Jadda
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 29,306
- 83,742
Unakosa mema ya duniani Anko,usiziogope changamoto pambana nazo.
Hapana anko siko tayari acha tu niyakose hayo mema aise, hata hivo kwangu mema ya duniani si mapenzi.
Unakosa mema ya duniani Anko,usiziogope changamoto pambana nazo.
Sema hivi wewe ni mchawi kwa maana ya kwamba hata kama nikitoa child support bado utanisema vibaya kwa watoto.
Eti atafte talaka ili iweje heeh mnabanana hapo hapo, hamna Cha talaka Wala Nini.We huna nia nzuri kabisa na hii ndoa mkuu, eti talaka!! Are you serious kweli? Atafute tu kipoozeo atulie, ila kama amekolea akataka na mtoto sasa hayo yatakuwa maamuzi yake. Sitomuingilia.
Usinielewe vibaya mama, sijakataa kutunza watoto bali sitaki kutunza watoto na wewe ukiwemo. Wewe pambana kivyako sio natoa hela ya kula watoto wangu kumbe ndo nalisha nyumba yote, na bata unalia hiyo hiyo na saloon humo humoUkitoa hela Sina shida kabisa na Mambo yetu hawatajua, Sasa jifanye kichwa ngumu, utajuta kabisa hutaki kutoa matunzo natafta lawyer kabisa u sign, na nibahifadhi kumbukumbu nije kuwaambia jinsi baba alivogoma kuhudumia na ushahidi huu, usije sema niliwalisha sumu. Tumegombana Mimi na wewe kwanini utese watoto kwa kukataa kuwahudumia wao Wana kosa gani?
Acha kuzalisha mkeo basi khaaaaah. Mbona simple tyuuuhMimi pia zile kelele hapana .
Bora ivunjike tu kuliko kuishi kinafiki nafiki kwa kweliHuwezi fanya starehe ukaridhika bila kua na hisia hasa Kwa mwanamke
Ndio maana wanawake wengi wanaosaliti ndoa zao huishia kuzivunja tu
Mdogo wangu unataka uwe kama Anna makinda
Ukute hizo kelele mtoto kazirithi za kipindi kileee wazazi mnakunjanaMimi pia zile kelele hapana .
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂.We huna nia nzuri kabisa na hii ndoa mkuu, eti talaka!! Are you serious kweli? Atafute tu kipoozeo atulie, ila kama amekolea akataka na mtoto sasa hayo yatakuwa maamuzi yake. Sitomuingilia.
Nina ndugu yangu aliachana na mwanamke wake, alimpa nyumba yule dada pamoja na gari na alikuwa anatuma hela kila mwisho wa mwezi pamoja na ada kulipa ila huwezi amini sumu alizolishwa yule mtotoNa wengi wapo hivi wanawaaminisha watoto mambo ambayo kimsingi ni uongo mtupu tena bado watoto wakiwa wadogo kabisa.
Unamjambawazia nani hapa?Ndiyo maana naenjoy kuwa single, hakuna kitu sipendi kama kupewa stress na binadamu mwenzangu tena ambaye najua anafanya makusudi kabisa bora stress za upweke kuliko za mapenzi.
😂 😂 wazee wa kuonganisha dots.. Mimi sijuiMtu wa TRA Yuko mkoa wa pwani wilaya ya kisiwani
Makazi yake kawe ukwamani
Nimepatia?
Hakuna Mwanamke anaecha mtu , mwanamke anaachwa, hakuna Mwanamke anae toa talaka, mwanamke anapewa talakaHivi nikimwacha mtu ndio nakuwa nimeachika? Unajua maana ya kuachika?
Hebu jigonge gonge kifuani ujiambie "ifike mahali na mimi nitumie akili kuwaza".
Vitu vingine lazima tu ulipize ili na yeye a feel pain zaidi kuacha hivi hapana kwa kweli hawezi jifunza, some people need to learn in hard way kwa kweli
Ni unafiki mtupu ooh samehe mbona wao hawasamehi, na kwanini ujitese ulipize uzeeni kwa kumtelekeza una mfanyia mapema.Wanaojifanya kusamehe wengi huwa wanaishia kuumwa vibaya ama kifo kabisa,,wanaolipiza ama kuachana kidogo huwa wanakuwa na ahueni
Ama wengine wanasamehe wanavumilia adhabu wanakuja kuzitoa uzeeni
Bora kuchepuka tu ukatuliza nafsi mkakazia zia ndoa idumu
sipo huko
This is soo true, tunayashuhudia daily.Mkuu nakuhakikishia ikitokea umeoa Au ikiwa tayari una mke utakapo msaliti na amekukamata pasipo shaka
Amini atarudisha hiyo punch hawasamehi na wao ni binadamu tena usiombee yeye awe hajawahi kukusaliti
Kwangu ni lazima you must payHakuna ulazima wowote wa kutumia mbinu hiyo
Nina ndugu yangu aliachana na mwanamke wake, alimpa nyumba yule dada pamoja na gari na alikuwa anatuma hela kila mwisho wa mwezi pamoja na ada kulipa ila huwezi amini sumu alizolishwa yule mtoto