Danpol
JF-Expert Member
- Aug 15, 2013
- 5,747
- 9,036
Narudia tena, kuchepuka kwa Mwanaume hakuna uhusiano wowote na kumpenda au kutompenda mkewe, sisi hatuchepuki kwaajili ya the so called mapenzi , kwamba bila kumpenda mtu basi hufanyi , hatuko hivyo , mke anabaki kupendwa pale pale na heshima yake iko pale pale.. zipu kufunguliwa huko nje haina uhusiano wowote na kupenda au kutopenda mkeHaiwezekani, mchepuko huyohuyo zaidi ya mwaka, na mke anajua kabisa, na siyo muislam useme utaoa mke wa pili.. Ukishakaa na mtu mda mrefu hivyo lazima tu utampenda, na upendo kwa mke lazima utapungua au kuisha kabisa