Nyie michepuko ina ngebe jamani, ukiifata fata hukawii kupata kichaa. Ishindweeeeee IJN
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mwenzangu, na wanaume wanavyojua kudeka!
Kila siku atakwambia hayuko sawa umbembeleze. 🙂
Amen! kwa kweli.
Hiyo ni insecurity pia kwa mchepuko. Kama tayari umemchukua toka kwa mkewe, kwa nini uongeze Ugomvi usio na sababu? kama kweli mtu mjanja atatulia ajilie huyo mume mtu taratiiibu bila wasi.
But, they need to understand that Karma is a big ass biatch..
Superiority complex ya kijinga. Nina amini kama bashite asingekuwa msukuma angeshawajibika kwa kutumia cheti cha kufoji kuingia nyegezi! Ila kwa vile ni kidume cha kisukuma anaona kila Mtanzania ni small boy na hajali. Angalikuwa mchagga kama mimi ashajitoa taratibuuuu cocochanel makonda oyeeeeUsukuma unahusiana nini na nilichokiandika?
Kama sio wako sio wako tu, ya nini umharibie mwenzio!!
Mtu akihajizira unadhani anaijali hata hiyo the so called karma!!
Ndio shida mtoto akiwa na maakili mengi, yaani taabu tupu!! Maswali yake sasa ya utotoni ndio yalikuwa balaa, bora hata alivyokua angalau napumua kidogo.Hahaha, sawa Nitajitahidi.
Mwache mwache kidogo basi bi mkubwa ake.
Si unaona anavyodondosha points. 🙂
Another dadake mie, mambo!Haha mbona dodo kwenye mlimao
Ni njema, huw nafurahi kukuonaHabari my kaka!
Ameeeeen!!
Kuna mmoja aliufuata mchepuko aupige, weee alipigwa akarudi kapasuliwa mdomo duuuh!!
Superiority complex ya kijinga. Nina amini kama bashite asingekuwa msukuma angeshawajibika kwa kutumia cheti cha kufoji kuingia nyegezi! Ila kwa vile ni kidume cha kisukuma anaona kila Mtanzania ni small boy na hajali. Angalikuwa mchagga kama mimi ashajitoa taratibuuuu cocochanel makonda oyeeee