Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 45,825
- 113,411
Ni muhimu kupima na uzito wa jambo sio kwa sababu tu linakufurahisha moyo wako ndio ulifanye, kuna side effects baada ya kukufurahisha ndio maana inakuwa ni kwa siri sana na siri ikifichuka unaomba samahani. Ila bado nakazia ushauri uliompa mleta mada haufai kutumika.Mimi hufanya Jambo linalonifuraisha moyo wangu hata kabla sijamkuta ni mtu ninayeoenda kujaribu jaribu Mambo.
Halafu huyo mwanaume angekuwa anaheshimu kiapo angetulia wallah, Mimi ningemfuraisha wallah[emoji23][emoji23]
Kibomba kipo kwa niaba ya mume[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kibomba cha nini ilihali vidume vipo? Unajitwaalia kamoja tu ka kupoozea machungu.
Anachepuka kidogo tu ili kurudisha heshima iliyopotea. Akirudi ndani basi ana furaha tele, na mahaba kama yote kwa mumewe. Basi mambo yanasonga freeesh kabisa.
Tatzo lenu baadhi ya wanawake mkichepuka mnazama jumla mnasahau mpaka njia kuu.