kustarehe without conditions attached Tena hapo mnakuwa wote kuridhishana basi, na sio kumilikiana
Huwezi fanya starehe ukaridhika bila kua na hisia hasa Kwa mwanamke
Ndio maana wanawake wengi wanaosaliti ndoa zao huishia kuzivunja tu
 
Kuna ndoa ya dogo inayumba kwa mfumo huu huu, mke kajifungua dogo hataki kubaki nyumbani akitoka kazini kisa mtoto analia sana, ukimpigia simu anapokea yupo bar tena kwenye kelele za muziki. Simu imejaa sms za wasichana, hashauriki, anasema yeye ni mwanaume hawezi kuvumilia miezi miwili hadi apone mke wake. Sijui wanaume tuna tatizo gani!!
Sasa anamzalisha huyo mkewe kwanini ili hali hataki watoto? Khaaaah mambo mengine mbna yanashtusha ulimwengu kabisaa.
 
Ndiyo maana naenjoy kuwa single, hakuna kitu sipendi kama kupewa stress na binadamu mwenzangu tena ambaye najua anafanya makusudi kabisa bora stress za upweke kuliko za mapenzi.
Mdogo wangu unataka uwe kama Anna makinda
 
Yani wewe unayemshauri achepuke na possibly atiwe mimba ndo una nia nzuri? Ila mimi nnayeshauri kama kashindwa aombe talaka ndo nina nia mbaya? Are you serious?
We huna nia nzuri kabisa na hii ndoa mkuu, eti talaka!! Are you serious kweli? Atafute tu kipoozeo atulie, ila kama amekolea akataka na mtoto sasa hayo yatakuwa maamuzi yake. Sitomuingilia.
 
Wewe utalea kwa lazima Tena ikiwezekana kwa Sheria hutaki na watoto unapotezwa haki zote za watoto kuanzia ubini na kila kitu ukafie mbele ya safari Tena nawaambia watoto a to z hutaki kulea means umekana wanao natafta lawyer u sign ulivokataa kuhudumia watoto wako ili wakikua ni waonyeshe kabisa
Sema hivi wewe ni mchawi kwa maana ya kwamba hata kama nikitoa child support bado utanisema vibaya kwa watoto.
 
Kuna ndoa ya dogo inayumba kwa mfumo huu huu, mke kajifungua dogo hataki kubaki nyumbani akitoka kazini kisa mtoto analia sana, ukimpigia simu anapokea yupo bar tena kwenye kelele za muziki. Simu imejaa sms za wasichana, hashauriki, anasema yeye ni mwanaume hawezi kuvumilia miezi miwili hadi apone mke wake. Sijui wanaume tuna tatizo gani!!
Sasa anamzalisha huyo mkewe kwanini ili hali hataki watoto? Khaaaah mambo mengine mbna yanashtusha ulimwengu kabisaa.
 
Men's cheats for no reason.
Msamehe tu na usahau,, maadam anakupenda na ameshakiri makosa.
 
We huna nia nzuri kabisa na hii ndoa mkuu, eti talaka!! Are you serious kweli? Atafute tu kipoozeo atulie, ila kama amekolea akataka na mtoto sasa hayo yatakuwa maamuzi yake. Sitomuingilia.
Nipigie pande hilo nimle no strings attached mimi mwenyewe naunga mkono hoja aliwe tu
 
Sasa mbona mume wa mleta mada alifanya Ina maana hakupma, jamani furaha yangu muhimu, lazima na Mimi nitafte kitu kizuri kuliko wewe kinipatie Toto moja matata sana, hapo nakusamehe hata ukichepuka daily sijali maana na Mimi nimefanya Jambo nililolifanya kutimiza matakwa yangu.
NB usifanye Hili Jambo Kama una roho nyepesi na dhaifu na hujajiandaa kukabiliana na Hali hyo. Uwe tayari ku move on oooh

Mume wa mleta mada aliteleza akakosea na akakiri kosa lake. Utakuja na hoja kuwa kwani mwanamke hakosei? Jibu ni kuwa anakosea ila unachotaka yeye afanye ni kutumia kosa la mumewe kama sababu ya yeye kumkosea mumewe jambo ambalo sio sahihi kabisa hata shetani atalishuhudia siku ya hukumu. Ukisamehe samehe kamwe usitumie kosa kama fimbo ya kumwadhibia mwenzio kama umeamua kumsamehe.
Kumove on is the best thing ever kushindana kwa kuonesha nawewe pia unaweza sio jambo la busara mtawaumiza watoto bure.
 
Back
Top Bottom