Wanawake wenzangu kujeni tutete kidogo!

Wanawake wenzangu kujeni tutete kidogo!

Pamoja na kwamba unategemea sana akili zako( which is good) lakini support ya mwanamke wako itakupa hamasa zaidi, that is nature.
Nimeshakwambia amenisaidia sana....na namuomba sana support yake. Kikubwa nampenda.
 
Mara mbona kama hauko sawa leo just tell me am here for you!! Ohoooooo
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]


Mwenzangu, na wanaume wanavyojua kudeka!
Kila siku atakwambia hayuko sawa umbembeleze. 🙂
 
Kuna this friend of mine, aligundua mumewe anachepuka akautafuta huo mchepuko. Afu worse enough mumewe ni one of those idiots ambao wanatoa siri za wake zao kwa michepuko. Kichambo alichokula + kumwagiwa siri zake, presha ilipanda hapo hapo
[emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134]
Ndio shida yetu binadamu, tukipata pa faraja tunajiachia sanaa, unajikuta ushamwaga hadi usiyopaswa kumwagwa.
Hapo pressure lazima imhusu masikini.
 
Kuna this friend of mine, aligundua mumewe anachepuka akautafuta huo mchepuko. Afu worse enough mumewe ni one of those idiots ambao wanatoa siri za wake zao kwa michepuko. Kichambo alichokula + kumwagiwa siri zake, presha ilipanda hapo hapo


Aisee kuna watu wanatia kichefu!
Kwani angekuwa anaongea mengine bila kumtaja mkewe angekataliwa?
 
Back
Top Bottom